Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Umejuaje kuwa ana chance ndogo tusubirie anything can happen tusicho tarajia

Hii ni number game. Potential number ya voters ya wanaiji na mara ya tatu ya watz assuming kwamba wana nafasi sawa ya votes za nchi nyingine!
 
wapi samantha jay? hahaha lazima abaki kwanza south atumbue na samantha!
 
Zitakuwa salaam zaidi
Kingine utakuwa na uwezo wa kutoa hatahela yote bila masharti kama bank nyingine


MKOMBOZI BANK
BANK YA WANYONGE
 
Huyo dogo anatoka Kijenge pande za Arusha kanda ya Kaskazini - Hata Raisi wenu mpendwa atatoka kanda za kaskazini 2015 msiokubali mkajinyonge habari ndio hiyo na Ni Sheeeeeeda!
Tunacho jua he Z tanzanian..hayo mengine ya kikanda hayatuhusu
 
Hivi haya mashindano yanahusu nini na faida yake ni nini.

Yanahusu kuipigia kampeni katiba iliyopendekezwa ..... maana watu mnajua tu siasa na nani kaiba na nani kagaiwa.

Ukiona jambo linaendelea nakushabikiwa na wewe ukijitahidi kulielewa hufanikiwi basi ujue sio fani yako achana nalo. Sio lazima kujua kila kitu!
 
Hii ni number game. Potential number ya voters ya wanaiji na mara ya tatu ya watz assuming kwamba wana nafasi sawa ya votes za nchi nyingine!
hawaangalii idadi ya kura total za nchi moja, wanaangalia idadi ya nchi zilizokupigia, ni kama uchaguzi wa marekani na vile majimbo yanavyomchagua rais wa marekani.
 
BBA Its Tanzanian best competition where we alwas win.

Lets cheer for him.

yani mijamaa ya escrow ni noma,wameangalia ni tukio gani la kuwasahaulisha watanzania wakaona bba finale inakaribia.naona wakaroga ili mshindi awe mtanzania kwani wabongo ni wepesi kusahau ya nyuma

btw: idris umetisha bora utusahaulishe hii kashfa ya familia ya le prof...
 
Hivi ili kushinda unatakiwa kufanya nini? au nini kilicho mfanya ashinde? Naye atapokewa kwa maandamano!
 
Hongera.
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1417980416.475101.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1417980416.475101.jpg
    14.2 KB · Views: 362
Back
Top Bottom