Big Brother Africa (BBA) 2012 - Updates

Big Brother Africa (BBA) 2012 - Updates

would someone keep me posted of what happened in Biggie's house today, please
 
Kijana Matope naona kala bann ya kutosha!!!ahahahaaaaaaaaaaa
 
he!...leo jumba la upville kunaboa mbaya......Maneta na Roki wametolewa basi kila mtu analia....wanaboajeeeeee
 
Barbs Outttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttt

woooowwwwwwwwwwwwwwwwwww
 
I screamed my lungs out jana baada ya Barbs kutoka, she was too fake.

sasa tusubiri kati ya wale wamalawi na wazambia nini kitatokea....ila wale wamalawi wananiboa.......

 
Wamalawi wanaboa ila naua Wati atakuwa upgraded, I wish watu wampigie kura Jannet badala ya Kayle.

Uliangalia Party ya Jumamosi hii? Jannet alikuwa anacheza kama ka senene yaani nilicheka sana
Afu analichezea libaunsa jamani ilikuwa kama kifanranga cha kuku kunaenda cheza mziki na tembo.

sasa tusubiri kati ya wale wamalawi na wazambia nini kitatokea....ila wale wamalawi wananiboa.......

 
Wamalawi wanaboa ila naua Wati atakuwa upgraded, I wish watu wampigie kura Jannet badala ya Kayle.

Uliangalia Party ya Jumamosi hii? Jannet alikuwa anacheza kama ka senene yaani nilicheka sana
Afu analichezea libaunsa jamani ilikuwa kama kifanranga cha kuku kunaenda cheza mziki na tembo.

sikuona hiyo.......huwa naangalia zaidi upville.....hebu ngoja nitawafuatilia nione......
 
sikuona hiyo.......huwa naangalia zaidi upville.....hebu ngoja nitawafuatilia nione......

Preta najua jana j'pili ndo ilikuwa siku ya eviction naomba unijulishe waliotoka na wale waliopelekwa upville.
 
Preta najua jana j'pili ndo ilikuwa siku ya eviction naomba unijulishe waliotoka na wale waliopelekwa upville.

yah...aliyetoka ni Tamala na mmalawi mmoja nimesahau jina lake......Talia na Wati ndio wameenda Upville.....
wale waliobaki downville ambao ni wakenya 2 na waganda 2.... wamekwenda Upville....kunanogaje hukooooo......full maumbea kwa kina dada.......so downville hakuna watu tena......

 
Thanks...naimisije Big brother.Binafsi nitafurahi sana kama Talia ndo ataibuka kidedea.Iv zimebaki siku ngapi tumjue mshindi.
 
Malonza and Junia (bibi na bwana) out.......
 
Wiki hii ni Goldie, Prezzo, Lady May na Kyle (replaced HOH Keagan).

Lady, Goldie na Prezzo ni wakubwa kiumri, tayari ni maarufu na wana fedha. Ingekuwa bora nao wakatolewa wawaachie vijana wadogo nafasi.

Kwa kuanza, Goldie na Prezzo watoke, then next week of course Lady may atatoka.

Tanzania please vote for Lady May and Kyle.
 
Whats all the hullaballou about BBA? Personally, i find show distasteful. I see a bunch of untalented wannabees craving for fame and fortune, Will someone unplug the TV please?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom