Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 51,090
- 123,318
Mm nmezoea kifaransa, swah kinanipiga chengaLabla ndio nini we mmakonde! Kuongea tu hujui kuchanganua nyash na ubongo ndio utaweza! Matakonwazi wee🤣
Mm nmezoea kifaransa, swah kinanipiga chengaLabla ndio nini we mmakonde! Kuongea tu hujui kuchanganua nyash na ubongo ndio utaweza! Matakonwazi wee🤣
Ww ndo una taarifa zao kwamba akili hazipotei?Hazipotei isipokuwa anakuwa anazitumia kwa ubahili tu.
Hebu tuongee kidogo nikupime uelewa😎Mm nmezoea kifaransa, swah kinanipiga chenga
Tunaishi nao.Ww ndo una taarifa zao kwamba akili hazipotei?
Mmhh mpaka pale utakapoanza kujaji text ulizo chat kwa kiingerezaUzuri wa big brain hauchuji.
So mm hawa naoishi nao kumbukumbu zao zimepotea, n tunaishi sayari gnTunaishi nao.
Nilishakueleza.Hao wanabahilia matumizi ya akili zao tu.So mm hawa naoishi nao kumbukumbu zao zimepotea, n tunaishi sayari gn
Una uhakika gn?Nilishakueleza.Hao wanabahilia matumizi ya akili zao tu.
Kwenda kujibia maswali huko ahera. Ili wakifaulu waimbe nyimbo za utukufu kwa umakini mkubwa.Wasipoteze nguvu na umakini.Una uhakika gn?
Wanabahilia ili kwenda kuzitumia wapi?
Sasa kama nyinyi wenyewe mnaandika kizero brain hivi intakuwaje huko kwenye machaguzi🤣Kwenda kujibia maswali huko ahera. Ili wakifaulu waimbe nyimbo za utukufu kwa umakini mkubwa.Wasipoteze nguvu na umakini.
Kivipi tena?Huu ni aina ya uandishi wangu ambao niliuchagua tangu kitambo kama utambulisho wangu.Mwaka 2009 wakati naiona JF ndipo nilianza hivyo.Ulikuwa darasa la ngapi vile?Comical styles & trends!Sina pressure!Sasa kama nyinyi wenyewe mnaandika kizero brain hivi intakuwaje huko kwenye machaguzi🤣
Am talking about ur points lol sio writing style, std7😁, after all ni utani tu!Kivipi tena?Huu ni aina ya uandishi wangu ambao niliuchagua tangu kitambo kama utambulisho wangu.Mwaka 2009 wakati naiona JF ndipo nilianza hivyo.Ulikuwa darasa la ngapi vile?Comical styles & trends!Sina pressure!
Points huwa zipo kwenye hiyohiyo futuhi ninayoiandika mara zote.Ukiwa makini hata kidogo tu,utaelewa.Am talking about ur points lol sio writing style, std7😁, after all ni utani tu!
upo sahihi brain ya kwang inatosha kabisa kila mtu anatafta kile kitu hana mm sina nyash ndo nahitaftaBrain tutatumia yangu,
Yeye aje na nyash tu.
Au nakosea ndugu wananchi?
Leo kazi ipoooooooo!Hata nyash linadumu ukiondoa 'Labda' na 'ugonjwa'
Labda nyash za Kichina! Original inashuka kwenda wapi?Si kweli hiyo.Nyash hushuka na kupotea kama mtoto aliyebebwa mgongoni huku hajafungwa mbeleko barabara!Akili hudumu.Ndiyo maana kuna wazee wa busara ila hakuna akina bibi mgongo binuka.Ni mikongojo tu.
Inaondoka na wakati.Labda nyash za Kichina! Original inashuka kwenda wapi?