Biblia na reference ya vitabu vya kipagani

Biblia na reference ya vitabu vya kipagani

Bro umeongea uongo au umedanganywa na wewe, Biblia haikuwepo wakati wa Yesu hajawahi kuiona na hajawahi hata kuitamka sijui kama unajua hata neno bible au biblia halipo ndani ya biblia...Yesu alikuja na injili ambayo nayo imepotea kilichopo sasa ni mkisanyiko wa umwaandish ambao hawajulikan walioandika habari walizisikia kwa wamafunz wa Yesu..biblia ya kwanza imepatikana miaka 300 baada Ya Yesu kuondoka neno bible linatokana na neno la kigiriki bublos maana yake kitabu au maktaba sio neno la Mungu huo ndio ukweli wa bible ukienda kuchek kwa mtandao kitabu kinaitwa biblia kimetokana waandish wa bible ya kwanza ambao wagirik na walatin.!
The Bible (from Koine Greek τὰ βιβλία, biblía, "the books")[1] is a collection of sacred texts or scriptures that Jews and Christiansconsider to be a product of divine inspirationand a record of the relationship between Godand humans.

Bibilia ni makusanyo ya maandiko matakatifu yaliyoandikwa na waandishi tofauti tofauti zaidi ya 40 kwa range ya miaka zaidi 1500.
Yesu alichokisoma OT ndicho unachokisoma. Unaweza kuchagua kukubali au kukataa hufungwi. Hata Mushaf ni makusanyo ya maneno yanayoaminika kushushiwa mtume miaka mingi baada ya kifo chake. Zoezi hili lilifanywa na caliph wa tatu uthman na hakuna popote duniani utapata original manuscript zake maana alizichoma zote, yeye ndiye anauhakika wa kilichomo zaidi. Hata copy iliyopo kwenye museum huko turkey ni copy ya copy ya hiyo ya uthman japo sio yote.
Ni suala la imani mkuu.
Mkuu nikisoma interconnection ya maneno ya waandishi wavitabu vya Bibilia nasadikishwa 100% ni neno la Mungu na anatuita tuwe na mutual communication nae na kujitenga na kila uovu mwisho tuokolewe. Mkuu sisi sio raia wa hapa duniani huo ndio mzizi wa wanaimani ya Bibilia wote kwa mujibu wa waebrania 11. Ubishe yote ila ukikosa hilo utakuwa umechagua fungu bovu
 
..
Vipi kuhusu injili ya barnaba je unaweza kukichukua Kama reference kwako Kama kitabu kilichokataliwa kuingia kwenye biblia ila wewe kikawa na mashiko kwako?
Nimekujibu kule mkuu hapa ntadivert mada
 
Hicho kitabu cha Gadi kinapatikana wapi mkuu?
Mkuu Vatican wanadai "kilipotea"!! Sasa najiuliza kivipi maneno ya Mungu yapotee?? Anyway mitandaoni zipo feki tu wanazoziita kwa jina hilo ila kile original ndio hivo wanadai kimeshapotea tayari so jibu ni kwamba HAKIPO!!
 
Hivi hicho kitabu kilishushwa eeeeh?
Yap haikuja kama kitabu na karatasi kimesha andikwa kilikuja kwa mtindo wa maagizo kupitia malaika Jibril (Gabriel) au roho mtakatifu kama amnavyo alifanya kwa mitume wengine wote ndivyo alivyofanya kwa Muhammad..sasa kupitia muhhamad ndio kitabu kikaandikwa.!
 
The Bible (from Koine Greek τὰ βιβλία, biblía, "the books")[1] is a collection of sacred texts or scriptures that Jews and Christiansconsider to be a product of divine inspirationand a record of the relationship between Godand humans.

Bibilia ni makusanyo ya maandiko matakatifu yaliyoandikwa na waandishi tofauti tofauti zaidi ya 40 kwa range ya miaka zaidi 1500.
Yesu alichokisoma OT ndicho unachokisoma. Unaweza kuchagua kukubali au kukataa hufungwi. Hata Mushaf ni makusanyo ya maneno yanayoaminika kushushiwa mtume miaka mingi baada ya kifo chake. Zoezi hili lilifanywa na caliph wa tatu uthman na hakuna popote duniani utapata original manuscript zake maana alizichoma zote, yeye ndiye anauhakika wa kilichomo zaidi. Hata copy iliyopo kwenye museum huko turkey ni copy ya copy ya hiyo ya uthman japo sio yote.
Ni suala la imani mkuu.
Mkuu nikisoma interconnection ya maneno ya waandishi wavitabu vya Bibilia nasadikishwa 100% ni neno la Mungu na anatuita tuwe na mutual communication nae na kujitenga na kila uovu mwisho tuokolewe. Mkuu sisi sio raia wa hapa duniani huo ndio mzizi wa wanaimani ya Bibilia wote kwa mujibu wa waebrania 11. Ubishe yote ila ukikosa hilo utakuwa umechagua fungu bovu
Unataka kunaimbia yesu alikuwa asnasoma injili ya luka,marko,matayo au yohana!?...hayo ni majina tu yakibidi yawekwe sababu hakuna alikuwa anajua nani alieyandika so njia rahisi ya kutambua sura ni kuweka majina hayo ya wanafunzi wa Yesu sababu wale wanafunzi wa yesu hawakuandika kitabu chochote yesu sabahu hata ukisoma kwenye bible inasema John na Peter walikuwa hawajasoma hawakujua kusoma wala kuandika
Acts 4:13 King James Version (KJV)

13 Now when they saw the boldness of Peter and John, and perceived that they were unlearned and ignorant men, they marvelled; and they took knowledge of them, that they had been with Jesus.

So bible ilipatikana na bahati mbaya kanisa katoliki ambali lilikuwepo hata kabla ya Yesu wakashukili mchakato na kuingiza mambo yao ya utatu.. Na mambo mengine mengine na kuweka vitu ambavyi hata yesu hakuwahi kuviagiza..!

Yesu haijui biblia vitu vingine vilibadilishwa na kuwekwa kwa mtindo wa kilatin sijui kama unajua hata jina JESUS sio jina halisi la muhisika, hilo ni jina la kilatin hata leo ushahid unao jina hili sio la kiyahud ni jina la kilatin utalikuta spain,mexic na sout america huwez kulikuta mshariki ya kati jina Jesus au Yesu au Jesu hajawahi kulisikia kwenye maisha yake.! Kama.ilivyo bible

Kuhusu Quran una haki ya kusema hivyo sababu hiifahamu kimpamgilio wake na Uthuman aliagiza zichomwe moto copy zote sababu alikuta kuna sehem wana copy zina mapungufu ya kisarafu na matamshi na sio kwamba wna Quran nyingine akawaita waandish walioteuliwa na mtume wakati wa kuandika Quran wakaandika upya na akaagiza watu wote waka copy ile lakin asingeweza kubadili sababu watu waliokuwa wamehifadh Quran walikuwa ni wengi akichukua hatua hiyo sababu alikuwa ndio kiongozi kuabadil copy sio kubadili kitu kilichopo vifuani kwa watu.!..sisi Quran ndio chakula au oxyegen yetu hautswali had ujue Quran mwez wa ramadhan inasomwa Quran kuliko kawaida had Uthuman anakuja kuchukua usukan miaka kumi imepita watu wanaish na Quran so kama angebadili chochote pangetokea utata lakin hakujawahi kuwa na shida hiyoo kwenye na yeye sio swahaba wa mwisho kwatiba maswaha wa mtume alikuwe Alii mkwe wa mtume na wajukuu zake mtume...unachokiziungumza ni katika watu wanao wapotosha ila havina ukweli..!
 
Unataka kunaimbia yesu alikuwa asnasoma injili ya luka,marko,matayo au yohana!?...hayo ni majina tu yakibidi yawekwe sababu hakuna alikuwa anajua nani alieyandika so njia rahisi ya kutambua sura ni kuweka majina hayo ya wanafunzi wa Yesu sababu wale wanafunzi wa yesu hawakuandika kitabu chochote yesu sabahu hata ukisoma kwenye bible inasema John na Peter walikuwa hawajasoma hawakujua kusoma wala kuandika
Acts 4:13 King James Version (KJV)

13 Now when they saw the boldness of Peter and John, and perceived that they were unlearned and ignorant men, they marvelled; and they took knowledge of them, that they had been with Jesus.

So bible ilipatikana na bahati mbaya kanisa katoliki ambali lilikuwepo hata kabla ya Yesu wakashukili mchakato na kuingiza mambo yao ya utatu.. Na mambo mengine mengine na kuweka vitu ambavyi hata yesu hakuwahi kuviagiza..!

Yesu haijui biblia vitu vingine vilibadilishwa na kuwekwa kwa mtindo wa kilatin sijui kama unajua hata jina JESUS sio jina halisi la muhisika, hilo ni jina la kilatin hata leo ushahid unao jina hili sio la kiyahud ni jina la kilatin utalikuta spain,mexic na sout america huwez kulikuta mshariki ya kati jina Jesus au Yesu au Jesu hajawahi kulisikia kwenye maisha yake.! Kama.ilivyo bible

Kuhusu Quran una haki ya kusema hivyo sababu hiifahamu kimpamgilio wake na Uthuman aliagiza zichomwe moto copy zote sababu alikuta kuna sehem wana copy zina mapungufu ya kisarafu na matamshi na sio kwamba wna Quran nyingine akawaita waandish walioteuliwa na mtume wakati wa kuandika Quran wakaandika upya na akaagiza watu wote waka copy ile lakin asingeweza kubadili sababu watu waliokuwa wamehifadh Quran walikuwa ni wengi akichukua hatua hiyo sababu alikuwa ndio kiongozi kuabadil copy sio kubadili kitu kilichopo vifuani kwa watu.!..sisi Quran ndio chakula au oxyegen yetu hautswali had ujue Quran mwez wa ramadhan inasomwa Quran kuliko kawaida had Uthuman anakuja kuchukua usukan miaka kumi imepita watu wanaish na Quran so kama angebadili chochote pangetokea utata lakin hakujawahi kuwa na shida hiyoo kwenye na yeye sio swahaba wa mwisho kwatiba maswaha wa mtume alikuwe Alii mkwe wa mtume na wajukuu zake mtume...unachokiziungumza ni katika watu wanao wapotosha ila havina ukweli..!

