Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Wabongo kwa mapenz! ukute huyo jamaa sijui anaitwa Idris anawaza kubanduana tu!!!!
 
Wabongo kwa mapenz! ukute huyo jamaa sijui anaitwa Idris anawaza kubanduana tu!!!!

Yani kama ulikuwepo mkuu mkolaj... First day aliuzwa ni kitu gani angependelea na ambacho kingemfanya awe mshiriki mzuri ndani ya jumba hilo yeye akasema tena kwa neno moja tu WOMEN/Girls 👭.. Anawaza ngono tu Mtanzania huyu...
 
Last edited by a moderator:
wengine wanaonyesha vipaji vyao yeye yupo na mademu.. hiyo ni advantage kubwa maana yupo tofauti na wengine wanaocharuka charuka mjengoni kama mwisho vile alivyokuwa yeye na mtungi mpaka kuchele!
 
Anaiwakilisha Tanzania kwa makubaliano yapi? Ebu acheni upumbavu Cc: Matola

Bongo tuna vipaji vya ubishi. Tunabishana hata visivyobishika. Mtu unakurupuka umetoka chooni unakuja jf kubishana tu jambo dogo!! Ni utoto mkikua mtaacha. Sasa we unayebisha kuwa haiwakilishi Tanzania unataka kusema ni muwakilishi wa wapi? Kutokumkubali kwako hakuondoi ukweli wa uwakilishi wake kwa Tanzania.

Hao ndio wawakilishi wa Tanzania hata kama hutaki wakuwakilishe. Kama hutaki kameze piliton au kama unachefuka kunywa juice ya ndimu.
 
Last edited by a moderator:
Bongo tuna vipaji vya ubishi. Tunabishana hata visivyobishika. Mtu unakurupuka umetoka chooni unakuja jf kubishana tu jambo dogo!! Ni utoto mkikua mtaacha. Sasa we unayebisha kuwa haiwakilishi Tanzania unataka kusema ni muwakilishi wa wapi? Kutokumkubali kwako hakuondoi ukweli wa uwakilishi wake kwa Tanzania.

Hao ndio wawakilishi wa Tanzania hata kama hutaki wakuwakilishe. Kama hutaki kameze piliton au kama unachefuka kunywa juice ya ndimu.

Asante sana arola kwa ufafanuzi makini.. Maana kuna watu mda wote wao wamebanwa na haja tu...ubishi usiokuwa na kichwa wala miguu kwao kipaji..
 
Last edited by a moderator:
Walimsifia mno kua ataweza kila kitu sie twasubiri majibu

Mkuu usiseme ataweza kila kitu! Maana mwishowe tutakuuliza hata "express urself litaweza kutoa?" Maana kizazi cha leo ni taabu!!
 
Back
Top Bottom