Biashara ya samaki

Habari zenu waungwana,

Nataka kuanza biashara ya duka la samaki aina ya sato na sangara toka mwanza.
Naomba ushauri kwa wenye uzoefu.

Asanteni
 
nina mtaji na nimeona fursa katika biashara ya kuleta samaki sato na sangara hapa dar, wenye uzoefu tafadhali msaada wa ushauri
 
hiv mkuu hiyo biashara inaitaji mtaji kama wakiasi gani cha kuanzia?
 
Kama unahitaji msaada, mi naweza kukuandikia business plan ya kufungua bucha. Business plan itakusaidia sana biashara yako iende kisomi zaidi.... ila itakuhitaji ugaramie kidogo maana itanichukua mda wa kufanyia utafiti mawazo utayonipa kuhusu hiyo biashara unayotaka kufanya. Kama utakua tayari ni PM, tufanye kazi.
 
Kwa mazingira ya sasa ni kati ya biashara zenye changamoto na hasa kama huna capital ya kutosha kuweza kununua ng'ombe wengi wakati wakiwa na bei ndogo kwa lengo la kuwachinja wakati wa kipindi cha Julai-Januari. Otherwise ni biashara nzuri na ukipata wafanyakazi wazuri. Uko mkoa gani?
 
MAMBO 3 UNAYOHITAJI KUFAHAMU KATIKA BIASHARA

Mkuu katika uanzishaji wa biashara kuna vitu vi3 vya msingi unatakiwa kuvijua au kuwa navyo
1. Capital
2. Market
3. Knowledge

Capital: Ya kuanzisha Bucha/Samaki unahitaji kuwa na Fremu ya kisasa yenye A/C,Mashine ya Kukata Nyama(Unaweza kununua sido) hapo Vifaa A/C+Mashine+Fremu(kodi 6months) unahitaji si chini ya 1.2m,Mtaji wa kilo 500 nyama sh 2.3m,mtaji wa samaki kilo 100,Sh 500,000/=,Deepfreezer kubwa 400,000/=,Stand za vyuma pamoja na Hooks 100,000/=,Grand Total~4.5m

Market: Inabidi butcher lako litageti soko la mama ntilie/wauza chips na makazi ya watu,mama ntilie ndio wanunuaji wakubwa wa nyama kwani wanapika Supu na pili mboga kwa wateja,wauza chips stake wanatengenezea mshikaki!

Knowledge: Mkuu hapa inabidi uwe unaamka saa 3 kwenda kufata nyama au uwe unaagiza kwenye vigari vile special kwa ajili ya kubebea nyama,saa kumi na 1 alfajiri uwe upo buchani unaanza kuuza,uhifadhi wa samaki na nyama inayolala unabidi uhuzingatie,Nyama kilo moja ni kuanzia 6000 hadi 7000 na samaki sato kilo 8000 hadi 9000 wakati sangala 7000 hadi 8000.

Kazi ni kwako mkuu.
 
Duh, King Kong ukiangalia sura yake hudhani kama ni Kichwa namna hii.

Maana sura imekaa kikabaji,ila maujuzi kama Proffessor.

Inabidi humu JF watu tuwe waungwana,kama kuna mtu anatoa mawazo kama hayo bila kukuambia njoo chamber sijui nikupe Bussiness plan au utapeli Plan lazima tuwafikirie.

Mtu kama Kingkiong na wengine wamekuwa wakitoa mawazo na uchambuzi wa hali ya juu sana na wakina mno,maana unaweza kukuta hata mtu anaefanya hiyo biashara hana Knowledge ya kutosha. Na hata yule ambae hana wazo la biashara hiyo unakuta mara ameibuka na kuchukua wazo jipya kutokana na uchambuzi mzuri.

Ningeomba basi wale wanaofanikiwa au kupata mawazo kwa watu waliosaida wao kufanikiwa basi ningeomba angalau Mtu uwakumbuke kwa namna moja au nyingine.Sio ukipata kimyaaa mambo yakiishaanza kwenda Mrama ndio unarudi tena kuomba ushauri, sio uungwana na mungu anakuona kwamba huna shukrani.

Mie kuna jamaa humu ameshuka mada ya Ujenzi wa Nyumba kwa Dar kwa budgey ya 15M, nasubiria nimalize nyumba nimuone,na mwingine ni wa Mradi wa Kuku, kuna jamaa alishuka humu utafikiria duniani kuku walianzia kwake. Na Pia nitamtafuta in private.

