nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 10,690
- 9,871
Naam ulizaNahitaji kujua kwa aliyewahi kufanya biashara kuchukua mazao kijijini huko na kuleta mjini na gharama zake pia na usafiri na kuja kuuza bei ya jumla na mazao yenyewe kama nyanya,karoti,vitunguu saum au maji n.k.
Na biashara ya nafaka kama mchele, maharage, mahindi, ulezi, mtama, ngano
Unataka kufanya?
Au kujaribu?
Kufanya=mali mbichi
Kujaribu=nafaka