Biblia zenye maudhui ya Ushoga zadaiwa kuingia nchini

Ushoga ni kinyume cha tamaduni na maadili yetu
Mashoga hatuwezi kuwapa uhuru ili kuleta mmomonyoko wa maadili kwa watoto wetu

Huo ushoga huko unakotoka ni tamaduni zao
Ambao na wao hawatakubali tamaduni zetu
Utamaduni haudhibitiwi kwa sheria na mkono wa serikali. Serikali haitakiwi kutunga sheria kwamba kila kijana anapomkuta mzee amsalimie shikamoo
 
Kila raia, awe kiongozi au asiye na cheo ana wajibu wa kulinda jamii na nchi kwa ujumla.
Hakuna sababu ya kuitia hofu jamii kwa kutoa taarifa kama hizi hadharani, wasambazaji na wauzaji ni maadui wa ustawi wetu, hasa kwa vizazi vijavyo, wanatakiwa washughulikiwe na kumalizwa kimya kimya.
Kama taarifa inatolewa hadharani, basi iwataje na hatua zichukuliwe mara moja. Jamii na serikali vichukue hatua kwa wakati mmoja.
Kufanya utafiti kama huu na kutoa maelezo ya mzunguko siyo sawa hata kidogo.
Maadili mema kwa jamii na taifa hayana ukristo, uislamu na hata upagani. Ustawi wa jamii yetu ni zaidi ya ukristo, uislamu, ....
Tunahitaji kumjua Mungu ambaye ndiye KWELI ituwekayo huru.
 
Tunahitaji viongozi wa aina ya Mh Harrison Mwakyembe Ili kuongeza nguvu ya kupinga LAANA hii Kwa Taifa letu,
Hatuko serious ktk hili suala. Naona kama tunajichetua tu.

Yaani tunapambana na vitabu badala ya kupambana na mmomonyoko wa maadili wa jamii yetu? !!!

Hakuna mashoga Tanzania? Wameibukaje na wanaeneaje? Kama mashoga wapo nchini na wanaongezeka kila siku, je taifa halijapata laana tu? Au laana inasubiri vitabu?

Waafrika unafiki utatufikisha pabaya.
 
Ushujaa wake ni upi?
 
NGO na ushoga hii iko wazi kabisa.

Kuna members fulani NGO ambayo iko funded na america,toka wamefungua branch yao hapa mtaani karibu kila mwezi anakuja ngozi nyeupe ghetto kwa huyo member wa NGO wanakulana huko ndani siku nzima jion anaondoka na GSM yake.

Kamuharibu huyo kijana wa watu mtaa mzima sasa unajua ni gay yani ata tembea hulka maongezi ni gay kabisa na wako wawili
 
Ushoga ulikuwepo, Upo na utaendelea kuwepo hapa duniani, whether we like it or not, but this is the bitter truth.
Kwa hapa Tanzania, this tragedy has reached the point of no return. It is the matter of time before it becomes to be decriminalized.
 
So mitume, manabii, waamuzi, marabi nao wanakuwa machoko humo ? Aloo
Mnawasema mashoga na machoko mnawasahau wanawake wenye madaraka wanasagana nje nje. Wengine Ni wabunge, wakurugenzi, wakuu wa taasisi. N.k ( konda boy mpelelezi wa taifa anaweza kua na majina Yao)
Ukikemea ushoga na usagaji uukemee pia.
 
Huyu mnafiki alishapukutika kama vumbi mwache apumuzike
 
Mgeni wetu ameingia mgeni huyu mgeni ,amewaharibu watoto kwa peremende hata biscuti,mgeni huyu hatari
 
Mnawasema mashoga na machoko mnawasahau wanawake wenye madaraka wanasagana nje nje. Wengine Ni wabunge, wakurugenzi, wakuu wa taasisi. N.k ( konda boy mpelelezi wa taifa anaweza kua na majina Yao)
Ukikemea ushoga na usagaji uukemee pia.
Ushoga ndio kusagana ujue hilo
 
Hujui maana ya biblia, maanayake ni kitabu


Kitabu Cha mungu kitaongelea maadili tu. Kama kitabu hakina maadili ni batili

Ni makosa kuhusisa dini flani ukosefu wa maadili
Kwa hiyo akina Mwakyembe wanaongea uwongo mkuu? Hilo jambo haliwezekani?
 
Kwa hiyo mkuu tukae kimya huku watoto wetu wakifirwa? Are you serious or just kidding?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…