Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
picha utaiona tu kesho kwenye magazeti,na kwnye tv screen yako kubwa ndo utamfaidi. kwny hiyo tekno hutamuona vizuri
mi mbona kwenye P5 yangu namuona vizuri tuuuu
picha utaiona tu kesho kwenye magazeti,na kwnye tv screen yako kubwa ndo utamfaidi. kwny hiyo tekno hutamuona vizuri
Hongereni sana Watz,ushindi huu unatuleta pamoja baada ya sakata la Escrow na hila za mzee Mengi
Diamond ka perform vyema
sijaelewa yale mawani though au alitaka ku match white kila sehem
Nilijua, wengi ambao walikua hawataki dogo ashinde ni wanaija, ila wengine wote walishakubali
Hivi hawakutumia escrow kukokotoa mahesabu?
Wajinga wazaz wako walioacha kukupa shulle makin na kukuacha ukiwa zezeta mwenye roho ya chuki na kijiba juuuuu,,,,,Hongera Idrs bhana
Tayo na ile misifa yake na sikutarajia kama atafika fainali.Japo sijaangalia finali ila hongera zake jamani japo sikutegemea idriss kama anaweza kuwa mshindi
chunga kauli ndugu, we all tanzanians no matter our differences tukienda nje sisi ni wamoja.
hee hee watu ful kutumia fursa..kazi kwake
Karibu nyumbani idris, ngoja nikupe yaliyo jiri while ulikuwa uko mjengoni
1. Wema kaachana na chibu, chibu kajiegesha kwa zari "the boss lady".
2. Kuna ugonjwa mpya wa "tezi dume", unatibiwa marekani tu na unawapata sana sana viongozi wakubwa wa nchi
3. Kama una account Mkombozi ukifika kacheki, unaweza kuwa umepata gawio la escrow. Wengine wamepata mara tatu ya ulioshinda
Welcome back home
Tayo alikua na mambo ya ajabu sana Idris nilijua anaweza kushinda kapigiwa na nchi NNE za East Africa Tayo kapigiwa na nchi Tatu
Mambo ya wazazi yanaingiaje hapa?!what if huyu ndo mzazi wako?!
jamani insta wabongo wamemshukia davido huko ni noomaa..hadi shoga ake diamond kamrudishia fumbo lake!!kimenuka
yass it is me demba.....nimerudi kundini nlichepuka kidogo mwayamamii nimekumiss mpaka naumwa, are you you?