Papaaa mukuubwaaa
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 2,638
- 2,319
vBig nyash gives you brainy kids!Big nyash gives you brainy kids!
vBig nyash gives you brainy kids!Big nyash gives you brainy kids!
Uliwahi kuona akili inakonda?Ht big nyash hauchuji
Akili haiwez kukonda, labla upatwe na gonjwa litakalokupelekea huko.Uliwahi kuona akili inakonda?
Mara nyingi hadi unaweza fananisha na mtu aliyekufa na kufufuka siku ya kumi na nne.Akili haiwez kukonda, labla upatwe na gonjwa litakalokupelekea huko.
Ulishawahi kuona tako limekonda?
Say again😅😅 sisi tuliowahi kukaa kabla hatujakauka tupo kundi gani
Labla apatwe na ugonjwa kama ambavyo akili nayo inaweza kuchakaa akipatwa na gonjwaMara nyingi hadi unaweza fananisha na mtu aliyekufa na kufufuka siku ya kumi na nne.
Ukiondoa "labda" na "ugonjwa",akili hudumu kuliko nyash.Labla apatwe na ugonjwa kama ambavyo akili nayo inaweza kuchakaa akipatwa na gonjwa
Hata nyash linadumu ukiondoa 'Labda' na 'ugonjwa'Ukiondoa "labda" na "ugonjwa",akili hudumu kuliko nyash.
Tukatafute takwimu za "hata bibi alikuwa binti" na "babu babuka" tuje nazo mezani.Hata nyash linadumu ukiondoa 'Labda' na 'ugonjwa'
Mkuu, kila kitu kina expire date yake.Tukatafute takwimu za "hata bibi alikuwa binti" na "babu babuka" tuje nazo mezani.
Akili ni akili tu,na nyash ni nyash tu!Hebu kumbuka ulipokuwa na umri mdogo, halafu vuta picha ya watu waliokuwa na akili na waliokuwa na nyash.Sasa utuambie nani ameponyokwa na rasilimali yake baada ya miaka 35 baadaye?Mkuu, kila kitu kina expire date yake.
Na expire date inaweza kuletwa na mambo mengi kama ajali, ugonjwa, mzee baba kifo nk
Sisemi 😅Say again
Wote nyash zao zipo pale pale na wote akili zao zipo pale paleAkili ni akili tu,na nyash ni nyash tu!Hebu kumbuka ulipokuwa na umri mdogo, halafu vuta picha ya watu waliokuwa na akili na waliokuwa na nyash.Sasa utuambie nani ameponyokwa na rasilimali yake baada ya miaka 35 baadaye?