Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Huyo dogo anatoka Arusha pande za Kijenge kanda ya Kaskazini - Hata Raisi wa Tanzania 2015 lazima atoke kanda ya Kaskazini!
 
Dah na nilikuwa nawaza wa naija walivyo wengi vile kumbe na wenyewe wako busy na boko haramu.👏👏👏👏idrisa

hahahahahahaaa shukrani ziende kwao boko haramu kwa kuwa keep busy wanaijeria
 
Ni vifijo na ndelemo hapa SA baada ya Mtz wetu kutwaa kitita cha dola za kimarekani laki 3......oyooooo
Haijafikia hata asilimia moja ya pesa ya escrow! kumbe zile pesa tungeweza kuandaa BBA 100 hapa bongo.., daah!
 
Dogo kaingia kwenye list ya milionea wa Arusha.
 
Sasa hivi Wema atatulia sasa, wema na idris ni couple mya ya mujini.
 
Wema achangamkie fursa kwa Idriss, ni wakati wa kumrusha roho Diamond sasa.
 
Huyo dogo anatoka Kijenge pande za Arusha kanda ya Kaskazini - Hata Raisi wenu mpendwa atatoka kanda za kaskazini 2015 msiokubali mkajinyonge habari ndio hiyo na Ni Sheeeeeeda!
 
Hatimae mmbongo Idriss kabeba dola 300000 kutoka huko mjengoni big brother. Hongera kijana njoo usumbue huku bingo now.
 
Dah na nilikuwa nawaza wa naija walivyo wengi vile kumbe na wenyewe wako busy na boko haramu.👏👏👏👏idrisa

Kila nchi inahesabika kura moja hata wakipiga million mia
 
Wanaigeria wanafki sana.......umemuona huyo Lilian alivyoingia na kumrukia Tayo huku analia.......walijihakikishia sana kushinda.........

Nimemuona...

yaani wao walikua wanaona Tayo ndio mshindi matokeo yamekuja otherwise
 
Back
Top Bottom