Natafuta masoko ya Nafaka mikoani

guzman_

JF-Expert Member
Jan 27, 2016
1,255
2,073
Wakuu habari.

Katika kujiongeza nataka nianze biashara ya kununua nafaka hasa mahindi, mpunga na maharage na kuja kuuza kwa jumla Dar. Naombeni mwongozo kwa anayejua masoko makubwa nayo weza nunua mzigo mkubwa kwa mara moja. NB naona kwenda moja kwa moja kwa wakulima itanichukua muda kwa hiyo ningependelea masoko yale naweza kwenda nunua tani kazaa na kusafirisha

Mfano:
Dodoma - Kibaigwa

Ningependelea mikoa ya kusini na kati mfano Ruvuma, Njombe, Mbeya, Iringa, Rukwa, Dodoma, hata Tabora au Shinyanga.
 
Wakuu habari.

Katika kujiongeza nataka nianze biashara ya kununua nafaka hasa mahindi, mpunga na maharage na kuja kuuza kwa jumla Dar. Naombeni mwongozo kwa anayejua masoko makubwa nayo weza nunua mzigo mkubwa kwa mara moja. NB naona kwenda moja kwa moja kwa wakulima itanichukua muda kwa hiyo ningependelea masoko yale naweza kwenda nunua tani kazaa na kusafirisha

Mfano:
Dodoma - Kibaigwa

Ningependelea mikoa ya kusini na kati mfano Ruvuma, Njombe, Mbeya, Iringa, Rukwa, Dodoma, hata Tabora au Shinyanga.
Mpunga njoo Mwanza Nina tani 5 za mpunga mpya.
 
Hii lazima uwe na dalali wa kukukusanyia mzigo, huwez pata mzigo mkubwa direct toka kwa mkulima.
 
Wakuu habari.

Katika kujiongeza nataka nianze biashara ya kununua nafaka hasa mahindi, mpunga na maharage na kuja kuuza kwa jumla Dar. Naombeni mwongozo kwa anayejua masoko makubwa nayo weza nunua mzigo mkubwa kwa mara moja. NB naona kwenda moja kwa moja kwa wakulima itanichukua muda kwa hiyo ningependelea masoko yale naweza kwenda nunua tani kazaa na kusafirisha

Mfano:
Dodoma - Kibaigwa

Ningependelea mikoa ya kusini na kati mfano Ruvuma, Njombe, Mbeya, Iringa, Rukwa, Dodoma, hata Tabora au Shinyanga.
Nipatie namba yako mdau hapa mahindi 50000 junia
 
Back
Top Bottom