LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 11,788
- 15,406
kwa sheria ipi?
Si lazima kwenda Mi...be DodomaWatumishi wa umma ni wavivu, wamekosa ubunifu na bado wanalilia mshahara uongezwe Mei Mosi. Nashauri pasiongezwe hata senti mpaka pathibitishwe kuongezeka kwa tija, tuwapime mpaka 2019 labda.
Mnataka tija wakati budget inatekelezwa kwa % zisizo na tija.Watumishi wa umma ni wavivu, wamekosa ubunifu na bado wanalilia mshahara uongezwe Mei Mosi. Nashauri pasiongezwe hata senti mpaka pathibitishwe kuongezeka kwa tija, tuwapime mpaka 2019 labda.
Jamani tusitake kuvuna tusipo panda. Niliwahi kufanya kazi serekalini budget nilizo panga hazikuwahi kutekelezwa kwa zaidi ya asilimia 40!, kwa muda wa miaka 3 mfululizo. Wakati naondoka niliwashauri waajiri mtu wa elimu ya chini ya ile ya kwangu kwani kazi zile zilikuwa ndani ya uwezo wake na mshahara wake ulikuwa chini.uko sahihi sana
lazima KPI iwe introduced kwa wafanyakazi wa serikali
wengi wavivu, hawajielewi, hawajiamini, hawajui procedures, sio wabunifu, hawana kipya yaani....
Tija ys kiserikali iko vipi hebu fafanua sio unaropoka maneno usiyoyajua!Watumishi wa umma ni wavivu, wamekosa ubunifu na bado wanalilia mshahara uongezwe Mei Mosi. Nashauri pasiongezwe hata senti mpaka pathibitishwe kuongezeka kwa tija, tuwapime mpaka 2019 labda.
Tija ni muhimu huko serikalin. Immigration wameweza kwa nn Halmashauri pashindikane?,pajengwe viwanda 100 kila Halmashauri nchiniHahaha utawaua huko serikalini, tija ni msamiati mpya huko. Lini na wapi serikali ikaleta tija?!
Ina maana hata kwenye mjengo mweupe kuna chizi?Kweli kila walipo 4 mmoja mwehu hakukosea yule Dr wa muhimbili.
Fafanua hiyo tija serikalini!Watumishi wa umma ni wavivu, wamekosa ubunifu na bado wanalilia mshahara uongezwe Mei Mosi. Nashauri pasiongezwe hata senti mpaka pathibitishwe kuongezeka kwa tija, tuwapime mpaka 2019 labda.
Watumishi wa umma ni wavivu, wamekosa ubunifu na bado wanalilia mshahara uongezwe Mei Mosi. Nashauri pasiongezwe hata senti mpaka pathibitishwe kuongezeka kwa tija, tuwapime mpaka 2019 labda.
Hahaha unaota wewe unadhani kiwanda ni warehouse?!Tija ni muhimu huko serikalin. Immigration wameweza kwa nn Halmashauri pashindikane?,pajengwe viwanda 100 kila Halmashauri nchini