Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Hahaaa me napenda tu the way Goitse amereact hii issue kaifanya tofauti kama Eliza wa Kelvin sio lazima ukubali haraka kama wengine wanavyofanya..eg . Hakeem na Cleo au Feza na Oneal couple zao zimeishia kufa

Nani katoka leo...

Sijaona Eviction show leo
 
Siamini kama Nigeria huu mchezo unawalemea mapema namna hii..............
 
Maskini Lilian, confo lote limeporomoka ghafla....

Esther sawa ila sikutegemea Fankie abaki!!

Lilian malaika zake walishamueleza toka mwanzo........hakuwa na amani kabisa.......
 
Huu mchezo sasa ni bangi tupu...

Inawezekana vipi Sabina kuondoka kabla ya Frankie au hata Laveda??

Mhhhhh.......itabidi watu waishi kwa machale!
 
Dah.......hii game ya sasa........si mchezo.........Kenya nao inawalemea........
 
Huu mchezo sasa ni bangi tupu...

Inawezekana vipi Sabina kuondoka kabla ya Frankie au hata Laveda??

Mhhhhh.......itabidi watu waishi kwa machale!

Hii bigbrother ya sasa ni bangi tele.........khaaaaa......
 
Lilian malaika zake walishamueleza toka mwanzo........hakuwa na amani kabisa.......


Ila mimi sikutegemea kabisa....

Predictions zangu zilikuwa bado zinawaangukie Frankie na Esther ingawa bibi alishaanza kunishawishi kuwa Esther hatoki...

Ngoma ya huu mchezo haitabiriki tena....
 
Hii bigbrother ya sasa ni bangi tele.........khaaaaa......


Ila sasa naamini mchezo utakuwa mzuri kwa sababu hakuna mtu ambaye atajiona kuwa salama.

Huyu Sabina nimeambiwa alishaanza vitabia vichafu kama mtoto wa mwisho kwa mke mdogo....lol!!
 
Haukumbuki kwenye diary room sabina alisema mwanae kaishiwa pampers?


Sikuona ila niliambiwa kuwa kwenye mojawapo ya diary sessions zake alianza kuongea vitu vya ajabu sana. Sijui kwa nini alijipa imani kwamba ni untouchable!

Ila sasa week ijayo ni kimbembe kwa Tz kwa sababu tunaweza kuwa na washiriki wote kwenye kikaango!
 
Halafu eviction ya leo imeacha maswali mengi....ikiwa na maana kuwa watazamaji wana vionjo vyao ambavyo washiriki wanatakiwa kuvifanyia kazi.

Tabia za Lilian na Sabina na jinsi zilivyowafanya wakatimuliwa mapema zinatakiwa kuwapa fursa wale waliobaki kujipanga!
 
Halafu eviction ya leo imeacha maswali mengi....ikiwa na maana kuwa watazamaji wana vionjo vyao ambavyo washiriki wanatakiwa kuvifanyia kazi.

Tabia za Lilian na Sabina na jinsi zilivyowafanya wakatimuliwa mapema zinatakiwa kuwapa fursa wale waliobaki kujipanga!

Aisee mie sikutegemea kama lilian na sabina wangeondoka mapema hivyo.Ila nimefurahi maana nilikuwa simpendi lilian kwa tabia zake zakukatikisha na sabina alikua chaumbea sana yani ni kaongooo sana yani kakiwa diary room lazima kawaseme wenzie vibaya nimefurahi sana walivyotoka
 
Back
Top Bottom