Bila tija mshahara usiongezwe serikalini

Kumbe ni wewe uliyetumwa kuja humu kupima upepo. Pole sana mtu hatoishi kwa mkate yupo anayelisha ndege na kuvisha maua yeye halali wala asinzii. Huyo anayekulisha na kukupa buku 7 albadil itaendelea kufanya pasipo shaka mwisho mtaanza kupoteana ninyi kwa ninyi.
 
Dah kweli hii kauli ya leo ya rais wetu mpendwa imewaudhi wengi sanaaaaaa
 
Watumishi wa umma ni wavivu, wamekosa ubunifu na bado wanalilia mshahara uongezwe Mei Mosi. Nashauri pasiongezwe hata senti mpaka pathibitishwe kuongezeka kwa tija, tuwapime mpaka 2019 labda.
PIA BILA MISHAHARA BORA TIJA HAIWEZI KUWEPO MAMBO HAYA YANAPASWA YAENDE SAMBAMBA KABISA.

Kumekuwa na kulilia tija bila mishahara bora, Watafanya kazi kulingana na wanacholipwa , Mwisho wa Siku atakayeumia ni wewe na mimi tusio serikalini.

KWAHIYO HILO ULIJUE, USISHANGAE KWENDA HOSPITAL MKEO ANAJIFUNGUA UKAPEWA HUDUMA YA HOVYO, USIJE UKARUDI UNALIA HAPA, MI YALISHANITOKEAGA NA NILIPOTEZA DADA YANGU KIPINDI KILE CHA MIGOMO ENZI YA AWAMU YA NNE,

Ogopa migomo baridi. Bora ile ya kujionesha watu wamegoma kwa SABABU MOJA mbili Tatu,
 
Watumishi wa umma ni wavivu, wamekosa ubunifu na bado wanalilia mshahara uongezwe Mei Mosi. Nashauri pasiongezwe hata senti mpaka pathibitishwe kuongezeka kwa tija, tuwapime mpaka 2019 labda.
kama hamna tija wafukuzwe wote waajiriwe wenye tija
 
Watu waache uvivu. Wapige kazi mshahara utakuja kuongezwa tu kulingana na Inflation na OUTPUT
 
Watumishi wa umma ni wavivu, wamekosa ubunifu na bado wanalilia mshahara uongezwe Mei Mosi. Nashauri pasiongezwe hata senti mpaka pathibitishwe kuongezeka kwa tija, tuwapime mpaka 2019 labda.
Huna akili pumbafu kabisa..ng'ombe unamsubiria aongeze utoaji maziwa ndio umuongezee chakula au utamuongezea chakula na huduma zingine ili aongeze utoaji maziwa?
 
Kila upande utimize wajibu wake. Mfanyakazi kufanya kwa weledi na bidii ni sehemu ya masharti ya Nazi yake na serikali kutoa increments kila mwaka na kupandisha vyeo kwa wakati ni sharti LA lazima kulingana na mikataba ya kazi.
 
Back
Top Bottom