Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
Waendeshaji walichemka kwa kumsahau jamaa mmoja kwa hiyo wamerudia kutaja tena kwa kuongeza mtu aliyesahaulika jana yaani, Permithius.
Kwa hili wanaonekana kutokuwa makini kabisa!
Halafu hili shindano lina tatizo la ubora kiasi kwamba wakati mwingine sauti inakatika hata washiriki wakiwa kwenye diary room! Ni tofauti sana na mashindano ya nyuma!
Iyo ni kweli sauti zinajichaganya sana haija settle especially kwenye diary sesion huyo aliye sahaulika sijui itakuaje