PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,105
- 29,909
Huyu alikuwa mfuasi wa MAITI kipindi cha uchaguzi mwacheni aangukie pua Tu...
Sio kuwa wanataka ishi maisha yasiyo na uhalisia?Maproducer kina s2kizzy wana stress tupu wanadaiwa kodi hadi wanatoroka nyumba
Ko we jeje huijui...?Kashinda Burna boy ikapigwa background "kilometre" sasa ndugu yetu angeshinda wangepiga background gani? " unataka lala ...awapi tuzime mziki...awapi, kisambulike sambwanda ...sijui nani kachanika musamba..."
Anatakiwa ajivunie tu kuwa nominated inamtosha.
Kama mtu anashindwa kustiri uchi wa rohoni hata akivaa nguo bado ataonekana yuko uchi. Halikadhalika kwa uzalendo.
View attachment 1833054
Ww ni msanii..?Hayo ma single yale ya kukurupuka kisa harmonize au alikiba katoa na yeye anamjibu ndani ya wiki moja katoa audio na video na kaiweka mtandaoni kupata view
Ona mfano hii ya mwisho na mupao ,mpaka mamifuko waliobebea manguo na vifaa vyao yanaonekana kwenye scene.
Hawatulii kutumia muda ku plan kazi itaanzia wapi na kuishia wapi. Editors watumie muda mrefu kuondoa vimakosa vidogovidogo na wajue kuwa kazi wsnayoitengeneza itakwenda kushindana na zingine duniani katika kila idara kuanzia vocal hadi graphics na sio unapo kwenda hapo kahama, kenya au sudani kusini na kujaza uwanja uone umemaliza
Muda sasa wasanii wa bongo wawekeze kwenye audio na hraphics wajifunze kuimba na sio kutegemea sauti za computer (autotunes) kwa asiyeelewa atashangilia kuwa wanajua kuimba ila anayejua ni ushsmba kutumia outo tunes kwa karne ya sasa
Diamond hajawahi kushinda BETHili jina la Nyange halina bahati mbona Nasibu Abdul alikua ana shinda.
Ko we jeje huijui...?
Jeje neno la ki naija. Producer wa jeje m nai naijaKo we jeje huijui...?
Hapana mimi ni mtaalamu na mwalimu wa muzikiWw ni msanii..?
Diamond nadhani alikuwa anajuwa hawezi kupata ila goal ilikuwa aibe spotlight na njia ikawa kimasai lakini hata wakati anaingia redcarpet unamuona kama yuko shock hawa media wako wapi mbona wako busy na wengine hivi hawanioni media kubwa kama zimempotezea kabisa face expression unaona yuko dissapointed sasa ukumbini hata camera kuvutwa nako hakuna alijaribu kupitia katika hili ila nadhani lime fail ila kujaribu sio mbaya lazima tumpongeze next time unajifunza.😄😄😄 kwa hiyo vazi limemuangusha, teh teh
Kwa mijali hiyo basi inakubidi uwachukie wasanii wote wa Kibongo kuanzia wa kuimbaimba mpaka wa Bongo movie labda ukimtoa Roma Mkatoliki, ila kwa mimi japo utawala wa Hamnazo ulikuwa wa kishenzi na alistahili kufa pia nilifurahia kifo chake lakini naamini kila mtu ana haki na uhuru wa kuchagua mrengo wa siasa anoona unamfaa kwani hiyo ndiyo demokrasia.Huyu jamaa bora kakosa tu. Uchaguzi wa mwaka 2020 aliona kabisa upinzani unakandamizwa waziwazi, lakin bado aliamua kuunga mkono udhalimu wa Magufuli na CCM
Kuna jambo moja ambalo bado watoto hamjatambua, kufikiri diamond ndo mtu pekee anyechukiwa kwasababu katusuaPeople hate hate what they can't qoncure,fear what they don't understand.
Kwanini unataka,unasubili ashuke?
Mond kupata ukwasi(mkwanja mrefu)sio sababu ya wewe kukosa,
Watu wengi wanaonesha chuki kwa mtoto wa Tandale,ukichunguza sana,hawamchukii yeye kama Mond,wanatamani wawe kwenye nafasi yake hapo alipo,mijumba mikali,ndinga za kutosha za bei mbaya,pesa ndeefu,
Totos za kumwaga,sasa kwa vile hawawezi kuwa pale alipo,chuki inawajaa vifuani,
Sasa unajiuliza Mond kakosa tuzo,wewe unashangilia!unapata faida gani?unaishi kwenye chumba master Cha kupanga,na ka ajira kenye kipato hakifiki hata 1M!
Mwenzio anaishi Mbezi,katoa ajira kwa watu kibao,wanaovuta kuanzia 2M kwenda mbele,mtu kama huyu ukimchukia,kwanza sio jirani yako,huwezi kukutana nae popote,wewe ukila wali nyama wa buku 5,unaona bei kubwa!
Mwenzio anakula soda ya buku 10!
Ukimchukia,lazima utakuwa na matatizo ya akili.
tayari imeisha hiyooh.Kwan wameshagawa
Kweli mumefanikiwa katika hilo! Mtandale kasagiwa kunguni hadi kaishia kwenye “Asante kwa kushiriki!”
Wapi shemelaaaaah,Sema kimeu manaa!
Hili jina la Nyange halina bahati mbona Nasibu Abdul alikua ana shinda.
nilivaa kama mganga wa kienyeji lakini wap....