Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

1923471_b4ri287cqaa7lvo_jpeg26e03fe6e26a3fcfd41aa7c1941a2bb0


1923472_b4rirwcaaaah8_jpegd57101e98f58700f2e058998322262f0


1923472_b4rirwcaaaah8_jpegd57101e98f58700f2e058998322262f0

1923473_b4rjfvmcuaeamhm_jpeg7789fe44a935162cd0a86d3bb15c7d63
 
Nilijua, wengi ambao walikua hawataki dogo ashinde ni wanaija, ila wengine wote walishakubali

Kabisa ni mi comment yao kwenye screen twenty four seven Idris from nothing to something alikua haboi ka Tayo mgomvi
 
sio mfuatiliaji wa BBA wala siipendi , ila nilipiga kura 400 kwa idris, i pray atumie vizuri hizo hela alizopata
 
Tayo na ile misifa yake na sikutarajia kama atafika fainali.Japo sijaangalia finali ila hongera zake jamani japo sikutegemea idriss kama anaweza kuwa mshindi

Tayo alikua na mambo ya ajabu sana Idris nilijua anaweza kushinda kapigiwa na nchi NNE za East Africa Tayo kapigiwa na nchi Tatu
 
chunga kauli ndugu, we all tanzanians no matter our differences tukienda nje sisi ni wamoja.

Nichunge mimi au aliyekuwa anajoke kuhusu Nigerians kuwa busy na terrorists?
Elewa michango ndugu,i hate terrorists.
 
Karibu nyumbani idris, ngoja nikupe yaliyo jiri while ulikuwa uko mjengoni
1. Wema kaachana na chibu, chibu kajiegesha kwa zari "the boss lady".
2. Kuna ugonjwa mpya wa "tezi dume", unatibiwa marekani tu na unawapata sana sana viongozi wakubwa wa nchi
3. Kama una account Mkombozi ukifika kacheki, unaweza kuwa umepata gawio la escrow. Wengine wamepata mara tatu ya ulioshinda

Welcome back home
 
wapga majungu wamesha anza na majungu yao cjui nani aliwatuma waangalie ila mashetani mengne bhana yanatia hasira wivu tu yaone mimacho yao.Jamaa amewakilisha nchi yetu na ameshnda bdala ya kumpongeza yanapga jungu.
 
Karibu nyumbani idris, ngoja nikupe yaliyo jiri while ulikuwa uko mjengoni
1. Wema kaachana na chibu, chibu kajiegesha kwa zari "the boss lady".
2. Kuna ugonjwa mpya wa "tezi dume", unatibiwa marekani tu na unawapata sana sana viongozi wakubwa wa nchi
3. Kama una account Mkombozi ukifika kacheki, unaweza kuwa umepata gawio la escrow. Wengine wamepata mara tatu ya ulioshinda

Welcome back home

mie mwenyew hako kaugonjwa no.2 ninako ila pesa ya kwenda huko cna imebdi nianze kwa kugombea uenyekiti najua ntafika tu huko na kuwa fudodido wa nchi then wiki ya kwanz tu thetre europe
 
Tayo alikua na mambo ya ajabu sana Idris nilijua anaweza kushinda kapigiwa na nchi NNE za East Africa Tayo kapigiwa na nchi Tatu

Niliangalia wakati fulani nilimuona huyu Tayo, jamaa ni mvivu na pia ni mbinafsi. Sidhani kama alishawahi hata kuwa HoH.
Hakuwa akiosha vyombo wala kupika, alikuwa chuki za ajabu kwa washiriki wengine. Sijui kama alibadilika baadaye, lakini hakustahili kuwa mshindi.
Ova
 
jamani insta wabongo wamemshukia davido huko ni noomaa..hadi shoga ake diamond kamrudishia fumbo lake!!kimenuka
 
Back
Top Bottom