Mkuu,Nadhani Hujamuelewa Mitale na Midimu vema.
aliposema Yesu mwenyewe alisoma(OT)anamaanisha agano la kale(Vitabu vya sheria na manabii) Torati na Kitabu cha Nabii Isaya. Hii ipo wazi kabisa hata alipoingia hekaluni alisoma torati.
Pili huwezi kudai kuwa Quran iwe sahihi kuliko Biblia hapa hata Mtoto mdogo wa darasa la tatu atakupinga Kiongozi.
Ukiifuta Biblia au kudai haipo Sahihi maana yake ni kuwa Quran pia haipo sahihi.
Uislam Haupo iwapo Ukristo unakoma kuwepo.
Asante.
 
Mkuu,Nadhani Hujamuelewa Mitale na Midimu vema.
aliposema Yesu mwenyewe alisoma(OT)anamaanisha agano la kale(Vitabu vya sheria na manabii) Torati na Kitabu cha Nabii Isaya. Hii ipo wazi kabisa hata alipoingia hekaluni alisoma torati.
Pili huwezi kudai kuwa Quran iwe sahihi kuliko Biblia hapa hata Mtoto mdogo wa darasa la tatu atakupinga Kiongozi.
Ukiifuta Biblia au kudai haipo Sahihi maana yake ni kuwa Quran pia haipo sahihi.
Uislam Haupo iwapo Ukristo unakoma kuwepo.
Asante.
Nadhab umedandia gari kwa mbele soma andiko lake la mwanzo juu ya hoja hii kuwa yesu alikuwa akiisoma biblia na mi ndio namkatakia hilo by tha time kitabu cha dini kilichokuwepo ni torah...na ukisema agano la kale ndio Torah bado unakuwa uongo sababu wayahud wanapinga hili wanasema ni uhun umefanyika wao wanavitabu vyao ambavyo wanasema wamevilinda tena wanavitabu vyao vinavyompinga had yesu wanasema Yesu alivunja mafundisho ya torah na pia ni mtoto wa Zinaa hakuna din nje ya ukristo inayomtambua na kumuheshim na kumkubali Yesu zaid ya uislam.!

Nina elimu juu ya iman za kidin haswa din hiz 4 islam,cristian,judaism na hinduism hiz ndio nimechimba sana na bado ni mwamafunz ingawa sasa naanza kuchimba budhism..!

Quran imekamilika kuliko kitabu chochote cha dini ukiachilia mbali history yake haina makando kando mengi ni yakutunga katika prpaganda za kufanya watu wachukulie Quran ni kitabu cha kawaida na ni maneno ya muhammad na muhammad mwemyewe walivyomchafua huwez kuwa na haja kusoma kitabu chake...hivyo nakushauri usikaze shingo ngumh kwa sababu ya iman yako najua kwa sisi waafrica ni ngumu...wazungu kwenye mambo haya huwa nawakubali linapokuja suala utafiti ambao utamuachia legacy huwa wanasema ukweli kwa mfano kuna mtu alifanya utafiti akatoa kitabu kinaitwa the Great 100 hii great 100 alikuwa akitoa vitu bora 100 kwenye kila sekta ilipokuja kwenye suala la Din akaamdika binadamu bora kuwa kutembea kwenye uso wa Dunia wa kwanza ni Muhammad (S.W.A) nq kitabu bora ni Quran na utafiti huo kila ulipotoka hilo halijawahi kubadilika zinabadilika namba zingine kwanini wanaangalia impact na Quran imachoipa sifa kuwa imebaki kwenye pure form..!..

Labda kama hujui sifa kubwa ya Quran ni mpangilio wake wa kimahesanu na ubora wa lugha iliyotumika hizo ndio sababu ya watu kushindwa kutoa copy au kuzidisha au kupunguza neno ndani ya Quran sababu kutokana na mpangilio wake ukipunguza herufi moja umeharibu mpangilio mzima wa Quran na maana yote inapotea hivyo hivyo ukiongeza,

Quran wakati dunia ipo kwenye ulimwengu wa fasihi au kwa kizungu literature Quran ndji kitabu namba moja kwa ubora wa uandishi ambao uliwafanya hata mabingwa wa lugha ya kiarabu kushindwa kuandika mfano wake sababu Allah ndani ya Quran ametoa challange anasema " kama mnasema Quran hii kaitunga muhhaad basi leten mfano wake iten hata na wasaidiz wasio wa kibinadamu" baada akapunguza challeng akasema leten japo mfano wa sura kumi na baada akapunguza akasema leten basi mfano wa aya kumi na lakin pia baada akasema leten japo mfano wa aya moja..!..na had leo hakina aliefanya hivyo sababu ya mpangilio wa kimahesabu uliopo pale hakuna mwanadamu anaweza kuuufanya na ulete maana...ntawaltea.somo la Quran in numbers labda itawafugua kidogo kuijua Quran.!..niwape maajabu ya Quran na code number 19 ambayo ndio namba ya maajabu katika uandishi wa Quran
 
Niliahidi kuwapa elimu kidogo juu ya Maajabu ya kimuundo wa Quran hapa ntakuwa natoa facts mbali mbali bahati mbaya sina article.za kiswahili na humo mtakuwa mamchujawe wenyewe kama Quran ni kitanu cha kawaiada ama vip...tunaanza na maajanu ya namba 19 ambazo ndio idadi ya Basmallah ndio neno la kwanza na ndio mlango wa kuingilia kila sura..nakushauri uwe na.culculayor yako kama sio mzuri kimahesabu na pia unawwza ku doublr chek mwenyewe online kama hizi namba ni za kweli..!

Simple to Understand Impossible to Imitate

For the first time in history we have a scripture with built-in proof of divine authorship — a superhuman mathematical composition.

Any reader of this book can easily verify the Quran's mathematical miracle. The word "God” (Allah) is written in bold capital letters throughout the text. The frequency of occurrence of the word "God” is noted at the bottom of each page. The last page of the text, Page 372, shows that the total occurrence of the word "God” is 2698, or 19x142.

Furthermore, when we add the numbers of all the verses where the word “God” occurs, we obtain a total of 118123, also a multiple of 19 (118123 = 19x6217). Nineteen is the common denominator throughout the Quran’s mathematical system.

This phenomenon alone suffices as incontrovertible proof that the Quran is God's message to the world. No human being(s) could have kept track of 2698 occurrences of the word “God,” and the numbers of verses where they occur. This is especially impossible in view of (1) the age of ignorance during which the Quran was revealed, and (2) the fact that the suras and verses were widely separated in time and place of revelation. The chronological order of revelation was vastly different from the final format (Appendix 23). However, the Quran's mathematical system is not limited to the word “God;” it is extremely vast, extremely intricate, and totally comprehensive.

The Simple Facts

Like the Quran itself, the Quran's mathematical coding ranges from the very simple, to the very complex. The Simple Facts are those observations that can be ascertained without using any tools. The complex facts require the assistance of a calculator or a computer. The following facts do not require any tools to be verified:

The first verse (1:1),known as "Basmalah," consists of 19 letters (Basmalah: image with letters marked).
The Quran consists of 114 suras, which is ..............19 x 6.
The total number of verses in the Quran is 6346, or ....19 x 334.
[6234 numbered verses & 112 un-numbered verses (Basmalahs) 6234+112 = 6346] Note that 6+3+4+6 =.......19.
The Basmalah occurs 114 times, despite its conspicuous absence from Sura 9 (it occurs twice in Sura 27) & 114= 19x6.
From the missing Basmalah of Sura 9 to the extra Basmalah of Sura 27, there are precisely ...............19 suras.
It follows that the total of the sura numbers from 9 to 27 (9+10+11+12+...+26+27) is 342, or .............19 x 18.
This total (342) also equals the number of words between the two Basmalahs of Sura 27, and 342 = ........19 x 18.
The famous first revelation (96:1-5) consists of .......19 words.
This 19-worded first revelation consists of 76 letters .19 x 4.
Sura 96, first in the chronological sequence, consists of .... 19 verses.
This first chronological sura is placed atop the last ..19 suras.
Sura 96 consists of 304 Arabic letters, and 304 equals .19 x 16.
The last revelation (Sura 110) consists of ............19 words.
The first verse of the last revelation (110:1) consists of ........ 19 letters.
14 different Arabic letters, form 14 different setsof "Quranic Initials" (such as A.L.M. of 2:1), and prefix 29 suras. These numbers add up to 14+14+29 = 57 = ......19 x 3.
The total of the 29 sura numbers where the Quranic Initials occur is 2+3+7+...+50+68 = 822, and 822+14 (14 sets of initials) equals 836, or ................. 19 x 44.
Between the first initialed sura (Sura 2) and the last initialed sura (Sura 68) there are 38 un-initialed suras 19 x 2.
Between the first and last initialed sura there are ....19 sets of alternating "initialed" and "un-initialed" suras.
The Quran mentions 30 different numbers: 1, 2, 3, 4, 5, 6, 7, 8, 9, 10, 11, 12, 19, 20, 30, 40, 50, 60, 70, 80, 99, 100, 200, 300, 1000, 2000, 3000, 5000, 50000, & 100000. The sum of these numbers is 162146, which equals 19x8534.

This is a condensed summary of the Simple Facts.
 
