Adolph Jr
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 5,560
- 8,638
Ni muda tena.
Katika tafuta tafuta zake akaje kunicheki na kuniomba ushauri kuhusiana na duka kiujumla duka la vyakula kama muitavyo nafaka.
Maswali aliyouliza. Je, kuanzisha biashara ya kuuza unga, mchele, mafuta, maharage nk inahitaji awe na nini (Vibari gani kisheria)
Anamaanisha je anahitaji service levy, leseni ya biashara, TRA au kuona viongozi gani ili kufungua duka?
Nawasilisha, mimi sifahamu.
Katika tafuta tafuta zake akaje kunicheki na kuniomba ushauri kuhusiana na duka kiujumla duka la vyakula kama muitavyo nafaka.
Maswali aliyouliza. Je, kuanzisha biashara ya kuuza unga, mchele, mafuta, maharage nk inahitaji awe na nini (Vibari gani kisheria)
Anamaanisha je anahitaji service levy, leseni ya biashara, TRA au kuona viongozi gani ili kufungua duka?
Nawasilisha, mimi sifahamu.