Bila tija mshahara usiongezwe serikalini

Bila tija mshahara usiongezwe serikalini

Hakuna pesa ya bure awamu hii, lazima umenyeke kweli kweli. Kuipata hiyo pesa.
 
Hata wazazi wako wakikusikia kama mama atajilaumu kwa nn hakutoa hiyo mimba na kama baba ataona bora angepiga punyeto bafuni maana hana maana katika jamii.
Kiuchumi iko hivi watumishi wakipata mshahara mkubwa purchasing power inaongezeka na hela inapatikana kiurahisi hata kwa walala hoi.

Duh unatokea wapi Mkuu maana kuna sehemu ukisema umetokea huko nadhani jf wataelewa nini cha kukujibu kwa usahihi.
hiyo pesa badala ya kuwaongezea watumishi tutawapelekea hao walala hoi direct .....watumishi hawa hawa mwisho wa mwezi wakipata mishahara wanashinda bar kunywa pombe?
 
Ivi mshahara unaongezwa mei mosi....?inaoneka namba unaisoma ukiwa mtaani maana una hasira kama umemeza nyuki teheee teheeee duh JPM wape ajira vijana hawa.
 
Ivi mshahara unaongezwa mei mosi....?inaoneka namba unaisoma ukiwa mtaani maana una hasira kama umemeza nyuki teheee teheeee duh JPM wape ajira vijana hawa.
Kumbe tamko la mshahara kuongezwa hutolewa lini? au ndo unajitia uchizi tu?
 
Nikikuacha bila kukujibu sitaitendea haki nafsi yangu.Namuhurumia sana baba yako ni bora bao lililotumika kukupata wewe angepiga pú.nyeto.
 
hiyo pesa badala ya kuwaongezea watumishi tutawapelekea hao walala hoi direct .....watumishi hawa hawa mwisho wa mwezi wakipata mishahara wanashinda bar kunywa pombe?
Si pesa yake lakini Mkuu?
Asubuhi subuhi aamke mwenyewe mwezi mzima, kazi akahangaike nayo mwenyewe mwezi mzima, na ma-stress ya hapa na pale ofisini ahangaike nayo mwenyewe mwezi mzima; wewe umpangie matumizi. TISIPANGIANE.
 
Kumbe tamko la mshahara kuongezwa hutolewa lini? au ndo unajitia uchizi tu?

Tamko bila bajeti,unadhani mei mosi Rais anakurupuka kama pesa ziko kwenye wallet enheeee..?pambana mtaani uko utafute hata pesa ya kula muda unaolalama wenzako wasiongezewe hauwezi kua msaada katika kuondoa umasikini wako heeee heeee ulidhani mchezo naona unazisoma namba mpaka unatamani na wengine wazisome dadadadekiii.
 
Serikali kwa mwaka uliopita imetekeleza bajeti iliyopangwa na watumishi kwa 34 % tu hela nyingi zikitumiwa na viongozi kwa masuala yasiyo ya kipaumbele unataka watumishi wafanye miujiza gani kuleta maendeleo?
Punguani mkubwa weee
 
Watumishi wa umma ni wavivu, wamekosa ubunifu na bado wanalilia mshahara uongezwe Mei Mosi. Nashauri pasiongezwe hata senti mpaka pathibitishwe kuongezeka kwa tija, tuwapime mpaka 2019 labda.
ngoja nipite kimya kimya
 
Ongezeni tija, vinginevyo fungeni midomo hiyo
Jamaa yangu unanifurahisha sana uzuri wewe umesoma social issues tena kwa kiwango kizuri tu cha *******,management pia uliyo soma inakusaidiaje jamaa yangu *****ry?? Swala la utumishi lina mambo mengi sana ,ubora wa kazi una mambo mengi sana tena sana ukiachilia mbali kazi za kitumwa ambazo ni za lazima ufanye hata bila malipo, nadhan ungeanza na kutoa maelezo vizuri kwa utaalamu wako kitaalamu maana hapo hicho ulicho andika inaonekana kama umeandika kisiasa na kutafuta kuungwa mkono na watu wa upande wa sifa na kusifiwa.
 
Watumishi wa umma ni wavivu, wamekosa ubunifu na bado wanalilia mshahara uongezwe Mei Mosi. Nashauri pasiongezwe hata senti mpaka pathibitishwe kuongezeka kwa tija, tuwapime mpaka 2019 labda.
Bichwa lako limejaa kamasi...Bila masilahi mazuri ufanisi utatoka wapi.. Ng'ombe hujampa majani unataka akupe maziwa.. Unaacha ofisi nzuri Dar watumishi wanaenda kulundikwa kwenye mabweni ya chuo yet unataka ufanisi... Bajeti imetekelezeka kwa 27% unataka watumishi wauze pumbu zao wafanye kazi ya serikali.... Akili za KIKOROMIJE Bwana...!!!
 
Back
Top Bottom