Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,703
Atazikwa angani huyu.Ngoja tuone jeneza na kaburi lake yatakuaje.
Atazikwa angani huyu.Ngoja tuone jeneza na kaburi lake yatakuaje.
Hahahahahahaha
Mkuu kuna mshamba mmoja katoka Bukoba, kufika Dar kachanganyikiwa kuona magorofa mwishowe anasema maghorofa yanahitajika Dar es Salaam tu. Jamaa ni dalali anajiita ExpertBroker akijua kuwa kuna mabilionea wengi namna hii Arusha labda mawazo yake yatabadilika.
Tatizo mabilionea wa Arusha mpaka wakifa ndio wanafahamika kuwa walikuwa mabilionea. Lema hatuwezi kujua...
Hili suala inabidi Lema na wenzake wawajibike haiwezekani kila siku mauaji yatokee kwenye jimbo lake.
WATU WANAPINGA NENO BILIONEA BILA KUWA NA POINT... WOTE WALIOSEMWA MABILIONEA NI WA UKWELI ILA KWA FEDHA ZA TANZANIA.. KWA AKILI FUPI ZA WABONGO WANAFANANISHA NA MABILIONEA WA DOLA ZA MAREKANI... wote wana asset za zaidi ya bilioni NA MIAMALA YAO NI YA BILIONI ZA KITZ
Mke wa mtu sumu.
Ukishakuwa na Toyota stout wewe bilionea.Nimejaribu kuangalia jarida la Forbes kuona mabilionea wa Africa lakini hawa Arusha hakuna hata mmoja.
Tatizo kubwa la Arusha ukiwanunulia vijana supu ya utumbo au supu ya ulimi unaitwa bilionea.
Malakionea wamebakia wangapi,
Sasa ndio tunapata ufahamu ni jinsi gani Tanzania kuna matajiri ya kutisha! pia tuntapata picha kwamba ni jinsi gani utaratibu wa kulipa kodi ulivyo mbovu! kama utaratibu mzuri wa kodi basi watu wanne tu mfano wa huyo marehemu msuya wanatosha kuendesha nchi! lakini badala yake kila uchao tunakamuliwa sisi wauza mboga..Hivi Arusha kuna mabilionea wangapi?
Kila mtu analalamika maisha magumu, lakini kila siku tunasikia kuna mabilionea. Hawa mabilionea pesa zao ziko wapi? au wanaweka chini ya uvungu?
Hili suala inabidi Lema na wenzake wawajibike haiwezekani kila siku mauaji yatokee kwenye jimbo lake.
Kaka Ritz vipi wasiwajibike viongozi wa vyombo vya usalama wa mkoa ambao ndio wenye jukumu la usalama wa watu na mali zao?
Kwa vigezo hivyo inawezekana na mimi ni bilionea nisiyejijua!
Duuh Arusha kuna mabilionea?,inaonekana arusha ukishakua na bilioni moja wewe ni bilionea kama ndo hivyo basi kariakoo pale kuna mabilionea wengi sana..
Mabilionair uchuro njaa tu wangesikika tangu zamani
jeneza lake litafunguliwa na bluetooth
Hivi Arusha kuna mabilionea wangapi?
Kila mtu analalamika maisha magumu, lakini kila siku tunasikia kuna mabilionea. Hawa mabilionea pesa zao ziko wapi? au wanaweka chini ya uvungu?
habari wakuu, naona a town wameandamwa sana na mtoa roho. Mmiliki wa merimont hotels & lodges kakutwa amefariki jioni hii ndani ya chumba cha hotel ya city plaza, iliyopokatikati ya jiji la arusha. Inasemekana alikuwa na mke wa rafik yake aitwaye chedi na mama huyo ametoweka na mamilioni ya fedha na gari aina ya lincoln navigator.