Nadhab umedandia gari kwa mbele soma andiko lake la mwanzo juu ya hoja hii kuwa yesu alikuwa akiisoma biblia na mi ndio namkatakia hilo by tha time kitabu cha dini kilichokuwepo ni torah...na ukisema agano la kale ndio Torah bado unakuwa uongo sababu wayahud wanapinga hili wanasema ni uhun umefanyika wao wanavitabu vyao ambavyo wanasema wamevilinda tena wanavitabu vyao vinavyompinga had yesu wanasema Yesu alivunja mafundisho ya torah na pia ni mtoto wa Zinaa hakuna din nje ya ukristo inayomtambua na kumuheshim na kumkubali Yesu zaid ya uislam.!

Nina elimu juu ya iman za kidin haswa din hiz 4 islam,cristian,judaism na hinduism hiz ndio nimechimba sana na bado ni mwamafunz ingawa sasa naanza kuchimba budhism..!

Quran imekamilika kuliko kitabu chochote cha dini ukiachilia mbali history yake haina makando kando mengi ni yakutunga katika prpaganda za kufanya watu wachukulie Quran ni kitabu cha kawaida na ni maneno ya muhammad na muhammad mwemyewe walivyomchafua huwez kuwa na haja kusoma kitabu chake...hivyo nakushauri usikaze shingo ngumh kwa sababu ya iman yako najua kwa sisi waafrica ni ngumu...wazungu kwenye mambo haya huwa nawakubali linapokuja suala utafiti ambao utamuachia legacy huwa wanasema ukweli kwa mfano kuna mtu alifanya utafiti akatoa kitabu kinaitwa the Great 100 hii great 100 alikuwa akitoa vitu bora 100 kwenye kila sekta ilipokuja kwenye suala la Din akaamdika binadamu bora kuwa kutembea kwenye uso wa Dunia wa kwanza ni Muhammad (S.W.A) nq kitabu bora ni Quran na utafiti huo kila ulipotoka hilo halijawahi kubadilika zinabadilika namba zingine kwanini wanaangalia impact na Quran imachoipa sifa kuwa imebaki kwenye pure form..!..

Labda kama hujui sifa kubwa ya Quran ni mpangilio wake wa kimahesanu na ubora wa lugha iliyotumika hizo ndio sababu ya watu kushindwa kutoa copy au kuzidisha au kupunguza neno ndani ya Quran sababu kutokana na mpangilio wake ukipunguza herufi moja umeharibu mpangilio mzima wa Quran na maana yote inapotea hivyo hivyo ukiongeza,

Quran wakati dunia ipo kwenye ulimwengu wa fasihi au kwa kizungu literature Quran ndji kitabu namba moja kwa ubora wa uandishi ambao uliwafanya hata mabingwa wa lugha ya kiarabu kushindwa kuandika mfano wake sababu Allah ndani ya Quran ametoa challange anasema " kama mnasema Quran hii kaitunga muhhaad basi leten mfano wake iten hata na wasaidiz wasio wa kibinadamu" baada akapunguza challeng akasema leten japo mfano wa sura kumi na baada akapunguza akasema leten basi mfano wa aya kumi na lakin pia baada akasema leten japo mfano wa aya moja..!..na had leo hakina aliefanya hivyo sababu ya mpangilio wa kimahesabu uliopo pale hakuna mwanadamu anaweza kuuufanya na ulete maana...ntawaltea.somo la Quran in numbers labda itawafugua kidogo kuijua Quran.!..niwape maajabu ya Quran na code number 19 ambayo ndio namba ya maajabu katika uandishi wa Quran

Half Genius! Upo vizuri katika jambo moja tu - Kutetea Uislam kwa gharama yoyote ile ili mradi tu uislam na Mohamed aonekane mwema na ndio dini ya haki;Haijalishi umesoma dini ngapi? Je umesoma kwa mantiki bila ushabiki (Objectivity).

Ni ngumu sana Muumini wa dini flani kudai eti dini yake mbovu! Ni wachache tu wanaoweza kufanya hivyo! Wakiwepo Kina Ustaadh Ali Dashti,Wafa Sultan,Ibn warraq na Wengineo wengi;kasome hoja za hawa Waarabu;Waliosoma Quran vema na kukulia katika maadili ya Kiislam na hoja walizotoa.
Lakini hoja zako kama vile unang'ang'aniza watu waamini tu kile unachokisema hata kama katika hicho tunaona makosa makubwa ya kimantiki(logic). "kama mnasema Quran hii kaitunga muhhaad basi leten mfano wake iten hata na wasaidiz wasio wa kibinadamu" Kwanini jambo la kupinga Quran lijitokeze kwenye Quran yenyewe na mtuhumiwa akiwa Mohamed? ambaye hakuwa anajua kusoma wala kuandika;na anadai uletwe mfano wa kitabu cha kulingana na Quran? Na kama Quran Hiyo unayodai ni Sahihi sana? Vitabu vya Injili,Zaburi na Torati vinajirudiaje tena? Ilikuwa hamna haja ya kuchukua vitabu vya Judaism na Christianity kuviweka kwenye Quran?
JE Injili,Zaburi na Torati? na Vyewewe alishushiwa Mohamed au aliplajalaizi toka kwa masara na mayahudi?
Unapojibu hoja hizi tafadhali weka pembeni hiyo kazi ya kutetea Quran na uislam(Islamic apology).Uwe Nyutro.
Asante.
 
Mkuu,Nadhani Hujamuelewa Mitale na Midimu vema.
aliposema Yesu mwenyewe alisoma(OT)anamaanisha agano la kale(Vitabu vya sheria na manabii) Torati na Kitabu cha Nabii Isaya. Hii ipo wazi kabisa hata alipoingia hekaluni alisoma torati.
Pili huwezi kudai kuwa Quran iwe sahihi kuliko Biblia hapa hata Mtoto mdogo wa darasa la tatu atakupinga Kiongozi.
Ukiifuta Biblia au kudai haipo Sahihi maana yake ni kuwa Quran pia haipo sahihi.
Uislam Haupo iwapo Ukristo unakoma kuwepo.
Asante.
...Quran ni copy & paste ya biblia,..tofauti ni kuwa Quran inasomwa kwa mbwembwe za kishairi,_nothing different
...
 
Nadhab umedandia gari kwa mbele soma andiko lake la mwanzo juu ya hoja hii kuwa yesu alikuwa akiisoma biblia na mi ndio namkatakia hilo by tha time kitabu cha dini kilichokuwepo ni torah...na ukisema agano la kale ndio Torah bado unakuwa uongo sababu wayahud wanapinga hili wanasema ni uhun umefanyika wao wanavitabu vyao ambavyo wanasema wamevilinda tena wanavitabu vyao vinavyompinga had yesu wanasema Yesu alivunja mafundisho ya torah na pia ni mtoto wa Zinaa hakuna din nje ya ukristo inayomtambua na kumuheshim na kumkubali Yesu zaid ya uislam.!

Nina elimu juu ya iman za kidin haswa din hiz 4 islam,cristian,judaism na hinduism hiz ndio nimechimba sana na bado ni mwamafunz ingawa sasa naanza kuchimba budhism..!

Quran imekamilika kuliko kitabu chochote cha dini ukiachilia mbali history yake haina makando kando mengi ni yakutunga katika prpaganda za kufanya watu wachukulie Quran ni kitabu cha kawaida na ni maneno ya muhammad na muhammad mwemyewe walivyomchafua huwez kuwa na haja kusoma kitabu chake...hivyo nakushauri usikaze shingo ngumh kwa sababu ya iman yako najua kwa sisi waafrica ni ngumu...wazungu kwenye mambo haya huwa nawakubali linapokuja suala utafiti ambao utamuachia legacy huwa wanasema ukweli kwa mfano kuna mtu alifanya utafiti akatoa kitabu kinaitwa the Great 100 hii great 100 alikuwa akitoa vitu bora 100 kwenye kila sekta ilipokuja kwenye suala la Din akaamdika binadamu bora kuwa kutembea kwenye uso wa Dunia wa kwanza ni Muhammad (S.W.A) nq kitabu bora ni Quran na utafiti huo kila ulipotoka hilo halijawahi kubadilika zinabadilika namba zingine kwanini wanaangalia impact na Quran imachoipa sifa kuwa imebaki kwenye pure form..!..

Labda kama hujui sifa kubwa ya Quran ni mpangilio wake wa kimahesanu na ubora wa lugha iliyotumika hizo ndio sababu ya watu kushindwa kutoa copy au kuzidisha au kupunguza neno ndani ya Quran sababu kutokana na mpangilio wake ukipunguza herufi moja umeharibu mpangilio mzima wa Quran na maana yote inapotea hivyo hivyo ukiongeza,

