Nahitaji Epson printer na PC yake

Nahitaji Epson printer na PC yake

Frustration

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,180
Reaction score
4,173
Printer Iwe kwa multipurpose
Pc ya kawaida maana ni kwa mtumizi ya hiyo printer tu. Photocopy, printing na copying na scanning.
Brand: Epson
 
Ungetoa specification za hiyo printer pamoja na Laptop unayohitaji ila kwenye printer nunua yenye eco tank usinunue ink jet.
Laptop nenda na Hp au Lenovo kwa kazi ya stationery zinajitahidi kutoleta usumbufu..
 
Ungetoa specification za hiyo printer pamoja na Laptop unayohitaji ila kwenye printer nunua yenye eco tank usinunue ink jet.
Laptop nenda na Hp au Lenovo kwa kazi ya stationery zinajitahidi kutoleta usumbufu..
Kuhusu printer sina elimu nayo kubwa ila kuna mpiga picha aliniambia Epson ni nzuri kiuchumi wa kujibana kutokana na suala la wino. Nataka kwa kazi za ofisi ya kijiji tu
 
Kwa uzoefu wangu ningezipanga kwa kuanza na Dell, HP halafu Lenovo ya mwisho.
Mkuu nimeshauri kwa matumizi yake ya ofisi na budget yake pia kama atapata hp,Lenovo au hiyo dell sawa tu maana Tanzania zipo laptop nyingi anaweza akaingia huko na asitoke salama nimekumbuka kwa ambazo nazitumia ila kwa Laptop zipo zaidi ya hizi tulizotaja cheki incredible connections.co.za.
 
Ungetoa specification za hiyo printer pamoja na Laptop unayohitaji ila kwenye printer nunua yenye eco tank usinunue ink jet.
Laptop nenda na Hp au Lenovo kwa kazi ya stationery zinajitahidi kutoleta usumbufu..
Hivi eco tank unatakiwa uweke wino brand ipi? Nikiweka ink jet naona km inaleta miyeyusho
 
Mkuu nimeshauri kwa matumizi yake ya ofisi na budget yake pia kama atapata hp,Lenovo au hiyo dell sawa tu maana Tanzania zipo laptop nyingi anaweza akaingia huko na asitoke salama nimekumbuka kwa ambazo nazitumia ila kwa Laptop zipo zaidi ya hizi tulizotaja cheki incredible connections.co.za.
Incredible ni website?
 
Mkuu nimeshauri kwa matumizi yake ya ofisi na budget yake pia kama atapata hp,Lenovo au hiyo dell sawa tu maana Tanzania zipo laptop nyingi anaweza akaingia huko na asitoke salama nimekumbuka kwa ambazo nazitumia ila kwa Laptop zipo zaidi ya hizi tulizotaja cheki incredible connections.co.za.
Dah 😂
Umenichekesha ulivyosema akaingia na asitoke salama
 
Sio zile za zamani hizi za sasa hivi ni nzuri sana wanazo touch pia kwa matumizi ya ofisi ni nzuri.
Hiyo ya touch niliiona wauzaji walikuwa wanaisifia nikajua labda ni maneno ya wafanyabiashara tu ili wauze. Kwa muonekano ni nzuri hata bei yake ni rafiki tofauti na hp na dell. Sijui nichukue hiyo lenovo kwa matumizi binafsi
 
Hiyo ya touch niliiona wauzaji walikuwa wanaisifia nikajua labda ni maneno ya wafanyabiashara tu ili wauze. Kwa muonekano ni nzuri hata bei yake ni rafiki tofauti na hp na dell. Sijui nichukue hiyo lenovo kwa matumizi binafsi
Ni ngumu pia mimj ina mwaka nayo wa tatu wametumia ofisini sasa hivi anayo mtoto nae anairusha rusha tu wakati majina mengine makubwa zishaaga mashindano napotoa ushauri ni kitu nilichokitumia nakijua vizuri.
 
Hivi eco tank unatakiwa uweke wino brand ipi? Nikiweka ink jet naona km inaleta miyeyusho
Aina nyingi za wino watu wameenda kutengeneza China ndio shida hiyo mimi mara nyingi nabeba hapa SA ningekua Tz ningekutumia set yake ukiona zinafaa uwe unaagiza huku ntaangalia brand ntakujulisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom