holygrail
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 1,303
- 592
Ushauri wangu chukua ps4 moja na ps3 moja. Na tv 2 za inch 32.Mkuu sitatumia ps 4, nitatumia ps 3 2 na tv inch 32, 2.....hiyo kwa bei ya laki 3 vyote ni mil 1 laki 2.....laki 150 padi za akiba laki 150 kodi miezi 3....
nitachezesha mechi 2 za dakika 10 kwa 500.....
kwa mwanzo wa hii hiashara ni heri ps3, ili ujifunze biashara inaendaje na changamoto za machine na pad na wateja wako unawasoma....maana PS4 padi zake zinafika hadi 100 sasa ukipata changamoto ya pad kama hujajipanga unaona hailipi
Gamers wengi wanapenda fifa 20 na kuendelea ambayo haipo kwenye ps3. Utakosa wateja wa fifa wengi.