Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Haya!Kwa vile kashinda basi kaiwakilisha nchi vema.ILA ASINGESHINDA BASI HAYO MASHINDANO NCHI HAIYATAMBUI.
 
Hili shindano nimelifuatilia historia kidogo tu ya washiriki kutoka Tz,uzoefu unaoneaha washiriki wanaume wamepata mafanikio makubwa kuliko wanawake.Maoni yangu kuwa tuwe tunapeleka washieiki wa kiume tu ili kujiweka katika nafasi ya kushinda zaidi kuliko kupeleka wauza sura wa kike wanaotolewa hatua za mwanzo kabisa.Ni mtazamo tu.

sidhani kama kuna utaratibu wa nchi kupeleka washiriki,nachojua watu binafsi wanaomba wenyewe kushiriki.
 
hongera lakini nasikitika Tanzania kuwa mshindi wa mambo ya ajabu ajabu ila tunafeli mambo yale ya msingi.
 
Idris ameshinda big brother africa na kujinyakulia dola za kimarekani 300000=hongera ziende kwake na watanzania wote kwa kututangazia taifa letu kimataifa.
 

Attachments

  • 1418018449510.jpg
    1418018449510.jpg
    23.8 KB · Views: 699
Hongera zake ...Idriss.

Next time BBA wasijaze wasanii...mle. Tunaka wamuweke ...mjeda mmoja, rubani moja, enginieer wa fani yoyote mmoja, mwalimu mmoja wa masomo wa chuo kikuu wa masomo ya biashara, mwanasiasa mmoja,....ongezee na nyie wanajamvi.

HII NI MUHIMU SANA : Sharti, wasitiri faragha zao wanapoenda kuoga.
 
Back
Top Bottom