Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 11,626
- 22,004
Mkuu unataka uzame kwenye ugamer 😂TV utatumia ya chogo au?
Mkuu unataka uzame kwenye ugamer 😂TV utatumia ya chogo au?
Mzee wa lidandasi akazima ndoto zako 😃,ps 2 ndio mambo ya flash lakini ps 3 na 4 ni mambo ya kuchip tu,ila kwa nyakati ps 2 imepitwa na wakati lakini si mbaya kuwa nayo sababu kuna wengine hawana uwezo wa kutoa jero kwa ps 3 na 4 so wanaweza kucheza ps 2 sbb bei yake ni chini ya 500Nishaifanyaga hii buzne long time.nilikua na ps2 tatu tu. Weekday nilikua naletewa 10,000 to 15,000. Weekend naletewaga 35,000 to 46,000. Changamoto ni pads watoto wanazivunja hasa game la baiskeli, god hand.
Ukiwa na hasira waweza mpiga mtoto kwenzi jinsi wanavyoharibu padi mbele yako. pads nzuri za mtumba zinauzwa kariakoo round about unaelekea mtaa wa kongo kidogo kushoto kuna chimbo la mambo ya ps.kuibiwa flash ni kawaida sana.
Nilikuja kuacha baada ya mzee mmoja alistaafu akachukua hela ya lidandasi akafungua ps kubwa mativii kibaao madogo wakanikimbia. Nikafunga nikauza ps zote kwa bei ya hasara.
Kariakoo cd za kucopy wanauza laki na 80,playstation store kama laki na nusu hivi,I suggest bora ufungue akaunti ps store kwanza ukiwa TZ unalipia hata kwa tigo pesaKuna watu wako serious, tayari wanao mzigo wa FIFA22 vibandani
Nimeanza biashara jana na nnayo teyar fifa 22 na pes 22..Kuna watu wako serious, tayari wanao mzigo wa FIFA22 vibandani
I mie nna akaunt ya psn...so nimenunua kwenye psn store ..nkadownloadKariakoo cd za kucopy wanauza laki na 80,playstation store kama laki na nusu hivi,I suggest bora ufungue akaunti ps store kwanza ukiwa TZ unalipia hata kwa tigo pesa
View attachment 1963489
Za ps4 najua kuzitofautisha ni rahisi sana...ila kwa kwa ps 3 kazi kweli kweliWakuu kuna tofauti gani kati ya padi za mtumba na za duka za PS3 na PS2 kimuonekano maana kuna jamaa anadai ni padi za mtumba za ps3 anauza 15,000 na mwingine anauza 35,000
Kama kunatofauti ya kimuonekano weka picha ili nisipigwe wakati wa kununua nina wasiwasi nisije nikauziwa pad ya duka iliyotumika kwa bei ya 35k
Ukidownload unaweza kutoa copy au kuwauzia waliochip ps zao?M
I mie nna akaunt ya psn...so nimenunua kwenye psn store ..nkadownload
Nkidownload naweza kuwawekea wengine kwa bei nafuu ili wasinunue cd kwa laki 2Ukidownload unaweza kutoa copy au kuwauzia waliochip ps zao?
Biashara vipi inatoka mkuuNimeanza biashara jana na nnayo teyar fifa 22 na pes 22..
Wale wanaouza za kuchip wanachukulia hukoNkidownload naweza kuwawekea wengine kwa bei nafuu ili wasinunue cd kwa laki 2
Yeah..nimeanza na wateja watano siku ya kwanza...just imagine..halafu ni uswaz vitoto kama vyote...nataka ikikaribia likizo niwaongezee ps 4 na tv kubwa ya inch 43 maana najua watajaa balaaBiashara vipi inatoka mkuu
Fifa 22 nimenunua kutoka psn store kwa laki na nusu..nkatumia bando la 20k kudownload...pes 22 nimeikuta kwenye ps 3 ishawekwa ila wateja wakitaka pes 22 kwa ps 4 ntawawekea maana ni free kudownload...padi og za mtumba nimenunua kwa laki na 60 padi mbili..nataka nione zitakaa sana kuliko za mchina au lah maana za mchina ni 50k ila watakuanzia 70k au 80kFifa 22 na pes 22 unaipata kwa bei gani?, vipi kuhusu bei ya pad za ps4??
Kuna jamaa alidai humu alijaribu kufungua acc ps store lakini kwenye orodha ya nchi Tanzania hakuiona, hii kitu ni kweli?Fifa 22 nimenunua kutoka psn store kwa laki na nusu..nkatumia bando la 20k kudownload...pes 22 nimeikuta kwenye ps 3 ishawekwa ila wateja wakitaka pes 22 kwa ps 4 ntawawekea maana ni free kudownload...padi og za mtumba nimenunua kwa laki na 60 padi mbili..nataka nione zitakaa sana kuliko za mchina au lah maana za mchina ni 50k ila watakuanzia 70k au 80k
Hawachukulii psn store maana ukichip huwez kuingia online...wana sehemu zao za kupata hizo game..kuna websites wanadownload kwa torrentWale wanaouza za kuchip wanachukulia huko
Kweli..Ps hawajui kama kuna nchi inaitwa Tanzania...watz weng wanafungua akaunt kwa kutumia nchi kama South Afrika n.k ila kwa mie for the sake of having access to services ambazo ni exclusive to 18 countries...nimeopen akaunt ya psn ya Marekan, UK na CanadaKuna jamaa alidai humu alijaribu kufungua acc ps store lakini kwenye orodha ya nchi Tanzania akuiona,hii kitu ni kweli?