Quran wakati dunia ipo kwenye ulimwengu wa fasihi au kwa kizungu literature Quran ndji kitabu namba moja kwa ubora wa uandishi ambao uliwafanya hata mabingwa wa lugha ya kiarabu kushindwa kuandika mfano wake sababu Allah ndani ya Quran ametoa challange anasema " kama mnasema Quran hii kaitunga muhhaad basi leten mfano wake iten hata na wasaidiz wasio wa kibinadamu" baada akapunguza challeng akasema leten japo mfano wa sura kumi na baada akapunguza akasema leten basi mfano wa aya kumi na lakin pia baada akasema leten japo mfano wa aya moja..!..na had leo hakina aliefanya hivyo sababu ya mpangilio wa kimahesabu uliopo pale hakuna mwanadamu anaweza kuuufanya na ulete maana...ntawaltea.somo la Quran in numbers labda itawafugua kidogo kuijua Quran.!..niwape maajabu ya Quran na code number 19 ambayo ndio namba ya maajabu katika uandishi wa Quran
Hicho kitabu kilichokamilika mbona kina mapungufu mengi sana ya kihistoria,kimahesabu na kisayansi?Watu wakitaka kukihoji unatoa lugha za kihuni kwamba usishupalie shingo kwa sababu za dini yako wakati wewe mwenyewe unabase kwenye dini yako.Uhifadhi wa Quran kama unavyodai ulikuwa ndani ya mioyo ya watu basi kusingetokea michanganyiko ya kisarafi na muingiliano wa lugha na maneno hata yasizokuwa ya kiarabu.
Unapotaka kutuaminisha kupitia kwa reference ya wazungu kuwa Muhammad ni kiumbe bora duniani bado mimi nashangaa kwa sababu wazungu hao hao Wanaponda kwa utafiti discrepancies nyingi zilizo kwenye hicho kitabu pamoja na kuandikwa karne saba baada ya Yesu ambako kulitakiwa kuwa kuna changea katika techonology na hata namna ya utunzi wa mashairi.Ukamilifu wa hicho kitabu uko kwa walioshupaza shingo na kuamini ndota ya mtu aliyekwenda Al aqsa,kuamini kuwa sperms zinatoka mgongoni na kwenye mbavu,kuamini kuwa Mariam mamake Yesu ni binti ya Aron,kuamini kuwa Aron ni msamaria?Kuamini kuwa Abraham.na Ishmael waliishi Macca na walijenga Kaaba,kutaka kutuaminisha kuwa Ishmael ndo alitolewa sadaka ilhali hakuwa mtoto wa Agano na zaidi ya yote kuuaminisha ummah kuwa Ishmael ni baba wa Waarabu ilhali aliishi katika kipindi ambacho waarabu walikuwepo tayari.
Hata mimi niliwahi kuingia katika mtego huo wa kuamini kuwa Quran imeshushwa lakini baada ya kupata ukweli na kuona mapungufu nikaamua kugeuka.
Sasa wewe ambaye unasema umechimba sana dini nne,naamini katika uchimbaji wako umeona tofauti ya mbingu ya Muhammad,Budha,Judaism pamoja na Christianity.Mbingu inayoongelea pleasures za kidunia za Kubikiri wanawake 72 vs mbingu inayoongelea uzima wa milele wa kumsifu na kumtukuza Mungu bila kuoa wala kuolewa,hujaona mashaka bado?Mkibanwa sana kuhusu taurat na mpangilio wake wa kihistoria na ukamilifu wake mnasema ilikuwa fabricated lakini hamtupi evidence ya hiyo fabrication.Naomba unieleze leo,Mayahudi walikuwa na sababu gani ya kufabricate kitabu chao ilhali hapakuwa na ukristo na uislam wala imani yeyote iliyopingana nao kabla ya Muhammad?

Narecommend usome kitabu cha The prophet of doom
 
Half Genius! Upo vizuri katika jambo moja tu - Kutetea Uislam kwa gharama yoyote ile ili mradi tu uislam na Mohamed aonekane mwema na ndio dini ya haki;Haijalishi umesoma dini ngapi? Je umesoma kwa mantiki bila ushabiki (Objectivity).

Ni ngumu sana Muumini wa dini flani kudai eti dini yake mbovu! Ni wachache tu wanaoweza kufanya hivyo! Wakiwepo Kina Ustaadh Ali Dashti,Wafa Sultan,Ibn warraq na Wengineo wengi;kasome hoja za hawa Waarabu;Waliosoma Quran vema na kukulia katika maadili ya Kiislam na hoja walizotoa.
Lakini hoja zako kama vile unang'ang'aniza watu waamini tu kile unachokisema hata kama katika hicho tunaona makosa makubwa ya kimantiki(logic). "kama mnasema Quran hii kaitunga muhhaad basi leten mfano wake iten hata na wasaidiz wasio wa kibinadamu" Kwanini jambo la kupinga Quran lijitokeze kwenye Quran yenyewe na mtuhumiwa akiwa Mohamed? ambaye hakuwa anajua kusoma wala kuandika;na anadai uletwe mfano wa kitabu cha kulingana na Quran? Na kama Quran Hiyo unayodai ni Sahihi sana? Vitabu vya Injili,Zaburi na Torati vinajirudiaje tena? Ilikuwa hamna haja ya kuchukua vitabu vya Judaism na Christianity kuviweka kwenye Quran?
JE Injili,Zaburi na Torati? na Vyewewe alishushiwa Mohamed au aliplajalaizi toka kwa masara na mayahudi?
Unapojibu hoja hizi tafadhali weka pembeni hiyo kazi ya kutetea Quran na uislam(Islamic apology).Uwe Nyutro.
Asante.
Ngoja nikuoe historia yangu ndogo mi nimezaliwa kwenye familia ya kikiristo lutheran na baadae nikawa Athiest baada ya maswali yangu mengi kushindwa kujibiwa had na viongozi wangu wa kiiman au kupata amjibu yadiridhisha na kwa nikakaa kwa kipindi kirefu bila kuamin kwenye dini yoyote wakati huo nikawa naendele kufanya utafiti wangu, na jad kufikia kurudi kwemye mrengo kidini imenichukua miaka 6 na ndivyo Mungu anavyotaka Umtefute wengi wenu humu ni waislam sababu umezaliwa kwemye iman ya kiislam au mkikristo sababh umezaliwa kwemye iman ya kiksristo namshukuru Baba angu alisema sitalazimisha mtoto juu masula ya imani akipata akili atachahua mwenyewe hiyo ilinipa nafasi tofauti na wezangu nyie mkuja kupata akili tayari ni brain washed hamkupata firsa ya kuchagua iman sahihi na mafunzo juu ya iamn zingine mnachofundishwa ni kwanini iman ile.sio nzuri mi nina weza kukuchambulia mazuri ya iman zote na mapingufu yake ninachokieleza kuhusu Quran na uislam nakijua nakijua lengo la watu wengi wanafanya biashara kubwa dunian ukiandika vitabu kuhusu uislam na ukijienga hoja against it unapata biashara kubwa sababu unapata sababu unapata support kubwa kutoka ulaya na america na wanakuwa famous.!,,

Zaburi,injili,na torah ni vitabu vya na mamneno yawenyeziMungu kama ilivyo Quran vitabu hivyo kusema vipo kwenye Quran unakuwa hauko sawa inaweza kuwepo maaagizo waliuopowa watu wa kipindi revalation hizo na Quran imeyarudia sababu vitabu vyote vimekuja na ujumbe mmoja wa Kuabudiwa Mungu mmoja na wanadamu kujisalimisha na kumtegemea mwenziMungu pekee hiyo ndio dini alikija kufundisha kuanzia Noah ambaye ndio mtu wa kwanza kutumwa kwa watu had muhammad wote walikuja na message moja kitendo hicho kwa lugha ya kiaarabu kinaitwa ISLAM..!
 
Ngoja nikuoe historia yangu ndogo mi nimezaliwa kwenye familia ya kikiristo lutheran na baadae nikawa Athiest baada ya maswali yangu mengi kushindwa kujibiwa had na viongozi wangu wa kiiman au kupata amjibu yadiridhisha na kwa nikakaa kwa kipindi kirefu bila kuamin kwenye dini yoyote wakati huo nikawa naendele kufanya utafiti wangu, na jad kufikia kurudi kwemye mrengo kidini imenichukua miaka 6 na ndivyo Mungu anavyotaka Umtefute wengi wenu humu ni waislam sababu umezaliwa kwemye iman ya kiislam au mkikristo sababh umezaliwa kwemye iman ya kiksristo namshukuru Baba angu alisema sitalazimisha mtoto juu masula ya imani akipata akili atachahua mwenyewe hiyo ilinipa nafasi tofauti na wezangu nyie mkuja kupata akili tayari ni brain washed hamkupata firsa ya kuchagua iman sahihi na mafunzo juu ya iamn zingine mnachofundishwa ni kwanini iman ile.sio nzuri mi nina weza kukuchambulia mazuri ya iman zote na mapingufu yake ninachokieleza kuhusu Quran na uislam nakijua nakijua lengo la watu wengi wanafanya biashara kubwa dunian ukiandika vitabu kuhusu uislam na ukijienga hoja against it unapata biashara kubwa sababu unapata sababu unapata support kubwa kutoka ulaya na america na wanakuwa famous.!,,

Zaburi,injili,na torah ni vitabu vya na mamneno yawenyeziMungu kama ilivyo Quran vitabu hivyo kusema vipo kwenye Quran unakuwa hauko sawa inaweza kuwepo maaagizo waliuopowa watu wa kipindi revalation hizo na Quran imeyarudia sababu vitabu vyote vimekuja na ujumbe mmoja wa Kuabudiwa Mungu mmoja na wanadamu kujisalimisha na kumtegemea mwenziMungu pekee hiyo ndio dini alikija kufundisha kuanzia Noah ambaye ndio mtu wa kwanza kutumwa kwa watu had muhammad wote walikuja na message moja kitendo hicho kwa lugha ya kiaarabu kinaitwa ISLAM..!

Mkuu Nakuomba ufanye tena Utafiti mwingine juu ya haya ninayotaka kusema hapa!

Kwanza Uislam haukuwepo kabisa kabla ya mwaka 570 AD. Ingawaje Waislam wanadai Uislam ulikuwepo kwa nguvu za kulazimisha tu! Historia ya Mashariki ya kati inakataa (Secular history of the Middle East).
Lakini pia Mohamed(S.A.W) alipoanza huduma ya utume kwa maelezo ya Quran na Hadith alipambana na Makafiri na watu wengine waliokataa na waliopinga sana Ujumbe wa Mja huyu wa Allah;Je Kama Uislam Ulikwepo toka Mwanzo Mohamed alikuja kutangaza nini? Historia inaenda mbali zaidi kueleza jinsi Waarabu walivyokuwa magwiji wa ibada za Sanamu za mawe na Ushirikina.

