Kama unaipenda, fanya. hakuna chuo cha uzoefu bali unakuja kutokana na kufanya kazi. kujifunza ni muhimu kwa kila hatua. tafuta taarifa za masoko mara kwa mara/kila siku. kujikwaa na kuanguka kupo but taarifa sahihi zitakuokoaNatamanani sana kufanya hii biashara ...mtaji ninao ila uzoefu sina
Ninataka nitoe mikoani nije niuze dar
Mkuu biashara ya mpunga ni nzuri ukiifanyia timing!
Mimi nina nunua mpunga napiga stoo!
Halafu mwezi dec - March unaukoboa unauza mchele faida x150%!
kwa kukushauri nunua mchele na c mpunga ili pesa izunguke.Kwa gunia moja,garama ya kununua hadi kusafirisha kwa mfano kati ya mbeya na dar ni kati ya 135000 hadi 14000.Ukiuza unauza kati ya 160000 hadi 180000.Kwa kila gunia kuna faida kati ya 20,000 hadi 40,000.kwa hela yako unapata gunia 37 na unauza kwa jumla jumla ndani ya siku 3-5.Je,kwa mwezi utauza mara ngapi ?
habar ndugu wa JF mm nimuajiliwa nahtaj msaada wenu wa mawazo kuhusu biashara hii ya mpunga nimekopa 4m katika taasisi ya fedha ili niweze kufanya biashara hii malengo yangu kununua gunia za mpunga 100 kwa bei ya elfu 40 katika bonde la mpimbwe maarufu kwa kilimo hcho.kisha kuyauza mazao mwezi okt novemba au dec ambapo soko lake huwa zur sna kwa uzoefu nilionao kwa bei ambzo hupanda nakufikia gunia 1 tsh 60-75 bei hii ilikuwepo msimu wa mwaka jana licha ya zao hli kupatikana kwa wingi msimu uliopita tofaut kbsa na msimu huu mpunga haupatkan kwa wingi.
Ombi langu kwa wadau wa jukwaa hili naomba nisaidiwe mbinu mawazo kwa wote wafanyabiashara na wasio wafanyabiashara waliowahi kufanya biashara kma hii changamoto na nini cha kufanya ili niweze kufikia malengo yangu nawasilisha msaada wako unahitajika sana.
Mtaji ninaoweza kupata hauzidi 1,000,000/=,by the way nnachotaka ni kujua hii biashara inaendeshwa vp angalau kwa muhtasar.Huja sema mtaji ulio nao!
Pia fupisha Maelezo , jikite Kwenye point wengine hawawezi kusoma maelezo malefu
Mkuu,mtaji ninaoweza kupata hauzidi 1,000,000/=,by the way nnachotaka ni kujua hii biashara inaendeshwa vp angalau kwa muhtasar.
Ooh ingebidi awe na kiasi gani asante mkuu.Mkuu,
Kabla sijatoa ushauri wangu kwako kwanza nianze kwa kukupongeza kwa WAZO ulilolipata.
Lakini pia kwa maswali ulioainisha hapo juu, kwa mtu aliyemakini tayari una majibu kwa maswali yote maana umesema tayari una jamaa zako wa karibu wanaofanya biashara hiyo na tayari wameonyesha nia ya kukubeba yaani wapo tayari kukuonyesha njia. Nitashangaa sana kwa mtu ambaye tayari anafanya biashara hiyo then hawezi kukupa majibu ya maswali uliyouliza hapo juu.
USHAURI: Mtaji ulonao ni Pesa sawa lakini kwa biashara ya mazao hiyo haitoshi na kwakuwa unayo hiyo tu nikisema nikutajie kiasi ambacho unaweza kuanza nacho na ukajisikia inafanya kazi nitakuwa kama nakukatisha tamaa hivi.
Sasa basi huo mtaji ulonao (1mil) itakulazimu ujiunge na mmoja wa hao jamaa zako ulowataja ili akubebe tu hapa nina maana kwamba mwende naye huko vijijini ambapo yeye anapata mzigo mnunue kwa maana kwamba atajulikana kwa wauzaji kuwa anayenunua ni yeye (mwenyeji wao) kumbe ndani ya mzigo kuna vigunia vyako 4-5, mkija kwenye masoko anapouza huyo jamaa yako mwachie auze yeye na baadaye anakutolea pesa yako, hapo utaona mtaji na faida yako.
Ninakupa wazo hili kutokana na ufinyu wa mtaji wako.
Kwa kufanya hivyo, utakuwa unatunisha mtaji wako, lakini pia utakuwa unapata uzoefu ktk Kazi hiyo.
Baada ya muda mtaji wako utakuwa umeongezeka, lakini pia utakuwa mzoefu ili baadaye uweze kupeperuka kwa mbawa zako.
Mkuu,Ooh ingebidi awe na kiasi gani asante mkuu
Mkuu,nina mtaji fulani yaani hapa ninawaza cha kufanya my ig problem is time kazi inanibana sawaza nitafanyaje nahisi umasikini utaniandama milele lolz
Ninao uzoefu Kwenye mchele ambao kwa kawaida faida huwa ni sh 100-200 sometimes huwa hata pungufu ya hiyo @ 1kgmtaji ninaoweza kupata hauzidi 1,000,000/=,by the way nnachotaka ni kujua hii biashara inaendeshwa vp angalau kwa muhtasar.
Shukran kwa mchango mkuu, hyo sio mbaya kwa faida.na kesho ntaenda kuongea na jamaa yangu anayefanya biashara ya mpunga/mchele.N
Ninao uzoefu Kwenye mchele ambao kwa kawaida faida huwa ni sh 100-200 sometimes huwa hata pungufu ya hiyo @ 1kg
Kwahiyo hela unaweza nunua 900 au 800 .