Mdogo wangu sasa ndio alikuwa anataka kuweka 20 yule nampiga kofi, me nlikuwa sijui sasa kwenye stori na bimkubwa ndio akaniambia hiyo mipango nikawastopisha kwa lekcha moja matata sana.... Ujue vanilla tatizo lipo kwenye pollination mzee kila ua ili lioteshe kile kidude kama arage bich lazima lifanyiwe polination manually na lazima iwe asubuh sana, jua likitoka kama maua hayajafanyiwa pollination yanaanguka, inabidi usubiri mpaka mwaka mwingine, ni mtiti bwana mkubwa.... Nikipata time ntakuja kuwaeleza watu wajue namna ilivyo shughuli pevuUsisahau kumpiga kofi moja la kichwa ili kumuweka sawa ht kama n bimkubwa
Aisee ni nomaMdogo wangu sasa ndio alikuwa anataka kuweka 20 yule nampiga kofi, me nlikuwa sijui sasa kwenye stori na bimkubwa ndio akaniambia hiyo mipango nikawastopisha kwa lekcha moja matata sana.... Ujue vanilla tatizo lipo kwenye pollination mzee kila ua ili lioteshe kile kidude kama arage bich lazima lifanyiwe polination manually na lazima iwe asubuh sana, jua likitoka kama maua hayajafanyiwa pollination yanaanguka, inabidi usubiri mpaka mwaka mwingine, ni mtiti bwana mkubwa.... Nikipata time ntakuja kuwaeleza watu wajue namna ilivyo shughuli pevu