Kaka nimesafiri nipo nchi za magharibi next month narudi TZ ntakutafuta.
Poa kaka kama uko whatsap basi tuwasiliane
Kaka nimesafiri nipo nchi za magharibi next month narudi TZ ntakutafuta.
Poa kaka kama uko whatsap basi tuwasiliane
Wakuu naomba niirudishe hii thread tena.
naomba mlio na experience mnisaidie info za vipi samaki aina ya sato na sangara wanapatikana kwa dar (kwa jumla) ili kuanza kuwauza kwa reja reja.
i mean mmiliki wa bucha hupata vipi samaki aina hiyo kwa ajili ya kuwauza?
mkuu King Kong III NA WADAU WENGINE PLEASE...
Ndibalema bado wahitaji supplier wa samaki?Wakuu naomba niirudishe hii thread tena.
naomba mlio na experience mnisaidie info za vipi samaki aina ya sato na sangara wanapatikana kwa dar (kwa jumla) ili kuanza kuwauza kwa reja reja.
i mean mmiliki wa bucha hupata vipi samaki aina hiyo kwa ajili ya kuwauza?
mkuu King Kong III NA WADAU WENGINE PLEASE...
King Kong III where are you?
Ni kweli ndugu yangu. kama unaweza kunisaidia kwa hilo ntakushukuru sana.Kama ndio tell me nikuunganishe na supplier
Ukishakamilisha hilo zoezi naomba uni'update ndugu ili tufanye biashara.Nipo kwenye mchakato wa kukodi mtumbwi/boat kuvulia samaki baada ya mda nitengeneze wangu well hela ya kutengeneza ninayo but nataka nikodi kwanza ili npate kujuq market zaidi so twaweza share
Ni kweli ndugu yangu. kama unaweza kunisaidia kwa hilo ntakushukuru sana.
Tafuta contact na mtu aliye mwanza anakua anakutumia kwa ndege kila siku.
ukishakamilisha hilo zoezi naomba uni'update ndugu ili tufanye biashara.
nimeshaipata na nimekujibu mkuu.Check pm mkuu
nimeshaipata na nimekujibu mkuu.
King Kong III where are you?
mkuu King Kong III, asante sana kwa mchanganuo wako...
hakika nikihitimu tu haka kadegree kangu najiajiri kabisa..