Wakati naanza nilikua napata kuanzia 20K - 30K. Nikawa kama nimewashtua wadau so sasa hivi kuna sehemu nne zingine za play station. Now faida ni 10K mpaka 20K+ 30K imekua nadra.Kaka Castr ninamaswali mawili kutokana na uzoefu wako......je faida kwa siku inarange ngapi kwa kijiwe chako?
vipi kwa mtu anaeanza na playstation 2, utamshauri achukue ps3 mbili au achukue ps 4 moja na ps 3 moja..?
Je ukilingamisha na biashara ambazo umewahi kufanya je unaona kuchezesha Play stations ni bora? .
Kaka shukrani sana kwa kutoa taarifa bila kuyumbisha.....ofcouse mwaka huu natamani niwe na biashara nje ya kazi nione nilijaribu mtumba hela ikawa kubwa ila changamoto ya location ikanitoa.....Wakati naanza nilikua napata kuanzia 20K - 30K. Nikawa kama nimewashtua wadau so sasa hivi kuna sehemu nne zingine za play station. Now faida ni 10K mpaka 20K+ 30K imekua nadra.
Kulingana na ushindani na eneo ulilopo inawezekana ikawa bora uwe na 3 au 4. Mfano kuna eneo nilienda nilikuta wanachezesha PES 21 & FIFA 21 (PS 4) mechi moja 800 mechi tatu 2000. Wakati nilipo mechi moja kwenye 4 ni 500 na 3 ni 500. Ingawa naona ni bora ukawa na 3 na 4 kwa pamoja.
Biashara nilizofanya with hands on experience ni kuburn cd (muziki na seasons: library) na uboda boda. Katika hizi biashara tatu, kuburn CD kunaweza kukupa pesa kuliko PS kwakua kwa nilipo mimi PS inatakiwa ufungue saa 10 ili kuendana na muda wanafunzi wanakua wamerudi.
Ukijumlisha na competition iliyopo library inatoa pesa easily.
Yea ukiwa mwenyewe ni sawa zaidi ama sivyo uweke kiwango ambacho unaona kitakufaa uwe unapewa na uliyemuacha.Kaka shukrani sana kwa kutoa taarifa bila kuyumbisha.....ofcouse mwaka huu natamani niwe na biashara nje ya kazi nione nilijaribu mtumba hela ikawa kubwa ila changamoto ya location ikanitoa.....
Nitanunua ps 3 moja na 4 nione uelekeo ea biashara kabla sijaongeza
Na hii biashara ukiwa mwenyewe katika eneo hilo utapata sana pesa. Maana haugawani wateja
650k hadi 750k.Wakuu pes4 ni bei gan nataka kujaribu hii biashara
Ni mpya kwa bei hiyo au used?!650k hadi 750k.
750k inakuwa imechipiwa.
Anza na ps2 moja, ps3 na ps4 moja.Kaka Castr ninamaswali mawili kutokana na uzoefu wako......je faida kwa siku inarange ngapi kwa kijiwe chako?
vipi kwa mtu anaeanza na playstation 2, utamshauri achukue ps3 mbili au achukue ps 4 moja na ps 3 moja..?
Je ukilingamisha na biashara ambazo umewahi kufanya je unaona kuchezesha Play stations ni bora? .
Endelea kuamini ivyo ivyoHii haina tofauti na ile ya kilimo cha matikiti maji kwamba baada ya miezi mitatu unakuwa milionea ila nenda field sasa utatupa mrejesho
Njoo PM mkuu ikibidi nitakupeleka na field kabisa uoneNiliwahi kufikiria kuwekeza 2.6mil kwenye hii biashara wakuu... lakini sina uzoefu nayo wala taarifa sahihi inalipa vipi...ningependa siku moja nimpate mtu anayeifanya au aliyewahi kuifanya anipe muongozo... Asante
PS 4 mbili na kodi na Tv na ps 3 hiyo hela haitoshi labda uanze na PS4 mojaNiliwahi kufikiria kuwekeza 2.6mil (je itatosha)kwenye hii biashara wakuu... lakini sina uzoefu nayo wala taarifa sahihi inalipa vipi...ningependa siku moja nimpate mtu anayeifanya au aliyewahi kuifanya anipe muongozo... Asante
2.6 mil hii ni kwa kodi, ps4 mbili ps3 moja, tv flat 3, viti na n.k
Mkuu nakushauri chukua 4 MBILI ps 3 haina wapenzi kabisa kabisa sikuizi hata watoto hawaicheziKaka shukrani sana kwa kutoa taarifa bila kuyumbisha.....ofcouse mwaka huu natamani niwe na biashara nje ya kazi nione nilijaribu mtumba hela ikawa kubwa ila changamoto ya location ikanitoa.....
Nitanunua ps 3 moja na 4 nione uelekeo ea biashara kabla sijaongeza
Na hii biashara ukiwa mwenyewe katika eneo hilo utapata sana pesa. Maana haugawani wateja
Unapatikana Dar? Me nipo DarNjoo PM mkuu ikibidi nitakupeleka na field kabisa uone
Nipo Dar mkuu kama unahitaji ABC hadi location nzuri ninaweza kukusaidia mawazo.Unapatikana Dar? Me nipo Dar
Shukrani kwa ushirikiano na mawazo Mkuu..Nipo dar mkuu kama unahitaji ABC hadi location nzuri ninaweza kukusaidia mawazo
Asante mkuu na vipi changamoto zakeMkuu hiyo ni moja ya biashara nzuri sana ukipata location nzuri hasa iwe karibu na chuoni au location yeyote nzuri mtaji Tafuta almost 4 millions kama unataka kuanza na playstation 4 mbili na Tv flats 2 hapo utakuwa umeula sikushauri ununue ps 3 hazina soko mkuu zitakudodea
Changamoto hapo pad kuharibika ili sio changamoto sana iyo mkuu, Faida ipo kutokana na location ps 4 mechi moja ya dakika 5 half kipindi ni 500 kwa lisaa lisaa limoja Elfu 3 ukipata location nzuri per day kwa ps 4 moja hukosi Maximam Elfu 15 japo inaweza kuzidi ila iyo ni Maximam.
Ni moja ya biashara ya games haichuji bei zake ps 4 moja used 650 unapata complete pad 2 na games ndani yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo PMasante mkuu
na vipi changamoto zake