Yes nakubaliana.. Kila mmoja ana strength zake.. Ila usiseme hawawezi kufananishwa..!Haha lazima mkubali kuwa Bimmer hajamzidi LC kwenye kila kitu. Vivyo hivyo kwa upande wa simu kuna baadhi ya android kama Samsung ambazo zimezizidi iPhone baadhi ya vitu.
Hiyo gari ni nzuri wapo vijana Johannesburg walinunua kama tatu hivi zipo daslm mimi mwenyewe ni pick up niliyoukubali sana ina balance harafu ina confort kama SUV kumbe truck...Cheki chuma hii ilivyo shiba, tunawachapa mjini na porini tunawachapa, yaani hamtoki popote 😀😀😀
JituMirabaMinne
Isanga family
wa kupuliza View attachment 2024833
mjerumani gani mwenye mapafu kama hayo?Naimudu hiyo aisee.. Mjerumani sio mnyonge njiani..!
Mimi sio mgonjwa wa BMW au Audi ila hayo magari ni mazito bara barani yanashika road utadhani yapo kwenye reli niliwahi tembea na Q 7 moja kutoka nayo SA bara bara ya Botswana niliivulia kofia yaani ngoma haitetemeki kama imewekwa kwenye sumaku Nata, Mahalapye na pahalapye ngoma ilikua moto balaa harafu nazipita hizi zingine kama zinarudi...mimi ni mgonjwa wa Mercedes-Benz ila BM wametuzi mno sasa kufananisha na Toyota sijui ipi na hapo nimeendesha pia Porsche cayenne diesel turbo ya 2016 kutoka huko huko...Dooh kweli mkuu mimi watumiaji wa Bimmer naonaga hawana tofauti na baadhi ya watumiaji wa iPhone yaani wote wale wale tu waliokunywa uji wa mgonjwa. Hawataki kukubali kwamba kuna sehemu wamezidiwa.
Watumiaji wengi wa iPhone huwa wanadhani hakuna simu duniani kama iPhone na wanadharau sana watumiaji wa android. Wakati android hazifanani kuna Samsung kibao tu zinakalisha hizo iPhone tena za range moja.
Nimeshangaa watu wanang'ang'ania kufananisha hadi VX.R V8 na Bimmer duuh. Kuna watu ni Bimmer maniacs na huwa wanazipondea sana gari za mjep ila wanakuambia VX.R V8 ni moto wa kuotea mbali aiseee.
Anachowazidi LC hao wengine ni reliability tu. Hamna kingine. Luxury, speed, handling, ride quality muonekano etc LC hawagusi wajerumani. Labda kwa entry model zao.Haha lazima mkubali kuwa Bimmer hajamzidi LC kwenye kila kitu. Vivyo hivyo kwa upande wa simu kuna baadhi ya android kama Samsung ambazo zimezizidi iPhone baadhi ya vitu.
He he he he! Ukiweza kuimiliki ndio uje uulizie funguo😅Pua yako nani kenge sasa? Lete funguo za Bima niwe Mrs Extrovert, huna kaa pembeni😂
Ni mipango ya Mungu tu😅 kutuumba Adam na Hawa😂😂 narudi na funguo huku najipepea sehemu za siri dah😂😂🙌
Huu Mkonga si ndio una 1hz? Kama ndio engine yake akae ashindane na premio kwanzaSasa wakati huo LC200 hazikuwepo.. Kabla ya LC200 Landcruiser bado zilikuwa zinasifika.. Ila hazikuwa na spidi kuliko mjerumani.. Ishu ni kwamba watu wengi hawapo exposed na magari yanayokimbia.. Ndio maana Landcruiser Mkonga imesifiwa sana kwa mwendo wakati ni gari nyepesi mnoooo kwa mjerumani..!
Nyie ndo mnadhani bimmer zote ni 3 series.Dooh kweli mkuu mimi watumiaji wa Bimmer naonaga hawana tofauti na baadhi ya watumiaji wa iPhone yaani wote wale wale tu waliokunywa uji wa mgonjwa. Hawataki kukubali kwamba kuna sehemu wamezidiwa.
Watumiaji wengi wa iPhone huwa wanadhani hakuna simu duniani kama iPhone na wanadharau sana watumiaji wa android. Wakati android hazifanani kuna Samsung kibao tu zinakalisha hizo iPhone tena za range moja.
Nimeshangaa watu wanang'ang'ania kufananisha hadi VX.R V8 na Bimmer duuh. Kuna watu ni Bimmer maniacs na huwa wanazipondea sana gari za mjep ila wanakuambia VX.R V8 ni moto wa kuotea mbali aiseee.
