Beware: Tapeli Tapeli

Beware: Tapeli Tapeli

Nakadori

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
8,779
Reaction score
21,048
Anaitwa Eneza Kitilya
Alisoma hedaru, galanosi na Russia
Anapendelea kukaa mabibo, makongo, mlimani city na alionekana mbeya.
Alienda maSomoni Russia ila huenda hakumaliza kwa sababu za uzembe na starehe.
Jamaa amekuwa tapeli, mwizi na jambazi kubwa hapa tanzania hasa hasa dar.
Kwa wanaume anawaingia na gia ya kuwakopa, kwamba ni daktari au yuko intern muhimbili. Anatoa sababu yoyote ili apatiwe fedha. Ukimpa hutamuona tena. Amewaliza watu wengi ninaowajua na wakati mwingine kuwafanyia unyang'anyi.
kwa wanawake anatumia gia ya ndoa ili kuwaingia kirahisi (alishajiandaa kuniibia alinivika Pete fake ila kwa bahati nzuri hela yangu huwa haitoki kirahisi Hivyo hakuniibia hadi pale nilipotahadharishwa na rafiki aliyetapeliwa naye).

Imagine alimuibia hadi rafiki yake. Aliiba documents za safari akadai hatazitoa hadi rafiki yake amlipe hela. Huyu aliyetapeliwa passport aliambiwa atoe laki 2 ndipo apewe documents zake bila kujali kwamba ni rafiki yake wa karibu.

Inapoelekea amefikia level za ujambazi kwa maana hana kazi ya kufanya hivyo unyang'anyi na utapeli ndio kazi yake.

Tumuombee pepo lililompata limtoke maana alikuwa bright sana shuleni. Ameharibikia huko Russia alipoenda.
Swali la kizushi: hivi Russia kuna tatizo gani maana wengi wanaoenda kusoma huko wakirudi wanakuwa frustrated, alosto na Tabia nyingi mbaya? hebu mfunguke tusije mhukumu jamaa kumbe mfumo ndio ulimharibu.
 

Attachments

  • 1456769043658.jpg
    1456769043658.jpg
    65.5 KB · Views: 80
  • 1456769056425.jpg
    1456769056425.jpg
    67.6 KB · Views: 100
Ni huyu hapa
 

Attachments

  • 1456769995033.jpg
    1456769995033.jpg
    65.5 KB · Views: 69
Asee picha hazifunguki hapa, tulione hilo tapeli!
 
nimeziweka kwa mara ya 3
 

Attachments

  • kitilya 2.jpg
    kitilya 2.jpg
    2.1 KB · Views: 76
  • kitilya 2.jpg
    kitilya 2.jpg
    2.1 KB · Views: 69
Duuuh!!Nampata huyu jamaa!!Nini kimemkumbaaa??
 
Duuuh!!Nampata huyu jamaa!!Nini kimemkumbaaa??
hata mimi ninashangaa. taifa limepoteza kichwa cha maana maana hata baba yake ni mtu wa kutegemewa (sijui kama bado yuko hai). Top 3 ya darasa kwa olevel alikuwa hakosi. high school ndio alipata marks mbaya (div 3 mbaya hadi kuamua kwenda russia).
 
kwa wanawake anatumia gia ya ndoa ili kuwaingia kirahisi (alishajiandaa kuniibia alinivika Pete fake ila kwa bahati nzuri hela yangu huwa haitoki kirahisi Hivyo hakuniibia hadi pale nilipotahadharishwa na rafiki aliyetapeliwa naye).

Alikuvisha pete...?

Hmm....ninapatwa na kishawishi cha kuuliza swali ambalo unaweza kuhisi ni swali gani.

Ila kama alifanikiwa kwenye hilo basi lengo lake lilitimia!
 
duh so tunda lako la mti wa katikati ameshakula?
Mana kama alifika hadi hatua ya pete maana yake mshafanya mengi
 
Lazma atakuwa alishampa lile tunda alafu akajua huyo ndo mme wa kumuoa mtu kasoma rashia,kajua kapata kumbe sio,
Yule shida yake ni hela. Hana shida na tunDa. Anakuja kama mtu mwema anayefwata maadili.
Kifupi hakuonja tunda.
Me sina hiyo kutamani waliosoma nje maana hata mimi nimesoma nchi zinazoeleweka (UK)
 
duh so tunda lako la mti wa katikati ameshakula?
Mana kama alifika hadi hatua ya pete maana yake mshafanya mengi
Pete nilivishwa ndani ya wiki moja ya mahusiano ambayo sikuyaelewa maana kumbe tatizo lilikuwa apate njia ya kula hela. Alianza kuomba hela (mfano nataka nilipe Ada ya Dogo ila atm nimeshau home nikopeshe tukirudi nitairudisha, mama anataka hela akalipie kitu flani ila sina hapa nilipie nitakupa kesho). ubahili wangu ndio ulioniokoa
 
Back
Top Bottom