Biashara ya kuuza na kununua unga majani ya Mlonge

Biashara ya kuuza na kununua unga majani ya Mlonge

Subria msimu wake,sasa iv ni Maua tuh.uku kwetu IPO tele,yan uchafu tuh.
 
Nenda sokoni kariakoo zipo tele kwenye maduka ya kilimo na mbegu
 
240 quail eggs + 60 Moringa oleifera (Mlonge) capsules for Natural Man/Woman libido builder request your order today +255785738738.
 
Hii post ngumu sana,maana nimetoka kapa
 
Mwenye kuuza mbegu za mlonge kwa jumla kilo 50 na kuendelea . Nipigie kwenye 0757422080
 
Mimi ninahitaji. Kwanzia kilo 20. Bei ilekezi tsh 2000/kilo. Piga 0757422080
 
Nauza mbegu za mlonge kwa anaye hitaji. Bei tsh. 11,000/ nina 1000kg sawa na tan moja. Mzigo upo Kariakoo. Tuwasiliane kwa no. 0773 944 944
 
Nanunua mbegu za Mlonge kilo Tsh. 2500/=, Nipo Dar es salaam na ukiwa na mzigo mkubwa kama tani na kuendelea nitakufata ulipo.Kwa mawasiliano zaidi piga 0657257509.
 
Hapa Morogoro Mbegu Nyingi Tatizo Ni Kuwa Napita Tu Hapa.
 
Back
Top Bottom