Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

BIG BROTHER AFRIKA 2014: Idris Sultan kutoka Tanzania ashinda BigBrother Afrika kwa mwaka 2014 usiku huu, achukua dola za Marekani laki tatu.
 
Wengi waliamini Tayo ata shinda ila nilikua namwamini Idriss atakua kapigiwa na nchi NNE au Tano

Tayo na ile misifa yake na sikutarajia kama atafika fainali.Japo sijaangalia finali ila hongera zake jamani japo sikutegemea idriss kama anaweza kuwa mshindi
 
Kidogo nimpige kibao mke wangu nimeingia sijakaa hata nitulie nasikia mtu anapiga makelele kumbe ndio huo mchezo alikuwa anaangalia. Nampongeza lakini bado sijajua mantiki ya huu mchezo .
 
Akina dada akia nani mtapigwa nao saana maana washaanza kujigonga 😂😂
 
Mwingine huyu
 

Attachments

  • 1417981856277.jpg
    1417981856277.jpg
    58.9 KB · Views: 515
Kwa maisha ya Kuigiza hatuna mpinzani , unakutana na sister duu mlimani city mbwembwe nyingi na kiingereza cha kumwaga utafikiri kashuka toka kwa Obama juzi kumbe anakaa Tandale kwa mfuga mbwa. Kuoga wanaoga kwa foleni.

Any way Congrats Idriss ingawa sijawahi ona mantiki ya haya mashindano ya BBA
 
Back
Top Bottom