Bila tija mshahara usiongezwe serikalini

Bila tija mshahara usiongezwe serikalini

China wameweza kwa nn sisi tushindwe?
Hahaha kwani sisi ni china?! Technological know how ni tofauti na ILANI.
Ilani ni kubwabwaja, lakini sio kutenda.
Kiwanda hakioti kama uyoga kinaundwa with purpose sio kubwabwaja eti viwanda 100 kila mkoa. Huna teknologia, ila ungetamani uwe nayo. Teknologia inauzwa kama nyie mnavyouza pamba. Nendeni mkanunue mje mjengewe hapa mzalishe mtakacho.
Teknologia inalindwa na sheria za aliyeigundua na nchi inayoimiliki kuna kitu kinaitwa PATENT, unanunua kwa masharti yaliyopo au muwekezaji mwenye technologia akupe masharti ya kuilinda technologia yake, hii siyo jambo dogo.
Sasa kasome sio kung'aang'aa macho ukadhani Tanzania viwanda vitaota kama uyoga, hakuna sehemu vimewahi kuota huwa vinaundwa with purpose of what you want to make/produce.
Nyie Tanzania mnataka kutengeneza nini?! Teknologia mnayo?! Wataalam mnao?!Malighafi mnazo?!
 
Watumishi wa umma ni wavivu, wamekosa ubunifu na bado wanalilia mshahara uongezwe Mei Mosi. Nashauri pasiongezwe hata senti mpaka pathibitishwe kuongezeka kwa tija, tuwapime mpaka 2019 labda.
Ungeenda moja kwa moja kwenye ofisi husika unayotaka uione tija ndo wapandishwe mishahara.

Serikali kila siku kila wiki,mwezi na hata mwaka inatujulisha kuwa kama Taifa khali ya kiuchumi imekuwa ,hata siku moja hatujaelezwa kuporomoka kwa uchumi wetu.

Kwa dhana hii unataka tija gani? Nurse unataka akuoneshe tija gani? Police tija yake nn? Mwanajeshi unampima kwa tija IPI? Mwl amekosa nn?

Toa ushauri wa hakiiiii, sawaaaa
 
Watanzania wenzangu tusikwepe ukweli kuwa tulizoea madili. Kwa sasa mtu anapaswa kuishi Kwa kipato halal. Wana-kinondoni kura zote Kwa Mhe. Dr. Mtulia
 
NA BILA MISHAHARA YA MAANA USITARAJIE TIJA YOYOTE. nyie pigeni porojo km mmetoka usingizini
 
Watumishi wa umma ni wavivu, wamekosa ubunifu na bado wanalilia mshahara uongezwe Mei Mosi. Nashauri pasiongezwe hata senti mpaka pathibitishwe kuongezeka kwa tija, tuwapime mpaka 2019 labda.
Kwa staili hiyo mchwa ktk secta ya umma hawataisha kamwe.
 
Subira yavuta heri, kupanga ni kuchagua. Hatuachi kazi ila ataufahamu umuhimu wa watumishi wa umma soon.
 
Unathibitishaje kuongezeka kwa tija kwa madaktari,manesi na walimu? Ni kipimo/kigezo gani hasa utakitumia?
Watumishi wa umma ni wavivu, wamekosa ubunifu na bado wanalilia mshahara uongezwe Mei Mosi. Nashauri pasiongezwe hata senti mpaka pathibitishwe kuongezeka kwa tija, tuwapime mpaka 2019 labda.
 
Watumishi wa umma ni wavivu, wamekosa ubunifu na bado wanalilia mshahara uongezwe Mei Mosi. Nashauri pasiongezwe hata senti mpaka pathibitishwe kuongezeka kwa tija, tuwapime mpaka 2019 labda.
Dhihaka ulizozitoa itakuwa ulikuwa mtu wa karibu na Magufuli. Sauti ya malalamiko ya weng hugeuka laana kwa watesi. Hivyo bas uliyemsapot kutenda huo uonevu kafa na kama wewe haujafa basi uko mbioni kufa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wafanyakazi awataki ngonjera tena wanata mzigo maana wamesubilishwa sana na nafikili mama atalizingatia sijui anaweza kuongeza kwa asilimia ngapi ngoja wataalamu wa uchumi waje kubashiri hapa
 
Unaipimaje tija kwa mfanyakazi wa serikali?
 
Back
Top Bottom