Pili Habari za Yesu Kristo ambaye kwa madai ya Waislam ni Issa Bin Mariam; ambaye habari zake zinapatikana sana katika Quran Surat Mariam,Surat Al-Imran,Surat Al-Nisa. Habari hizi za Yesu na Issa haziko sawa!
Yesu alizaliwa Kwenye Holi la Ng'ombe wakati Issa alizaliwa chini ya Mtende na kuongea akiwa bado mchanga.
Yesu alikufa na Kufufuka! Issa hakufa bali alibadilishwa asipatikane na Madhara.
Je? KKitabu kipi kinasema kweli? Biblia iliyokuwepo wakati ule au Quran ilikuja kuandikwa baadae?

Tatu Je? JE? UISLAM ambao umekuja baada ya uwepo wa imani nyingi tu duniani kama vile Judaism,Buddhism,Hinduism na Zoroastrianism Umeleta kanuni gani Mpya (mpya kabisa) ambazo hazikuwepo kabla yake? Ubora upi ambao haulinganishwi na Imani zingine?
(Rejea nguzo tano za Uislam kama Nuru ya kujua haya yalikuwepo ama la?)

Mwisho Hujanijibu Swali la Injili,Zaburi na Torati kama na vyewewe vilishushwa na kama vilishushwa vilishushwa lini na wapi?
Wasalam.
 
Hicho kitabu kilichokamilika mbona kina mapungufu mengi sana ya kihistoria,kimahesabu na kisayansi?Watu wakitaka kukihoji unatoa lugha za kihuni kwamba usishupalie shingo kwa sababu za dini yako wakati wewe mwenyewe unabase kwenye dini yako.Uhifadhi wa Quran kama unavyodai ulikuwa ndani ya mioyo ya watu basi kusingetokea michanganyiko ya kisarafi na muingiliano wa lugha na maneno hata yasizokuwa ya kiarabu.
Unapotaka kutuaminisha kupitia kwa reference ya wazungu kuwa Muhammad ni kiumbe bora duniani bado mimi nashangaa kwa sababu wazungu hao hao Wanaponda kwa utafiti discrepancies nyingi zilizo kwenye hicho kitabu pamoja na kuandikwa karne saba baada ya Yesu ambako kulitakiwa kuwa kuna changea katika techonology na hata namna ya utunzi wa mashairi.Ukamilifu wa hicho kitabu uko kwa walioshupaza shingo na kuamini ndota ya mtu aliyekwenda Al aqsa,kuamini kuwa sperms zinatoka mgongoni na kwenye mbavu,kuamini kuwa Mariam mamake Yesu ni binti ya Aron,kuamini kuwa Aron ni msamaria?Kuamini kuwa Abraham.na Ishmael waliishi Macca na walijenga Kaaba,kutaka kutuaminisha kuwa Ishmael ndo alitolewa sadaka ilhali hakuwa mtoto wa Agano na zaidi ya yote kuuaminisha ummah kuwa Ishmael ni baba wa Waarabu ilhali aliishi katika kipindi ambacho waarabu walikuwepo tayari.
Hata mimi niliwahi kuingia katika mtego huo wa kuamini kuwa Quran imeshushwa lakini baada ya kupata ukweli na kuona mapungufu nikaamua kugeuka.
Sasa wewe ambaye unasema umechimba sana dini nne,naamini katika uchimbaji wako umeona tofauti ya mbingu ya Muhammad,Budha,Judaism pamoja na Christianity.Mbingu inayoongelea pleasures za kidunia za Kubikiri wanawake 72 vs mbingu inayoongelea uzima wa milele wa kumsifu na kumtukuza Mungu bila kuoa wala kuolewa,hujaona mashaka bado?Mkibanwa sana kuhusu taurat na mpangilio wake wa kihistoria na ukamilifu wake mnasema ilikuwa fabricated lakini hamtupi evidence ya hiyo fabrication.Naomba unieleze leo,Mayahudi walikuwa na sababu gani ya kufabricate kitabu chao ilhali hapakuwa na ukristo na uislam wala imani yeyote iliyopingana nao kabla ya Muhammad?

Narecommend usome kitabu cha The prophet of doom
Wewe ni mmoja ya brain washed kama nilivyomuambia mwenzio siwalaumu sababu watu waliwandaa msije kuwa waislam so walijua njia pekee ni kuwaleza yasikuwa ya maana ili uone haina haja ya kuwa muislam nafahm ipo mitalaa kwa ajili ya ku kuupinga usilam dunian kote na watu wanakuwa trained ntakupa mfano a mtizamo tofauti na wewe utakuwa umewahi kuisikia baadh kuna wakrsto mashahid wa yehova wanafundishwa Muhamad alitokewa na jini pangoni ndio likamfundisha Quran na mkwe wake ndio mganga ndio alimpandisha jin so nwansema muhhamad alikuwa akitaka kuisoma Quran anapandisha jin kwanza na hivyo dini hii ni ya majin na nguvu za giza,mtazamo wa pili huu unasema muhamad alikiwa mafia sana alindaa jeshi akatunga kitabu chake kwa ku copy ma ku paste bible na akasambaza dini yake kwa upanga, mtazamo wa tatu ni kuwa uislam umeanzishwa na Kanisa la Roma kama mpinga Kristo ili ukristo usienee na kazi hiyo alipewa muhhamad na wa roma,pia kuna mtazamo kua muhammhad alikuja kwa ajili ya waarabu tu...sasa hii ni mtazamo ya makanisa mbali mbali juu ya uislam kila mmoja anatunga yake na ni kwasababu mmfata njia za mayahahud sababu mayahud walisema hawakubali mtume mwigine baada ya Mussa ndio maana wkaamkataa Yesu na muhammad nanyi mkasema hatubali mtume mwigine baada ya Yesu hata ukisoma vitabu vya kiyahud vimemuandika vibaya sana Yesu na Muhammad haswa Yesu lakin Quran imewakubali Mitume wote walitumwa na Mungu

Nikiangalia hoja zako naweza kuotea ni mutoka madhehebu ya kisabato ndio wana mitaala ya aina hii au pentekoste ndio wanamitaala ya aina hii..
Safari ya miraji ya kwenda Aqsa na mbingun tangu muhammad yupo Dunian wapo waliosema ni muongo na aliota japo alisema kitu ambacho sayans ya leo imethibitisha kuwa nje ya dunia kuna kelel zinafujo sana na vitu vingina vina move kwa fujo sana shirika la amerika walifanya utafiki kwa.kutengeneza kifaa kinachoweza kusikiliza sauti za chini ambazo wanadamu hatuwez kuzisikia na wakaja ni riport iliyosema our universe is not silence sababu iliaminika hukk siku za nyuma ni ngumu kusikia sauti ukiwa nje ya dunia zaid ya movement za objects zilizopo...lakin baada ya kuweka kifaa hicho walizisikia sauti ambayo nayo walisema ni ya kukera na ina fujo. Ikathibitisha aliyosema ika inabaki ni jambo la iman tu kama huamina hata uambiwe nini.!

Una hoja nyingi dhaifu Quran imesema mariamu ni mtoto wa mzee Imran sio Aron na ametajwa kuwa yeye ni ndugu wa Aron au harun sasa sio aron unamjua wewe ndio atakuwa anazengumziwa kwa Quran bible haijandika historia ya mama wa Yesu na wakrristo wengi hawajui hata babu yesu ni nani lakkn Quran si tu imetaja pia kuna sura nzima imeitwa jina la babu yake Yesu mzee imran.

Huwa nashangaa nukiwauliza hivi mnadhan waislam wangekuwa wanashinda kama Quran ingesema aliyetakiwa kutoleaa sadaka ni Isihaka na sio ismail kama ndani ya Quran kuna sura nzima ya mama Yesu na hakuna sura ya mama wa muhamad,wala mkewe,wala binti yake ndio sura pekee ya jina la mwanamke na pia kuna aya inasema "hakika maryam mama wa Yesu ni mwanamke bora kuliko wanawake wote" hivi inakuangia akili muhammad muarabu anawaambia waarabu kuwa mwanmke wa kiyahud ni mwanamke bora kuliko wanawake wote kuliko mama zao kuliko wake zao kuliko mabint zao....nikiwauliza kuhusu mtoto ismail mnasema ismail alizaliwa nje ya ndoa nawaukiza nani alifugisha ndoa ya ibrahim na mkewe?? Isack tukio la kutolewa sadaka likifanyika wapi? Unajua ndoa zama za ibrahim zilifingwa kwa mtindo gani had useme ismali alizaliwa nje ya ndoa? Nani alikiwa mtoto wa pekee kabla ya isack.!

Hilo la uzazi ntakupa mjibu ya kitaalum kama lugha inapanda utaelewaa ila kifupi kaa ukijua sperms asilima 95 process yake haifanyiki kwenye tests inafanyika nje na Quran haijasema sperm imesema maji maji yakiwa hawajakamilka na pia organ zetu za uzazi kabla hujazaliwa ukiwa tumboni miezi ya mwanzo inakuwa located kwenye uti wa mgongo na baadae zinashuka so Quran imeelezea mambo yote mawili kwa pamoja...isome hii ripot ya kitaalam sababu suala hilo limeulizwa dunia nzima sababu ni suala lilipotoshwa kwa makusudi au kutokuelewa

What Qur’an Says

[76:3] We have created man from a mingled sperm-drop that We might try him; so We made him hearing, seeing.

[86:6] So let man consider from what he is created.

[86:7] He is created from a gushing fluid,

[86:8] Which issues forth from between the loins and the breast-bones.

[86:9] Surely, He has the power to bring him back to life

EXPLANATION

The allegation is based on false premises that the Qur’an talks about semen coming out of the area between backbone and ribs.

DID THE QUR’AN USE THE WORD “SEMEN”? NOT AT ALL.

