Biashara ya Vanilla, Tshs 850,000 kwa kilo; Kuna nini nyuma ya tangazo hili?

Vanilla isha pasua watu huko wale wakaza fuvu
JamiiForums-984784984.gif
 
Usisahau kumpiga kofi moja la kichwa ili kumuweka sawa ht kama n bimkubwa
Mdogo wangu sasa ndio alikuwa anataka kuweka 20 yule nampiga kofi, me nlikuwa sijui sasa kwenye stori na bimkubwa ndio akaniambia hiyo mipango nikawastopisha kwa lekcha moja matata sana.... Ujue vanilla tatizo lipo kwenye pollination mzee kila ua ili lioteshe kile kidude kama arage bich lazima lifanyiwe polination manually na lazima iwe asubuh sana, jua likitoka kama maua hayajafanyiwa pollination yanaanguka, inabidi usubiri mpaka mwaka mwingine, ni mtiti bwana mkubwa.... Nikipata time ntakuja kuwaeleza watu wajue namna ilivyo shughuli pevu
 
Mdogo wangu sasa ndio alikuwa anataka kuweka 20 yule nampiga kofi, me nlikuwa sijui sasa kwenye stori na bimkubwa ndio akaniambia hiyo mipango nikawastopisha kwa lekcha moja matata sana.... Ujue vanilla tatizo lipo kwenye pollination mzee kila ua ili lioteshe kile kidude kama arage bich lazima lifanyiwe polination manually na lazima iwe asubuh sana, jua likitoka kama maua hayajafanyiwa pollination yanaanguka, inabidi usubiri mpaka mwaka mwingine, ni mtiti bwana mkubwa.... Nikipata time ntakuja kuwaeleza watu wajue namna ilivyo shughuli pevu
Aisee ni noma
 
Wapigwe Tu Tumechoka
Bwana Bure Hayupo Ndugu Zangu Tuchape Kazi Huku Tukimtanguliza Mungu Mbele
By Mzilankende Mnyago Wa Chettle
 
Back
Top Bottom