Bifu gani ilitikisa Taifa?

Bifu gani ilitikisa Taifa?

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,799
Reaction score
36,080
Zimetokea bifu maarufu sana za mastaa hapa nchini na zikajizolea umaarufu

1. Ruge na Sugu
Hii ilikuwa bonge la bifu. Baada ya Sugu kumtolea mbovu Rugs na unyanyaji wake wa fiesta

2 TMK halisi na TMK family
Lilikuwa kundi Moja baada ya kutengana aisee ilikuwa bonge la bifu

3 Ali kina na Diamond platnimuz
Hili bifu bado lipo baada ya diamond kumwonyesha dharau kina Kwa Kufuta sauti yake kwenye wimbo wa lala salama

4 Dudu baya na Mr Nice
Hili lilikuwa bonge la bifu
Dudu baya alijipigia Mr Nice kadri alivojisikia

5 Madee na Nay wa mitego
Hawa waligombania urais wa Manzese.
Aisee moto uliwaka

6. Roma na Joh Makin
Hawa walikuwa na bifu ya kugombania ukanda wa Kaskazini
Wote kwenye peak Yao hawakuwahi kufanya collabo

7 Jay Dee na clouds media
Nyimbo za j Dee hazikupigwa clouds baada ya clouds kumpa kazi Gardner aliyekuwa X wa J de

8 Sholo Mwamba na Man Fongo
Hawa waligombania ufalme wa Singeli

9. TID na Q Chilla
Hili bifu lilitisa

10 Haji Manara na Maulid Kitenge
Hawa wana bifu na Huwa haziishi licha ya wanasiasa kuingilia kusuluhusha

Sijui walifanyiana Nini hawa wazeee
 
Zimetokea bifu maarufu sana za mastaa hapa nchini na zikajizolea umaarufu

1. Ruge na Sugu
Hii ilikuwa bonge la bifu. Baada ya Sugu kumtolea mbovu Rugs na unyanyaji wake wa fiesta

2 TMK halisi na TMK family
Lilikuwa kundi Moja baada ya kutengana aisee ilikuwa bonge la bifu

3 Ali kina na Diamond platnimuz
Hili bifu bado lipo baada ya diamond kumwonyesha dharau kina Kwa Kufuta sauti yake kwenye wimbo wa lala salama

4 Dudu baya na Mr Nice
Hili lilikuwa bonge la bifu
Dudu baya alijipigia Mr Nice kadri alivojisikia

5 Madee na Nay wa mitego
Hawa waligombania urais wa Manzese.
Aisee moto uliwaka

6. Roma na Joh Makin
Hawa walikuwa na bifu ya kugombania ukanda wa Kaskazini
Wote kwenye peak Yao hawakuwahi kufanya collabo

7 Jay Dee na clouds media
Nyimbo za j Dee hazikupigwa clouds baada ya clouds kumpa kazi Gardner aliyekuwa X wa J de

8 Sholo Mwamba na Man Fongo
Hawa waligombania ufalme wa Singeli

9. TID na Q Chilla
Hili bifu lilitisa

10 Haji Manara na Maulid Kitenge
Hawa wana bifu na Huwa haziishi licha ya wanasiasa kuingilia kusuluhusha

Sijui walifanyiana Nini hawa wazeee
Hapo bifu lenye akili ni Ruge na Sugu tu. Shigongo naye alishawahi kunyooshwa na Ruge. Halafu kwenye mabifu yote mawili JK kahusika. Aliwapatanisha Shigongo na Ruge. Kwa sasa bifu linalotikisa ni Makonda na Gambo.
 
Bifu la Magufuli na Tundu Lissu ndilo lililotikisa nchi Alhamisi Sept.7 2017. Hiyo ni mipasho na utani wa jadi, bifu gani linadumu miaka 10+ bila hata ya jaribio la kulambishana shaba?
🤣😀😂
 
Back
Top Bottom