The Qur’an used the words, “Khuliqa minm Maain Daafiq”, that was translated by Sir Zafrullah Khan as, “created from a fluid poured forth” and by Maulvi Sher Ali as, “created from a gushing fluid”. These four words mean the ejaculate, which consists of 2-5% sperms and 95-98% other ingredients. Therefore only 2-5 % of the fluid is produced in testes. The majority of the other ingredients, including prostaglandins, Zinc, lipids, steroid hormones, enzymes, amino acids and minerals, are produced and stored in the seminal vesicles, and prostate glands, both of which are located away from the the backbone (not even close enough to the ribs) and in the pelvis area closer to the sexual organs.

DID THE QUR’AN USE THE WORD “KIDNEY”? NO.

Furthermore, we should try to discover what is that present in between the backbone and the ribs that causes the seminal fluid to be issued or expelled. In order to understand this verse, we must recollect the anatomy and the physiology of the spinal cord, vertebral column, and the autonomic nervous system. Briefly, without going into biological and physiological details, the reflex centres in the spinal cord begin to send nerve signals or emit rhythmic sympathetic impulses that leave the cord at lumbar segments L1, L2 and pass to the genitalia. Next, the last wave of reflex nervous mechanism takes place. Rhythmic parasympathetic impulses from the sacral segment S1, S2 leave the cord resulting in the expulsion or ejaculation or forcing out the “gushing fluid”.

The spinal cord ends at the level between first and second lumbar vertebrae. The spinal segments, L1, L2 and S1, S2 are enclosed within the first and second lumbar vertebrae, which are below the thoracic ones where the ribs meet the backbone. Thus we have seen that the nerve signals to expel the ejaculate or the “gushing fluid” is issued from the lumbar and sacral segments of the spinal cord, which lie below the level of the 12th ribs on either side and above L3 vertebra or “between the backbone and the ribs,” as the Qur’an says.

SUMMARY

Briefly, the Holy Qur’an is absolutely right in using the above words literally and scientifically too. All knowledge is in the Qur’an but some intellects are the one who fail to grasp it. The above mentioned physiological mechanism of ejaculation of the fluid and how the nerve impulses are discharged from the lumbar and sacral segments of the spinal cord that lie within the first two lumbar vertebrae, which are below the 12th ribs and above the remaining lumbar and sacral vertebrae, the backbone. Is there any doubt what the Qur’an uniquely summarizes it, the nerve impulses are discharged “between the backbone and the ribs”?


Mwisho wa siku ni iman na Allahm amesema "hatumuhukumu yoyote ile yule tu tuliemfikisha ujumbe," na ahad ya Mungu ni ya kweli kama iman yako inakumbia maisha baaya ya kufa ni kwenda kuimba mampambio tu na kusifu hakina kuoa wala kuolewa bado hanmna ushahid wa kisayansi wa juu ya pepo na nini kipo huko..!

Ila uislam unasema yote hayo yatakuwepo kwa pamoja maisha yataendela ila hakuna kufa na sion mantiki ya utamu wa dunia hii niende nikake kama mtawa mbinguni starehe za duni ni kionjo na utafika kule tu kama utamtumukia na kumsifu Mungu hapa duniani..!

"Waionye wote wanaozikataa ishara zetu tutawatumbukiza kwenye moto wa jehanam na watalia kuomba msamaha na malaika watauwauliza je hakuwajia mounyaji?"

Nahitimisha jifunze kujua sio kubishana.!..itakusaidia
 
Wewe ni mmoja ya brain washed kama nilivyomuambia mwenzio siwalaumu sababu watu waliwandaa msije kuwa waislam so njia pekee ni kuwaleza yasikuwa ya maana ili uone haina haja ya kutokuwa muislam nafahm ipo mitalaa kwa ajili ya ku kuuoinga usilam dunian kote na watu wanakuwa trained ntakupa mfano a mtizamo tofauti na wewe utakuwa umewahi kuisikia baadh kuna wakrsto mashahid wa yehova wanafundishwa Muhamad alitokewa na jini pangoni ndio likamfundisha Quran na mkwe wake ndio mganga ndio alimoandisha jin so nwansema muhhamad alikuwa akitaka kuisoma Quran anapandisha jin kwanza na hivyo dini hii ni ya majin na nguvu za giza,mtazamo wa pili huu unasema muhamad alikiwa mafia sana alindaa jeshi akatunga kitabu chake kwa ku copy ma ku paste bible na akasambaza dini yake kwa upanga, mtazamo wa tatu ni kuwa uislam umeanzishwa na Kanisa la Roma kama mpinga Kristo ili ukristo usienee na kazi hiyo alipewa muhhamad na wa roma,pia kuna mtazama kua muhammhad alikuja kwa nili ya waarabu tu...sasabhii ni mtazamo ya makanisa mbali mbali juu ya uislam kila mmoja anatunga yake na ni kwasababu mmfeta njia za mayahahud sababu mayahud walisema hawakubali mtume mwigine baada ya Mussa ndio maana wkaamkataa Yesu na muhammad nanyi mkasema hatubali mtume mwigine baada ya Yesu hata ukisoma vitabu vya kiyahud vimemuandika vibaya sana Yesu na Muhammad haswa Yesu lakin Quran imewakubali Mitume wote walitumwa na Mungu

Nikiangalia hoja zako naweza kuotea ni mutoka madhehebu ya kisabato ndio wana mitaala ya aina hii au pentekoste ndio wanamitaala ya aina hii..
Safari ya miraji ya kwenda Aqsa na mbingun tangu muhammad yupo Dunian wapo waliosema ni muongo na aliota japo alisema kitu ambacho sayans ya leo imethibitisha kuwa nje ya dunia kuna kelel zinafujo sana na vitu vingina vina move kwa fujo sana shirika la amerika walifanya utafiki kwa.kutengeneza kifaa kinachoweza kusikiliza sauti za chini ambazo wanadamu hatuwez kuzisikia na wakaja ni riport iliyosema our universe is not silencd sababu iliaminika hukk siku za nyuma ni ngumu kusikia sauti ukiwa nje ya dunia zaid ya movement za objects zilizopo...

Una hoja nyingi dhaifu Quran imesema mariamu ni mtoto wa mzee Imran sio Aron na ametajwa kuwa yeye ni ndugu wa Aron au harun sasa sio aron unamjua wewe ndio atakuwa anazengumziwa kwa Quran bible haijandika historia ya mama wa Yesu na wakrristo wengi hawajui hata babu yesu ni nani lakkn Quran si tu imetaja pia kuna sura nzima imeitwa jina la babu yake Yesu mzee imran.

Huwa nashangaa nukiwauliza hivi mnadhan waislam wangekuwa wanahinda kama Quran ingesema aliyetakiwa kutoleaa sadaka ni Isihaka na sio ismail kama ndani ya Quran kuna sura nzima ya mama Yesu na hakuna sura ya mama wa muhamad,wala mkewe,wala binti yake ndio sura pekee ya jina la mwanamke na pia kuna aya inasema "hakika maryam mama wa Yesu ni mwanamke bora kuliko wanawake wote" hivi inakuangia akili muhammad muarabu anawaambia waarabu kuwa mwanmke wa kiyahud ni mwanamke bora kuliko wanawake wote kuliko mama zao kuliko wake zao kuliko mabint zao....nikiwauliza kuhusu mtoto ismail mnasema ismail alizaliwa nje ya ndoa nawaukiza nani alifugisha ndoa ya ibrahim na mkewe?? Isack tukio la kutolewa sadaka likifanyika wapi? Unajua ndoa zama za ibrahim zilifingwa kwa mtindo gani had useme ismali alizaliwa nje ya ndoa? Nani alikiwa mtoto wa pekee kabla ya isack.!

Hilo la uzazi ntakupa mjibu ya kitaalum kaka lugha inapanda utaelea ila kifupi kaa ukijua spers asilima 95 process yake haifanyiki kwenye tests inafanyika na Quran haijasema sperm imesema maji maji yakiwa hawajakamilka na pia organ zetu za uzazi kabla hujqzliwa ukiwa tumboni inakuwa located kwenye uti wa mgongo na baadae zinashuka so Quran imeelezea mambo yote mawili kwa pamoja...isome hii ripot ya kitaalam sababu sual hilo limeulizwa dunia nzima

What Qur’an Says

[76:3] We have created man from a mingled sperm-drop that We might try him; so We made him hearing, seeing.

[86:6] So let man consider from what he is created.

[86:7] He is created from a gushing fluid,

[86:8] Which issues forth from between the loins and the breast-bones.

[86:9] Surely, He has the power to bring him back to life

EXPLANATION

The allegation is based on false premises that the Qur’an talks about semen coming out of the area between backbone and ribs.

DID THE QUR’AN USE THE WORD “SEMEN”? NOT AT ALL.

The Qur’an used the words, “Khuliqa minm Maain Daafiq”, that was translated by Sir Zafrullah Khan as, “created from a fluid poured forth” and by Maulvi Sher Ali as, “created from a gushing fluid”. These four words mean the ejaculate, which consists of 2-5% sperms and 95-98% other ingredients. Therefore only 2-5 % of the fluid is produced in testes. The majority of the other ingredients, including prostaglandins, Zinc, lipids, steroid hormones, enzymes, amino acids and minerals, are produced and stored in the seminal vesicles, and prostate glands, both of which are located away from the the backbone (not even close enough to the ribs) and in the pelvis area closer to the sexual organs.

DID THE QUR’AN USE THE WORD “KIDNEY”? NO.

Furthermore, we should try to discover what is that present in between the backbone and the ribs that causes the seminal fluid to be issued or expelled. In order to understand this verse, we must recollect the anatomy and the physiology of the spinal cord, vertebral column, and the autonomic nervous system. Briefly, without going into biological and physiological details, the reflex centres in the spinal cord begin to send nerve signals or emit rhythmic sympathetic impulses that leave the cord at lumbar segments L1, L2 and pass to the genitalia. Next, the last wave of reflex nervous mechanism takes place. Rhythmic parasympathetic impulses from the sacral segment S1, S2 leave the cord resulting in the expulsion or ejaculation or forcing out the “gushing fluid”.

