Gamariel
Member
- Sep 8, 2009
- 82
- 6
Ndugu wana JF mwaka 2014 ndio umeshaanza hivyo na Kama vijana tunaanza kusaka fursa.
Nataka kujua kama kuna mtu anaifahamu biashara ya mlonge mti unaosifika kwa mengi.
Je unapatikana wapi Kwa wingi?
Je process ya kukausha majani yake ipoje?
Vipi kuhusu masoko yake ndani na nje ya nchi?
Je taratibu za kusafirisha mbegu au majani yaliyokaushwa ya mlonge nje ya nchi ni ipi?
Kama kuna anaejua faida na hasara ya kufanya biashara hii tujuzane.
Information is power lets share.
Nataka kujua kama kuna mtu anaifahamu biashara ya mlonge mti unaosifika kwa mengi.
Je unapatikana wapi Kwa wingi?
Je process ya kukausha majani yake ipoje?
Vipi kuhusu masoko yake ndani na nje ya nchi?
Je taratibu za kusafirisha mbegu au majani yaliyokaushwa ya mlonge nje ya nchi ni ipi?
Kama kuna anaejua faida na hasara ya kufanya biashara hii tujuzane.
Information is power lets share.