Big up Kingkong
 
Mkuu katika uanzishaji wa biashara kuna vitu vi3 vya msingi unatakiwa kuvijua au kuwa navyo
1.Capital
2.Market
3.Knowledge

•Capital ya kuanzisha Bucha/Samaki unahitaji kuwa na Fremu ya kisasa yenye A/C,Mashine ya Kukata Nyama(Unaweza kununua sido) hapo Vifaa A/C+Mashine+Fremu(kodi 6months) unahitaji si chini ya 1.2m,Mtaji wa kilo 500 nyama sh 2.3m,mtaji wa samaki kilo 100,Sh 500,000/=,Deepfreezer kubwa 400,000/=,Stand za vyuma pamoja na Hooks 100,000/=,Grand Total~4.5m
=========
=========
•Market,inabidi butcher lako litageti soko la mama ntilie/wauza chips na makazi ya watu,mama ntilie ndio wanunuaji wakubwa wa nyama kwani wanapika Supu na pili mboga kwa wateja,wauza chips stake wanatengenezea mshikaki!
=========
=========
•Knowledge,Mkuu hapa inabidi uwe unaamka saa 3 kwenda kufata nyama au uwe unaagiza kwenye vigari vile special kwa ajili ya kubebea nyama,saa kumi na 1 alfajiri uwe upo buchani unaanza kuuza,uhifadhi wa samaki na nyama inayolala unabidi uhuzingatie,Nyama kilo moja ni kuanzia 6000 hadi 7000 na samaki sato kilo 8000 hadi 9000 wakati sangala 7000 hadi 8000.

Kazi ni kwako mkuu.

Thanks mkuu kwa info
Namba gani ya kuwapata hao supplier wa nyama na samaki mkuu?
 
Kwa mazingira ya sasa ni kati ya biashara zenye changamoto na hasa kama huna capital ya kutosha kuweza kununua ng'ombe wengi wakati wakiwa na bei ndogo kwa lengo la kuwachinja wakati wa kipindi cha Julai-Januari. Otherwise ni biashara nzuri na ukipata wafanyakazi wazuri. Uko mkoa gani?
Nipo mbeya mkuu. Kwani inahitaji kinunua ng'ombe wengi?
 
Mkuu katika uanzishaji wa biashara kuna vitu vi3 vya msingi unatakiwa kuvijua au kuwa navyo
1.Capital
2.Market
3.Knowledge

•Capital ya kuanzisha Bucha/Samaki unahitaji kuwa na Fremu ya kisasa yenye A/C,Mashine ya Kukata Nyama(Unaweza kununua sido) hapo Vifaa A/C+Mashine+Fremu(kodi 6months) unahitaji si chini ya 1.2m,Mtaji wa kilo 500 nyama sh 2.3m,mtaji wa samaki kilo 100,Sh 500,000/=,Deepfreezer kubwa 400,000/=,Stand za vyuma pamoja na Hooks 100,000/=,Grand Total~4.5m
=========
=========
•Market,inabidi butcher lako litageti soko la mama ntilie/wauza chips na makazi ya watu,mama ntilie ndio wanunuaji wakubwa wa nyama kwani wanapika Supu na pili mboga kwa wateja,wauza chips stake wanatengenezea mshikaki!
=========
=========
•Knowledge,Mkuu hapa inabidi uwe unaamka saa 3 kwenda kufata nyama au uwe unaagiza kwenye vigari vile special kwa ajili ya kubebea nyama,saa kumi na 1 alfajiri uwe upo buchani unaanza kuuza,uhifadhi wa samaki na nyama inayolala unabidi uhuzingatie,Nyama kilo moja ni kuanzia 6000 hadi 7000 na samaki sato kilo 8000 hadi 9000 wakati sangala 7000 hadi 8000.

Kazi ni kwako mkuu.

Nimekupata mkuu. ASANTE SANA KWA MCHANGO WAKO.
 
Duh,King Kong ukiangalia sura yake hudhani kama ni Kichwa namna hii.
Maana sura imekaa kikabaji,ila maujuzi kama Proffessor.

Inabidi humu JF watu tuwe waungwana,kama kuna mtu anatoa mawazo kama hayo bila kukuambia njoo chamber sijui nikupe Bussiness plan au utapeli Plan lazima tuwafikirie.

Mtu kama Kingkiong na wengine wamekuwa wakitoa mawazo na uchambuzi wa hali ya juu sana na wakina mno,maana unaweza kukuta hata mtu anaefanya hiyo biashara hana Knowledge ya kutosha.Na hata yule ambae hana wazo la biashara hiyo unakuta mara ameibuka na kuchukua wazo jipya kutokana na uchambuzi mzuri.

Ningeomba basi wale wanaofanikiwa au kupata mawazo kwa watu waliosaida wao kufanikiwa basi ningeomba angalau Mtu uwakumbuke kwa namna moja au nyingine.Sio ukipata kimyaaa mambo yakiishaanza kwenda Mrama ndio unarudi tena kuomba ushauri,sio uungwana na mungu anakuona kwamba huna shukrani.

Mie kuna jamaa humu ameshuka mada ya Ujenzi wa Nyumba kwa Dar kwa budgey ya 15M,nasubiria nimalize nyumba nimuone,na mwingine ni wa Mradi wa Kuku,kuna jamaa alishuka humu utafikiria duniani kuku walianzia kwake.Na Pia nitamtafuta in private.