The spinal cord ends at the level between first and second lumbar vertebrae. The spinal segments, L1, L2 and S1, S2 are enclosed within the first and second lumbar vertebrae, which are below the thoracic ones where the ribs meet the backbone. Thus we have seen that the nerve signals to expel the ejaculate or the “gushing fluid” is issued from the lumbar and sacral segments of the spinal cord, which lie below the level of the 12th ribs on either side and above L3 vertebra or “between the backbone and the ribs,” as the Qur’an says.

SUMMARY

Briefly, the Holy Qur’an is absolutely right in using the above words literally and scientifically too. All knowledge is in the Qur’an but some intellects are the one who fail to grasp it. The above mentioned physiological mechanism of ejaculation of the fluid and how the nerve impulses are discharged from the lumbar and sacral segments of the spinal cord that lie within the first two lumbar vertebrae, which are below the 12th ribs and above the remaining lumbar and sacral vertebrae, the backbone. Is there any doubt what the Qur’an uniquely summarizes it, the nerve impulses are discharged “between the backbone and the ribs”?
Tatizo unafikiri ukitumia lugha ya kimagharibi kuelezea point zako ndo tutakuelewa.Mimi nimerecommend usome kitabu hicho hicho cha lugha unayopenda kuitumia kutoka kwa wazungu.Sijapenda kuongelea dini ya mtu wala kukusemea imani yako.Nimepingana na hoja kuwa Quran haina mapungufu na nikakuorodheshea baadhi ya mapungufu hayo.Na kwa kuwa umesema wewe ni msomi wa dini mbalimbali nikajua kuwa ungependa kusoma kitabu cha the prophet of Doom www.prophetofdoom.net
ili upate maarifa ya kile ninachokiongelea.Sijawa brainwashed ila the more unavyojaribu kuihalalisha Quran na kuviharamisha vitabu vilivyotangulia the more unanifanya niwe na kiu ya kusoma kupata ukweli.
Nisingependa ku attack personality yako ila nafurahi kwa sababu unanionyesha kuwa wewe ni msomi ambaye tayari alishachagua upande.Kuna ubaya gani kwa mfano kuhoji uhalali wa uwepo wa msikiti wa Al Aqsa wakati wa enzi za mtume Muhammad?Historia inasema msikiti huo haukuwepo ulikuwa umebomolewa na Assyrian army.Tukisema hilo ni kasoro unatuambia tumekuwa brainwashed.Mimi si msabato ila ni mtu anayetafuta maarifa.Bahati mbaya ni kwamba wewe tayari ulishajiamulia upande na hilo ulilo nalo ndiyo unajua ni ukweli na kwa jinsi ninavyokuona tungekuwa karibu lazima ungeshika upanga.
Msingi wa mimi kupinga Quran na hadiths na hatimaye uislamu umejikita katika hoja kwamba Muhammad si nabii wa Mungu wa kwenye biblia kwa sababu si mwana wa agano la Ibrahim,Isaac na Jacob na kabla yake hakujawahi tokea nabii nje ya bloodline hiyo kwa hiyo attachment yake kwa Abraham na Ishmael ni fake na alifanya pragiarism ya biblia kuhalalisha unabii wake.Nimekuomba unipe kwa evidence fabrication ya biblia inayosema Abraham aliishi Mecca na si Hebron hujanipa,Biblia haiutambui mji wa Beca ambao baadaye ilikuja kuwa Mecca.Na kwa sababu gani Mayahudi wafabricate maandiko ilhali kabla ya Muhammad hakukutokea aliyewahi kuyapinga maan diko yao?Huyo unayejaribu kututhibitishia ni binadamu bora zaidi ubora wake uko wapi ilhali yeye mwenyewe anakiri kuwa ni mdhambi?Hebu soma The Prophet of Doom uone hao wazungu wako wanavyomkana kwa utafiti kuwa si nabii wa YHWH bali wa allah.
 
Wewe ni mmoja ya brain washed kama nilivyomuambia mwenzio siwalaumu sababu watu waliwandaa msije kuwa waislam so walijua njia pekee ni kuwaleza yasikuwa ya maana ili uone haina haja ya kuwa muislam nafahm ipo mitalaa kwa ajili ya ku kuupinga usilam dunian kote na watu wanakuwa trained ntakupa mfano a mtizamo tofauti na wewe utakuwa umewahi kuisikia baadh kuna wakrsto mashahid wa yehova wanafundishwa Muhamad alitokewa na jini pangoni ndio likamfundisha Quran na mkwe wake ndio mganga ndio alimpandisha jin so nwansema muhhamad alikuwa akitaka kuisoma Quran anapandisha jin kwanza na hivyo dini hii ni ya majin na nguvu za giza,mtazamo wa pili huu unasema muhamad alikiwa mafia sana alindaa jeshi akatunga kitabu chake kwa ku copy ma ku paste bible na akasambaza dini yake kwa upanga, mtazamo wa tatu ni kuwa uislam umeanzishwa na Kanisa la Roma kama mpinga Kristo ili ukristo usienee na kazi hiyo alipewa muhhamad na wa roma,pia kuna mtazamo kua muhammhad alikuja kwa ajili ya waarabu tu...sasa hii ni mtazamo ya makanisa mbali mbali juu ya uislam kila mmoja anatunga yake na ni kwasababu mmfata njia za mayahahud sababu mayahud walisema hawakubali mtume mwigine baada ya Mussa ndio maana wkaamkataa Yesu na muhammad nanyi mkasema hatubali mtume mwigine baada ya Yesu hata ukisoma vitabu vya kiyahud vimemuandika vibaya sana Yesu na Muhammad haswa Yesu lakin Quran imewakubali Mitume wote walitumwa na Mungu

Nikiangalia hoja zako naweza kuotea ni mutoka madhehebu ya kisabato ndio wana mitaala ya aina hii au pentekoste ndio wanamitaala ya aina hii..
Safari ya miraji ya kwenda Aqsa na mbingun tangu muhammad yupo Dunian wapo waliosema ni muongo na aliota japo alisema kitu ambacho sayans ya leo imethibitisha kuwa nje ya dunia kuna kelel zinafujo sana na vitu vingina vina move kwa fujo sana shirika la amerika walifanya utafiki kwa.kutengeneza kifaa kinachoweza kusikiliza sauti za chini ambazo wanadamu hatuwez kuzisikia na wakaja ni riport iliyosema our universe is not silence sababu iliaminika hukk siku za nyuma ni ngumu kusikia sauti ukiwa nje ya dunia zaid ya movement za objects zilizopo...lakin baada ya kuweka kifaa hicho walizisikia sauti ambayo nayo walisema ni ya kukera na ina fujo. Ikathibitisha aliyosema ika inabaki ni jambo la iman tu kama huamina hata uambiwe nini.!

Una hoja nyingi dhaifu Quran imesema mariamu ni mtoto wa mzee Imran sio Aron na ametajwa kuwa yeye ni ndugu wa Aron au harun sasa sio aron unamjua wewe ndio atakuwa anazengumziwa kwa Quran bible haijandika historia ya mama wa Yesu na wakrristo wengi hawajui hata babu yesu ni nani lakkn Quran si tu imetaja pia kuna sura nzima imeitwa jina la babu yake Yesu mzee imran.

Huwa nashangaa nukiwauliza hivi mnadhan waislam wangekuwa wanashinda kama Quran ingesema aliyetakiwa kutoleaa sadaka ni Isihaka na sio ismail kama ndani ya Quran kuna sura nzima ya mama Yesu na hakuna sura ya mama wa muhamad,wala mkewe,wala binti yake ndio sura pekee ya jina la mwanamke na pia kuna aya inasema "hakika maryam mama wa Yesu ni mwanamke bora kuliko wanawake wote" hivi inakuangia akili muhammad muarabu anawaambia waarabu kuwa mwanmke wa kiyahud ni mwanamke bora kuliko wanawake wote kuliko mama zao kuliko wake zao kuliko mabint zao....nikiwauliza kuhusu mtoto ismail mnasema ismail alizaliwa nje ya ndoa nawaukiza nani alifugisha ndoa ya ibrahim na mkewe?? Isack tukio la kutolewa sadaka likifanyika wapi? Unajua ndoa zama za ibrahim zilifingwa kwa mtindo gani had useme ismali alizaliwa nje ya ndoa? Nani alikiwa mtoto wa pekee kabla ya isack.!

Hilo la uzazi ntakupa mjibu ya kitaalum kama lugha inapanda utaelewaa ila kifupi kaa ukijua sperms asilima 95 process yake haifanyiki kwenye tests inafanyika nje na Quran haijasema sperm imesema maji maji yakiwa hawajakamilka na pia organ zetu za uzazi kabla hujazaliwa ukiwa tumboni miezi ya mwanzo inakuwa located kwenye uti wa mgongo na baadae zinashuka so Quran imeelezea mambo yote mawili kwa pamoja...isome hii ripot ya kitaalam sababu suala hilo limeulizwa dunia nzima sababu ni suala lilipotoshwa kwa makusudi au kutokuelewa

What Qur’an Says

[76:3] We have created man from a mingled sperm-drop that We might try him; so We made him hearing, seeing.

[86:6] So let man consider from what he is created.

[86:7] He is created from a gushing fluid,

[86:8] Which issues forth from between the loins and the breast-bones.

[86:9] Surely, He has the power to bring him back to life

EXPLANATION

The allegation is based on false premises that the Qur’an talks about semen coming out of the area between backbone and ribs.

DID THE QUR’AN USE THE WORD “SEMEN”? NOT AT ALL.

