Billionaire Samweli Lema wa Arusha Ndani ya Segerea

Billionaire Samweli Lema wa Arusha Ndani ya Segerea

Northern air,northern engineering dah!! Acha waisome tu hamna jinsi,wanazunguka navogue kumbe wanaforge mpk refund za TRA!sipati picture km rais angekua mtu km naniiii........km angeweza kufumua madudu km haya!JPM abarikiwe sana
Northen Air sio ya huyu bwana ile ni kampuni ya wazungu.
 
Ila Lema ni mpambanaji haswa, hili balaa la kukwepa kodi itakuwa bahati mbaya tu au wahasibu wake ndio wanahusika sana na wao wamelamba hela nyingi kuliko yeye maana jamaa ni darasa la saba tu elimu ndogo, mwaka juzi alifukuza kazi karibu robo tatu ya wafanyakazi wake maana walikuwa wanamuibia sana, alikuwa na muhasibu anaitwa Ta....mo jamaa alikuwa mwizi sana, ameweza kuwa na yeye na vitega uchumi kadhaa, na alikuwa mchawi kweli dili likishtukiwa watu wanasubiri tu afukuzwe ila jamaa akisafikiri akirudi tu anaitwa ofisini kwa bosi na kupewa kazi ya kuhakiki mradi mpya watu wakawa wamechoka kabisa kumweleza bosi madhaifu ya jamaa. Ila mwisho alitimuliwa tu. Sasa hivi maskini ameajiri wazungu kwenye idara nyeti ili wasimzunguke, na balaa ni balaa tu yamemfika.
 
Sasa nadhani atakae fuata ni Minja kupelekwa mahakamani maana jamaa pale dukani kwake kumefungwa na serikali na kuzungushiwa tepe za polisi kabisa zile za njano hakuna kukatisha eneo hilo na lina ulinzi kabisa wa polisi 24 hrs. Kazi ipo.
 
Hebu acha kujitoa ufahamu. Mara nyingine weka siasa uchwara pembeni
kivipi bajeti haitoshi sasa wanataka kuchuku ccm wanawaonea matajiri hili wapate pesa
ccm_cartoon_by_afro_swahili.png

swissme
 
Mdau makini, umedhihirisha umakini wako asee. Haiwezekani wale wakwepa kodi wakubwa walioingiza serikali hasara kubwa wakasamehewa kwa kupewa siku saba walipe madeni yao na hawa wakabanwa kiasi hiki. Hizi double standards zinatoka wapi? Its unfair.

Sitetei mkwepa kodi ila nasikitika kuona sheria yetu si msumeno wa kukata pande mbili kama wahenga walivyotuaminisha.
lema ni mwizi alikuwa anahujumu uchumi kwa kutumia mashine feki za tra kukwepa kodi....anastahili kufungwa
 
Hii ya kumiliki magari na vinginevyo havina uhusiano wowote na tuhuma za Lema.
Na hata hill la TRA ni kama balaa tu kwani kwa tunaomjua Lema ni mpiganaji wa kweli
mpiganaji wa utapeli wa kuliibia Taifa
 
Ila Lema ni mpambanaji haswa, hili balaa la kukwepa kodi itakuwa bahati mbaya tu au wahasibu wake ndio wanahusika sana na wao wamelamba hela nyingi kuliko yeye maana jamaa ni darasa la saba tu elimu ndogo, mwaka juzi alifukuza kazi karibu robo tatu ya wafanyakazi wake maana walikuwa wanamuibia sana, alikuwa na muhasibu anaitwa Ta....mo jamaa alikuwa mwizi sana, ameweza kuwa na yeye na vitega uchumi kadhaa, na alikuwa mchawi kweli dili likishtukiwa watu wanasubiri tu afukuzwe ila jamaa akisafikiri akirudi tu anaitwa ofisini kwa bosi na kupewa kazi ya kuhakiki mradi mpya watu wakawa wamechoka kabisa kumweleza bosi madhaifu ya jamaa. Ila mwisho alitimuliwa tu. Sasa hivi maskini ameajiri wazungu kwenye idara nyeti ili wasimzunguke, na balaa ni balaa tu yamemfika.
lema amehusika na huo wizi wa kukwepa kodi hata utajiri wake ni wa mashaka na dili za kitapeli tapeli...Huyo muhasibu wake Tarimo walikuwa wanaiba wote..hawa ni wakufunga maisha iwe funzo kwa wengine
 
Kweli usicheze na mungu au serikali wanakuadhiri saa yoyote
 
Northern air,northern engineering dah!! Acha waisome tu hamna jinsi,wanazunguka navogue kumbe wanaforge mpk refund za TRA!sipati picture km rais angekua mtu km naniiii........km angeweza kufumua madudu km haya!JPM abarikiwe sana[/QUOTE
kwa kweli JPM anastahili baraka zote!
 
Heshima sana wakuu,

Issue ya Bwana Lema Mkurugenzi wa kampuni ya NEWL & Elerai Construction katika hii kesi nadhani ipo kishinikizo zaidi kuliko kisheria.

Bwana Lema alikuwa akifanya biashara na Mohamed Mustafa kwa muda mrefu kidogo.Mohamed Mustafa alikuwa akimuuzia Lema bidhaa mbali mbali kupitia kampuni zake alizosajili nyingi zikiwa za uongo (fake campany) zikiwa na TIN & VRN ambazo zote zinatolewa na TRA usajili wa kampuni unafanywa na BRELA.Baadhi ya bidhaa amabazo Mohamed aliuzia NEWL ni pamoja na filter za generators zilizoko kwenye minara ya simu cement na nondo aliuza Elerai amabayo ilikuwa na tender ya kujenga ofisi za mkuu wa mkoa Manyara na ofisi nyingi za serekali hasa wilaya na mikoa mipya.

Kwa upeo wangu sidhani kama ilikuwa sahihi kumuunganisha Bwana Lema na kampuni fake za Mohamed kwasababu zifuatazo.

Kampuni za Lema yaani Elerai & NEWL zilikuwa zikinunua huduma / bidhaa kutoka kwa kampuni za Mohamed baadhi zilikuwa na usajili na nyingine zilikuwa na usajili wa magumashi lakini zote zilikuwa na VRN,TIN,Clearance Certificates,Certificate of Incorporation na leseni za biashara.Mwisho wa mwezi wahasibu walikuwa wakitumia invoices za kampuni za Moahamed to claims VAT utshangaa wakiingiza VRN kwenye system inakubaliwa ?.

Hivi ukienda dukani kununua bidhaa ukakuta leseni fake,tin fake.... kosa linakuwa kwa mnunuzi au muuzaji ?.Nadhani mnunuzi hayuko katika nafasi nzuri ya kugundua iwapo sehemu anayonunua bidhaa au huduma kuna tatizo la kisheria.

Nadhani vyombo vyetu vya sheria vingi vinafanya kazi kwa hofu,kujionyesha..... lakini mwisho wa siku wakienda mbele ya sheria wanajikuta wanashindwa kwakuwa mara nyngi hawafanyi utafiti wa kutosha na kujiridhisha kabla ya kupeleka kesi mahakamani.
 
Back
Top Bottom