Big up Kingkong

Imenena ukweli mkuu
 
Mkuu katika uanzishaji wa biashara kuna vitu vi3 vya msingi unatakiwa kuvijua au kuwa navyo
1.Capital
2.Market
3.Knowledge

•Capital ya kuanzisha Bucha/Samaki unahitaji kuwa na Fremu ya kisasa yenye A/C,Mashine ya Kukata Nyama(Unaweza kununua sido) hapo Vifaa A/C+Mashine+Fremu(kodi 6months) unahitaji si chini ya 1.2m,Mtaji wa kilo 500 nyama sh 2.3m,mtaji wa samaki kilo 100,Sh 500,000/=,Deepfreezer kubwa 400,000/=,Stand za vyuma pamoja na Hooks 100,000/=,Grand Total~4.5m
=========
=========
•Market,inabidi butcher lako litageti soko la mama ntilie/wauza chips na makazi ya watu,mama ntilie ndio wanunuaji wakubwa wa nyama kwani wanapika Supu na pili mboga kwa wateja,wauza chips stake wanatengenezea mshikaki!
=========
=========
•Knowledge,Mkuu hapa inabidi uwe unaamka saa 3 kwenda kufata nyama au uwe unaagiza kwenye vigari vile special kwa ajili ya kubebea nyama,saa kumi na 1 alfajiri uwe upo buchani unaanza kuuza,uhifadhi wa samaki na nyama inayolala unabidi uhuzingatie,Nyama kilo moja ni kuanzia 6000 hadi 7000 na samaki sato kilo 8000 hadi 9000 wakati sangala 7000 hadi 8000.

Kazi ni kwako mkuu.

Pamoja na maelezo mhimu ya King, na kwakuwa nipo kwenye mchakato wa kuanzisha hii biashara naomba niongezee kidogo. Mimi nategemea kuifanya katika kwa kiwango cha kati na hivyo wateja wangu wakuu nitategemea mahotel na watu wa kipato cha kati na siyo mama lishe. Mambo makuu ninayoyafikiria ni haya
  • Jina la kampuni linalofanana fanana na chakula-nitakuwa na matawi mikoa mitatu (Dodoma, Arusha, Dar)
  • Location ya biashara-nafikiria iwe kwenye junction kama mwenge kwa Dar
  • Means of Transportation-Nitakuwa na gari kubwa ya freezer kwaajiri ya kusafirishia kutoka Lake zone na kupeleka Arusha, Dar then Dodoma kabla haijageuza kurudi Lake Zone.
  • Nitakuwa na Gari ndogo kila centre kwaajili ya kusambaza kwa wateja wa kudumu kama wenye hotel na mashule.n.k
  • Nitakuwa na Deep freezer kwa kila kituo.
  • Nitakuwa na standby Generator kukabiliana na changamoto za TANESCO kwa kila kituo
  • Nitatengeneza machinjio ya kisasa-hii ni plan ya baadae baada ya kupata shamba la kutunzia mifugo
  • Nitakuwa na shamba la mifugo ambayo ndiyo malighafi yangu
  • Nitakuwa na kituo cha kukusanyia samaki hapo Mwanza-Natafuta mtaalam wa kutengeneza Coldroom
  • Bidhaa nitakazoanza nazo ni-Nyama ya Ng'ombe, Mbuzi, Kondoo. Kuku wa kisasa na kienyeji, Samaki aina ya Sato na Sangara, Lakini pia nitakuja na mchele kwa Arusha na Dodoma......tayari nina 100bags za kuanzia na nipo nafunga mshine ya kisasa ya kukoboa na kubangua mchele na kufunga 5, 10. 15, 20kg
  • Project to start in June 2014.

Tafadhali mawazo yenu. Nipo tayari kulipa gharama za Busness Plan ila kwa mtu mwenye input ya maana.
 
Mkuu katika uanzishaji wa biashara kuna vitu vi3 vya msingi unatakiwa kuvijua au kuwa navyo
1.Capital
2.Market
3.Knowledge

•Capital ya kuanzisha Bucha/Samaki unahitaji kuwa na Fremu ya kisasa yenye A/C,Mashine ya Kukata Nyama(Unaweza kununua sido) hapo Vifaa A/C+Mashine+Fremu(kodi 6months) unahitaji si chini ya 1.2m,Mtaji wa kilo 500 nyama sh 2.3m,mtaji wa samaki kilo 100,Sh 500,000/=,Deepfreezer kubwa 400,000/=,Stand za vyuma pamoja na Hooks 100,000/=,Grand Total~4.5m
=========
=========
•Market,inabidi butcher lako litageti soko la mama ntilie/wauza chips na makazi ya watu,mama ntilie ndio wanunuaji wakubwa wa nyama kwani wanapika Supu na pili mboga kwa wateja,wauza chips stake wanatengenezea mshikaki!
=========
=========
•Knowledge,Mkuu hapa inabidi uwe unaamka saa 3 kwenda kufata nyama au uwe unaagiza kwenye vigari vile special kwa ajili ya kubebea nyama,saa kumi na 1 alfajiri uwe upo buchani unaanza kuuza,uhifadhi wa samaki na nyama inayolala unabidi uhuzingatie,Nyama kilo moja ni kuanzia 6000 hadi 7000 na samaki sato kilo 8000 hadi 9000 wakati sangala 7000 hadi 8000.

Kazi ni kwako mkuu.

This is among the best mchanganuo. King naomba uni pm namba yako nikutafute boss
 
Back
Top Bottom