The Qur’an used the words, “Khuliqa minm Maain Daafiq”, that was translated by Sir Zafrullah Khan as, “created from a fluid poured forth” and by Maulvi Sher Ali as, “created from a gushing fluid”. These four words mean the ejaculate, which consists of 2-5% sperms and 95-98% other ingredients. Therefore only 2-5 % of the fluid is produced in testes. The majority of the other ingredients, including prostaglandins, Zinc, lipids, steroid hormones, enzymes, amino acids and minerals, are produced and stored in the seminal vesicles, and prostate glands, both of which are located away from the the backbone (not even close enough to the ribs) and in the pelvis area closer to the sexual organs.

DID THE QUR’AN USE THE WORD “KIDNEY”? NO.

Furthermore, we should try to discover what is that present in between the backbone and the ribs that causes the seminal fluid to be issued or expelled. In order to understand this verse, we must recollect the anatomy and the physiology of the spinal cord, vertebral column, and the autonomic nervous system. Briefly, without going into biological and physiological details, the reflex centres in the spinal cord begin to send nerve signals or emit rhythmic sympathetic impulses that leave the cord at lumbar segments L1, L2 and pass to the genitalia. Next, the last wave of reflex nervous mechanism takes place. Rhythmic parasympathetic impulses from the sacral segment S1, S2 leave the cord resulting in the expulsion or ejaculation or forcing out the “gushing fluid”.

The spinal cord ends at the level between first and second lumbar vertebrae. The spinal segments, L1, L2 and S1, S2 are enclosed within the first and second lumbar vertebrae, which are below the thoracic ones where the ribs meet the backbone. Thus we have seen that the nerve signals to expel the ejaculate or the “gushing fluid” is issued from the lumbar and sacral segments of the spinal cord, which lie below the level of the 12th ribs on either side and above L3 vertebra or “between the backbone and the ribs,” as the Qur’an says.

SUMMARY

Briefly, the Holy Qur’an is absolutely right in using the above words literally and scientifically too. All knowledge is in the Qur’an but some intellects are the one who fail to grasp it. The above mentioned physiological mechanism of ejaculation of the fluid and how the nerve impulses are discharged from the lumbar and sacral segments of the spinal cord that lie within the first two lumbar vertebrae, which are below the 12th ribs and above the remaining lumbar and sacral vertebrae, the backbone. Is there any doubt what the Qur’an uniquely summarizes it, the nerve impulses are discharged “between the backbone and the ribs”?


Mwisho wa siku ni iman na Allahm amesema "hatumuhukumu yoyote ile yule tu tuliemfikisha ujumbe," na ahad ya Mungu ni ya kweli kama iman yako inakumbia maisha baaya ya kufa ni kwenda kuimba mampambio tu na kusifu hakina kuoa wala kuolewa bado hanmna ushahid wa kisayansi wa juu ya pepo na nini kipo huko..!

Ila uislam unasema yote hayo yatakuwepo kwa pamoja maisha yataendela ila hakuna kufa na sion mantiki ya utamu wa dunia hii niende nikake kama mtawa mbinguni starehe za duni ni kionjo na utafika kule tu kama utamtumukia na kumsifu Mungu hapa duniani..!

"Waionye wote wanaozikataa ishara zetu tutawatumbukiza kwenye moto wa jehanam na watalia kuomba msamaha na malaika watauwauliza je hakuwajia mounyaji?"

Nahitimisha jifunze kujua sio kubishana.!..itakusaidia
Kwa nn safari ya Al aqsa ithibitishwe na utafiti?na nikikwambia unambie ni utafiti gani unabaki kupigapiga domo.Hebu nipe source ya huo utafiti.Kuhusu hiyo fluid u ayoisema kwa nini msubirie hadi wazungu waje na tafiti kuthibitisha hilo,kwani Allah alishindwaje kuliweka wazi kwa hiyo science uliyoiandika.Why do Muhammadans ascribe all his miracles after he had died?Hata kwenye hiyo splitting ya moon kuna maswali mengi sana ya kuwauliza lakini majibu yenu eti ni ripoti ya NASA.Kwenye deductive reasoning huwa tunaiacha science ichukue mkondo wake na logic ichukue mkondo wake.Lakini cha ajabu kwenye positivism na interpretivism kitabu bado kinatia shaka.Tukiquestion Geneology ya Mary mnasema siyo Aron.Ni kweli siyo Aron je,Imran ni nduguye Aron.Acha mzaha aisee
 
Kwa nn safari ya Al aqsa ithibitishwe na utafiti?na nikikwambia unambie ni utafiti gani unabaki kupigapiga domo.Hebu nipe source ya huo utafiti.Kuhusu hiyo fluid u ayoisema kwa nini msubirie hadi wazungu waje na tafiti kuthibitisha hilo,kwani Allah alishindwaje kuliweka wazi kwa hiyo science uliyoiandika.Why do Muhammadans ascribe all his miracles after he had died?Hata kwenye hiyo splitting ya moon kuna maswali mengi sana ya kuwauliza lakini majibu yenu eti ni ripoti ya NASA.Kwenye deductive reasoning huwa tunaiacha science ichukue mkondo wake na logic ichukue mkondo wake.Lakini cha ajabu kwenye positivism na interpretivism kitabu bado kinatia shaka.Tukiquestion Geneology ya Mary mnasema siyo Aron.Ni kweli siyo Aron je,Imran ni nduguye Aron.Acha mzaha aisee
Sio logic unayozungumza Quran ni living miracle kila kizazi kitaon na kugundua yake yapo mwngi ambayo quran umeyasema ambayi sayans bado haijayafikia mafano Quran imesema kuna sayari nyingine tofauti na ya kwetu na kuna misha nje ya sayari yetu so yapo mambo kwa kizazi kile ilikiwa ngumu kuyaelewa hata ungwalelezea vip yalisubiri ili sience ikia advance yagundulike na iww ishara kwa mwanadamu kuwa yupo aliyeyapanga unajua kadri mwanadamu anavyopiga hatua kiteknolojia ndio anakuwa haoni sababu ya kuamin uwepo au ujitaji wa Mungu so wataendelea kugundua na na iww ishara ya Mungu kwao kuwa yakieandaliwa haya yote na yeue Muumba..!

Hatukuwepo wakati mussa anavusha watu hatujaona Yesu akifufua watu maana hiiyo kizazi hiki hakishuhudia miujiza kikubwa Ya Allha ioa kutuelea Quran ambayo kila kadri sayan inavyoendelea Quran haija achwa nyuma so kutokulewa kweny sio mpaungufu ya Quran..!
 
Tatizo unafikiri ukitumia lugha ya kimagharibi kuelezea point zako ndo tutakuelewa.Mimi nimerecommend usome kitabu hicho hicho cha lugha unayopenda kuitumia kutoka kwa wazungu.Sijapenda kuongelea dini ya mtu wala kukusemea imani yako.Nimepingana na hoja kuwa Quran haina mapungufu na nikakuorodheshea baadhi ya mapungufu hayo.Na kwa kuwa umesema wewe ni msomi wa dini mbalimbali nikajua kuwa ungependa kusoma kitabu cha the prophet of Doom www.prophetofdoom.net
ili upate maarifa ya kile ninachokiongelea.Sijawa brainwashed ila the more unavyojaribu kuihalalisha Quran na kuviharamisha vitabu vilivyotangulia the more unanifanya niwe na kiu ya kusoma kupata ukweli.
Nisingependa ku attack personality yako ila nafurahi kwa sababu unanionyesha kuwa wewe ni msomi ambaye tayari alishachagua upande.Kuna ubaya gani kwa mfano kuhoji uhalali wa uwepo wa msikiti wa Al Aqsa wakati wa enzi za mtume Muhammad?Historia inasema msikiti huo haukuwepo ulikuwa umebomolewa na Assyrian army.Tukisema hilo ni kasoro unatuambia tumekuwa brainwashed.Mimi si msabato ila ni mtu anayetafuta maarifa.Bahati mbaya ni kwamba wewe tayari ulishajiamulia upande na hilo ulilo nalo ndiyo unajua ni ukweli na kwa jinsi ninavyokuona tungekuwa karibu lazima ungeshika upanga.
Msingi wa mimi kupinga Quran na hadiths na hatimaye uislamu umejikita katika hoja kwamba Muhammad si nabii wa Mungu wa kwenye biblia kwa sababu si mwana wa agano la Ibrahim,Isaac na Jacob na kabla yake hakujawahi tokea nabii nje ya bloodline hiyo kwa hiyo attachment yake kwa Abraham na Ishmael ni fake na alifanya pragiarism ya biblia kuhalalisha unabii wake.Nimekuomba unipe kwa evidence fabrication ya biblia inayosema Abraham aliishi Mecca na si Hebron hujanipa,Biblia haiutambui mji wa Beca ambao baadaye ilikuja kuwa Mecca.Na kwa sababu gani Mayahudi wafabricate maandiko ilhali kabla ya Muhammad hakukutokea aliyewahi kuyapinga maan diko yao?Huyo unayejaribu kututhibitishia ni binadamu bora zaidi ubora wake uko wapi ilhali yeye mwenyewe anakiri kuwa ni mdhambi?Hebu soma The Prophet of Doom uone hao wazungu wako wanavyomkana kwa utafiti kuwa si nabii wa YHWH bali wa allah.
Kila siku kwa makadirio vinandikwa vitabu viwili au article kuuoinga uislam na muhhamad sasa kama ukisoma hivyo ku justfy iman yako ndio ulipozid kupotea hiyo artcle nimeisoma sana hata mimi najua zipo arrtcle za kuupinga ukrssto na hata kuwepo kwa Yesu lakin why niziamin na wakati najua zina uzushi mwingi nazisima tu kuongeza maarif...sijui kama umeahi kusikia injil ya maria magdalena imasema yesu alioa akaza na watoto na maria magdalena so inabidi uwe smart angalau kuwa posstive tafuta vtnazo sahihi ili uwe judge mzuri usotafite habari ambazo utapenda kuzisikia au kuziona against islama halfu ukiznshikia bando utaumbuka mbele sababu hazina mashiko ya kiushahidi
 
Back
Top Bottom