Namunua mbegu za mlonge kiasi chochote kile bei 10000tsh kwa kilo
Huyu mjamaa kwa jina anaonekana ni mdosi tu, tena wale waliopiga bandarini ma contena...
Kaka nipo dar unao kiasi gani!Unapatikana wapi?
Mh!!! Hii ni fursa nyingine! Ni endelevu nirudi kijiji???