Bila tija mshahara usiongezwe serikalini

Bila tija mshahara usiongezwe serikalini

Kuna mtumishi wa serikali kakuchukulia mke?
 
KIUKWELI WATUMISHI WA UMMA NI WAZEMBE, WAVIVU, INCOMPETENT, NOT CREATIVE, WANAFANYA KAZI KIMAZOEA, WAMEZOEA MAJUNGU, FITINA, RUSHWA, USHIRIKINA (wanategemea ushrikina kulinda vibarua.), HAWAPENDI KUJIFUNZA. ETC.

NA NDIYO MAANA WENG WANAKIMBILIA SERIKALINI, WANATAKA VYA BURE..

NB: NAONGEA KWA UZOEFU, NA NINAAMIN SERIKALI IKIAJIRI NA KUFANYA EVALUATION KTK MFUMO WA PRIVATE SECTOR WENG WATAINGIA MITINI..
 
Watumishi wa umma ni wavivu, wamekosa ubunifu na bado wanalilia mshahara uongezwe Mei Mosi. Nashauri pasiongezwe hata senti mpaka pathibitishwe kuongezeka kwa tija, tuwapime mpaka 2019 labda.

Fafanua TIJA ipi?
 
Wivu tu.....umekosa ajira unatka wenzio wacfaidi keki ya taifa lao kisa mawivu yakooo[emoji28] [emoji28] [emoji28]
Acheni kulilia nyie haaa unadhani nyie mlieajiliwa ndio mmetoka kimaisha? Unajidanganya aiseee.ndio maana mshahara ukichekewa mnalialia.aandaeni mazingira msitegemee mshahara.namshauri serikali awapunguzie mishahara woote tuone mtavimba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ni chizi tena mchawi we umebuni nini MTU anaajiriwa kwa kazi yake alioisomea kwani wote ni wanasayansi ndo useme wawe wana create we VIP think before talking
 
Elfu mbili na 19 Tumeamka ili mtupumbaze na uchaguzi hamumpati MTU shenzi sana
 
Lumumba akili zenu sijui mnazifungia wapi!!! Au wote hamjaenda shule....hivi unajua maana ya tija...unajua factors zonazo fanya kupatikana kwa matokeo chanya...hasa kwenye uongozi na ufanyaji kazi...!!

Nimejua aina ya watu wanaongoza taifa hili!!
 
Back
Top Bottom