Zaidi ya S series na Note series kuna Samsung gani zaidi ya hizo?Kuna Samsung ziko vizuri kuliko iPhone. Hujatumia Samsung high range wewe.
Niambie criteria uliotumia kuonesha mtu fulani anafuata mkumbo?Nimetumia iPhone 12 Pro Max na nimetumia Samsung Galaxy S20. I'd still go for Samsung aisee and a lot of people would maana iPhone users wengi wanafuata mkumbo tu.
Na ndiyo nimeamini siyo kila mtu anayeziponda iPhone eti hana uwezo wa kununua kama wafungwa wengi wa iPhone mnavyodanganyana. Kuna watu wanajua kuchambua simu.
Ishu inakuja ivi, Unanunua shock ya harrier 1.4M lakini itachukua mda mrefu zaidi mpaka kubadilisha uki compare na hio 1.3M ya X3. Unaweza kuta umebadilisha shock up mara 2 kwa X3 wakati harrier yako umebadili mara moja tu. In toyota vitu vina take time na being too abused mpaka kusumbua compared to Bimmer/Merc/Audi.Shockups OG za Toyota Harrier ni 1.4M.
Shockups OG za BMW X3 ni 1.3M.
Hizo ni shockups tu.
Set 1 ya taa za LC200 ni 1.2M.
Nenda huko Nduvini na garage za Toyota uzione hizo LC zilivyopaki.
Nilishawahi ona bill ya maintanance ya LC200 imefika 6M.
Wengi tunanunua vitu used tandale tunaona toyota ni nyepesi kuzimantain ila likija suala la kununua spare OG, tutahamia bajaj wote.
Angalia watu tunavyolia na magari kama Subaru, Mazda, Nissan n.k kwasababu hawana mambo ya kuungaunga.
Suala sio reliability.Anachowazidi LC hao wengine ni reliability tu. Hamna kingine. Luxury, speed, handling, ride quality muonekano etc LC hawagusi wajerumani. Labda kwa entry model zao.
You couldn't identify well those vehicles mkuu,hizo labda zilikuwa ni 1hz kama ni 70 series,sidhani kama serikalini wana VDJ labda iwe mtumba hata coaster huwezi kuikuta 1hd-fte ya serikali.Haya yamenisibu, juzi kati nilikuwa na safari ya dar-dom aisee, nilitembea, gari(xtrail) ina gia 6, speed 220km/hr, mpaka nafika dom sikumbuki km kuna gari ilinikata nikiwa njiani. Nilikutana na landcruiser 70 series(VDJ76) mbili, moja STK, nyingine ya mtu binafsi(DPA/K) nadhani walibaki wanajiuliza huko.
Ila nimefika dom, juzi nafanya service nigeuze mambo mengi, ukizingatia wakati wa kuja sikufanya service mbona nimejuta, hapa nina mpango wa kurudi mdogo mdogo, nikitembea mwendo mkali basi ni 120 hivi, tena paliponyooka(maana kuna vipande mguu unasaliti akili)
Kama ishu ni reliability na durability gari ya kufa na kuzikana, Toyota yupo juu tena mbali sana mbele ya germans.Umemaliza na huu ndio ukweli, haitokaa Toyoda akaipiku BMW . Sema wapambe wa toyota wanakuwa wanalingamisha gari zisizo lingana mtu anakuja linganisha 3 Series na V8 Badala ya kulinganisha na BMW X5 M competition na hiyo V8 zao
German ana vingi zaidi kuliko Mjapan..Kama ishu ni reliability na durability gari ya kufa na kuzikana, Toyota yupo juu tena mbali sana mbele ya germans.
Kama ishu ni muonekano mzuri, features nyingi, luxury, modern technology, apo toyota sio uwanja wake ata kidogo.
Hiyo private inaweza kuwa VDJ..You couldn't identify well those vehicles mkuu,hizo labda zilikuwa ni 1hz kama ni 70 series,sidhani kama serikalini wana VDJ labda iwe mtumba hata coaster huwezi kuikuta 1hd-fte ya serikali.
sikatai kuwa ana vingi, na nimevitaja hapo baadhi. Ila Reliability na durability anawaburuza wenzake. Yeye kama alikuwa na tech ambayo alitumia miaka 90 na ikawa inafanya kazi vizuri, basi kwenye gari la 2021 anaweza aktumia tech hio hio. Toyota kama toyota hazishindani na german cars kwa izo sifa nyingine, huko kawaekea LEXUS. Yeye gari zake zikutoe point A to B tuGerman ana vingi zaidi kuliko Mjapan..