Ndugu wanajukwaa kwa yeyote anayehitaji mazao yatokanayo na mti wa mlonge,anaweza kunicheki PM.Nipo kahama,bei ni mbegu za mlonge500gm kwa Tshs.2000/: majani mlonge yaliyosagwa 1kg Tshs5000 kwa wanaohitaji mzigo mwingi punguzo lipo karibuni
zinahitajika kgs ngapi?Mbegu za Mlonge zinahitajika,kg 1 Tsh.1500 kama unazo wasiliana na ndugu mwenye no 0719628609.
1000kg.zinahitajika kgs ngapi?
huo wa kusaga tupe umeandaaje? je unaweza kusupply kg ngapi kwa wiki?