La Princesa
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 1,056
- 1,188
Hebu wekeni hiyo lipicha lake.....na naomba tu kuuliza,je? Hili shindano lina faida gani kwa Taifa letu????
Weka li picha lako kwanza tulione...
Hebu wekeni hiyo lipicha lake.....na naomba tu kuuliza,je? Hili shindano lina faida gani kwa Taifa letu????
Hivi ili kushinda unatakiwa kufanya nini? au nini kilicho mfanya ashinde? Naye atapokewa kwa maandamano!
hawaangalii idadi ya kura total za nchi moja, wanaangalia idadi ya nchi zilizokupigia, ni kama uchaguzi wa marekani na vile majimbo yanavyomchagua rais wa marekani.
Wakishindwa tu ndio kuna kucheat wakishinda ahaa poa tu. Imekula kwao!
Hebu wekeni hiyo lipicha lake.....na naomba tu kuuliza,je? Hili shindano lina faida gani kwa Taifa letu????
mchzo wa kipunga tu hiyo.....siungi mkono kbsa
Unampangia matumizi unajuaje kama anakuja kuzitumia Tanzania.[/QUOTE
Faida yake tumepunguza masikini hapa kwetu ukitoa idriss na family yake kama ya watu 7 so namba ya masikini imedrop kama tulikuwa milioni 1 toa 7 hapo
Hawana jipya hao wamezoea kujiona wajanja ishakula kwao kabisa
Wewe punguani kweli, umeandika nini sasa.Yanahusu kuipigia kampeni katiba iliyopendekezwa ..... maana watu mnajua tu siasa na nani kaiba na nani kagaiwa.
Ukiona jambo linaendelea nakushabikiwa na wewe ukijitahidi kulielewa hufanikiwi basi ujue sio fani yako achana nalo. Sio lazima kujua kila kitu!
Team wema nilazima wamdate labla ya lutua tz, japo jokt ni lazima awahi
Na wewe unayeshangilia liverpool ina faida gani kwa taifa letu?
Ukitaka kuamini mi mtabiri mzuri subiri how Africa voted
Woyooooooo wale ambao sio fan wa BBA kaeni na stress zenu za escrow huko woyoooo
unakumbuka mwisho aliporudi tu baada ya kuwa famous mshindi wa pili bba season 1, akaachana na demu wake akawavaa bongo celebritiesKwanini a date walioshindikana ajitaftie mrembo mzuri sio hao walioshindikana mrembo ka Samantha