Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
bado yupo nominated tu. Tena anaboa na msax wake
Ana bore na kujitenfa arudi tu nyumbani
bado yupo nominated tu. Tena anaboa na msax wake
bado yupo nominated tu. Tena anaboa na msax wake
KAMA UTAPIGA KULA ATASAVIVE TU MBONA. TENA UZURI HAWATAINGIA WOTE YEYE NA IDRISA MAANA IDRISA AMETAJWA MARA MOJA TUU elnino
Afadhali LAVEDA is safe.....
sio lazima upende kila kitu....
Laveda is finished,. Kamsemo ka Mwisho.. wiki hii sijui kama atapona n itseems wenzie hawampendi
Week hii aki survive itakua Miracles.........
Week hii aki survive itakua Miracles.........
Hivi Idris yupo kwenye eviction nominees week hii..?
Kama Idris hayupo....Lavada might survive cz waTz watampa kura.
Tusitegemee kura yetu tu ndo itambakisha.. Kubaki unahitaji kukubaliwa na nchi zingine. Hata Sabina alipata kura ya kwao lakini katoka. Mimi nachoona huyu demu arudi nyumbani tu East Africa tukomae na Idris..
Tusitegemee kura yetu tu ndo itambakisha.. Kubaki unahitaji kukubaliwa na nchi zingine. Hata Sabina alipata kura ya kwao lakini katoka. Mimi nachoona huyu demu arudi nyumbani tu East Africa tukomae na Idris..
Yeah mkuu....demu mwenyewe hakubaliki hata na housemates karibu wote.
Yeah mkuu...sema demu mwenyewe hakubaliki hata na wenzake mjengoni.
Ni kweli ana bore na alipata kura ya Tanzania tofauti na akna Jj alipigiwa kura na nchi tano Tayo na tatu yeye atoke tu hafu ajicha ganyi na wengine na inatakiwa pia upigiwe na nchi nyingine