Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Hongereni sana Watz,ushindi huu unatuleta pamoja baada ya sakata la Escrow na hila za mzee Mengi
 
Hebu wekeni hiyo lipicha lake.....na naomba tu kuuliza,je? Hili shindano lina faida gani kwa Taifa letu????
 
Team wema nilazima wamdate labla ya lutua tz, japo jokt ni lazima awahi
 
Mmeona tweet ya davido
" N they cheat again lol "

Nigerians wamechanganyikiwa aisee
 
Hebu wekeni hiyo lipicha lake.....na naomba tu kuuliza,je? Hili shindano lina faida gani kwa Taifa letu????
Kwasasa lina faida sababu hizo pesa alizoshinda si zinarudi kwetu ukiangalia indirect ni wengi watanufaika
 
Back
Top Bottom