Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
Laveda naona ana hamu huyu kila saa kukatikiana wanaume
Laveda naona ana hamu huyu kila saa kukatikiana wanaume
Hahah.. Huku kukatikiana nashangaa jamaa hata hawanyanyui maturubai
Washiriki wamelowana kama wagonjwa wa ebola..kuna huyu mtanzania idris sijui mpiga vidufu madrasa kutwa yuko na msuli ..yaani full mavi mavi
Si ndio hapo hafana nii na anayo fanya awaachie lilian na esther hadi Ella wa Uganda kamwambia anajua zaidi lakini hawezi fanya zaidi kama Laveda
Laveda naona ana hamu huyu kila saa kukatikiana wanaume
Dah... I think am outdated, sijawahi kuwa na mzuka na haya makitu... Tusker Project Fame ikianza naomba mnitag wadau..
Enjoy your selves...
Babu Dark City hauvumi lakini umo!?
Mimi namsindikiza bibi na wajukuu tu....
Si unajua tena mambo ya kupenda boga na ua lake?
Mzima lakini charminglady?
Katika TV show ambazo ni international level kutoka Africa ninazozidharau kama kinyesi cha kuku ni hii ya BBA, halafu inawashabiki ambao hata huwa siwatarajii..
Wako radhi kuacha usingizi, kazi na maswala mengine muhimu kwa ajili BBA. Mkitaka kusikia 1st AID yuko jera ni siku binti au kijana wangu wa kiume eti aniambie " Dadii I beg your blessing.. I won to join BBA" kama sio panga nta mditopile. Kinacho niudhi ni ngono na vipengele vyake.
Idrissa kaniboa janaa kama yuko emotional real afanye nje bana Goitse anaonekana hampendi.
Ana tabia ya kujipendekeza kwa wadada hadi biggie kamshauri
Umemuona eeeh!Yani full kujipendekeza na anaongea kimasifa sifa tu
IDRIS mjanja sana.. Ile character yake itamfanya awe na muda mrefu sana hapo ndani nakwambia.. So far vijana wa kiume wanaoonekana hatari ni Idris , Lui and Tayo.
Kama kuna mtu anadhan Idris atatoka leo au kesho kachemka.. Yule dogo anafika siku ya mwisho.
Goitse kama msichana yoyote huwezi kumkubali mwanaume kienyeji, Idris kama mjanja yoyote, dem akikureject sio mwisho wa kuflirt..
Sasahivi navyoongea Idris yupo na Goitse outside.. Dem anamuelewa idris sema wameamua kufanya drama.. That is the gem.
Atoke awepo atajijua mwenyewee