tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,484
kudos for idriss,thank u east african, shame to mozambiqueKabisa ni mi comment yao kwenye screen twenty four seven Idris from nothing to something alikua haboi ka Tayo mgomvi
kudos for idriss,thank u east african, shame to mozambiqueKabisa ni mi comment yao kwenye screen twenty four seven Idris from nothing to something alikua haboi ka Tayo mgomvi
Hebu tudokeze wamesemaje?
Niliangalia wakati fulani nilimuona huyu Tayo, jamaa ni mvivu na pia ni mbinafsi. Sidhani kama alishawahi hata kuwa HoH.
Hakuwa akiosha vyombo wala kupika, alikuwa chuki za ajabu kwa washiriki wengine. Sijui kama alibadilika baadaye, lakini hakustahili kuwa mshindi.
Ova
mantiki ya mchezo ni pesaaaaaaKidogo nimpige kibao mke wangu nimeingia sijakaa hata nitulie nasikia mtu anapiga makelele kumbe ndio huo mchezo alikuwa anaangalia. Nampongeza lakini bado sijajua mantiki ya huu mchezo .
Mambo ya wazazi yanaingiaje hapa?!what if huyu ndo mzazi wako?!
Hebu tudokeze wamesemaje?
Nilijua tu usimtaje bwana ako diamond
Kumbe ana miaka 21 mmmmmmmmmmmmmmmm Idris i can b your cougar....lol
Tuliinama pamoja tunainuka pamoja, kura si tumepiga ngoja nami nigoogle mamba ake...
hongera idris, hizo hela tanua kwa step usijeishia kuuza matikiti kama Mac Muga!!!