cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,596
- 137,335
Maproducer kina s2kizzy wana stress tupu wanadaiwa kodi hadi wanatoroka nyumba
Maproducer kina s2kizzy wana stress tupu wanadaiwa kodi hadi wanatoroka nyumba
Badilisha heading andika ‘msanii uchwara kakosa tuzo’
Unateseka ukiwa wapi?Kwaiyo wakamsagia hadi wizkid ausio
Wenzake kina Burna boy wanawatumia watu kama P didy kama executive producer mwenyewe anakomaa na hawa kina s2kizzy wa huko kyela
Nguo za kike kavaaNilikuwa simpendi Sadala lakini alivyovaa kimasai nimemkubali Sana mpaka nimetamani angechukua kombe
Kashinda Burna boy ikapigwa background "kilometre" sasa ndugu yetu angeshinda wangepiga background gani? " unataka lala ...awapi tuzime mziki...awapi, kisambulike sambwanda ...sijui nani kachanika musamba..."
Anatakiwa ajivunie tu kuwa nominated inamtosha.
Mkuu hivi nauli ya kutoka Africa wanajilipia hawa nominated artists? Au BET wenyewe wanawalipia?Kuna connection huwa zinapatikana ukichangamka. Ndio maana kuna wasanii huwa wanahudhuria hata kama hawapo kwenye nominations
Kiukweli sifahamu utaratibu wao ukoje, ila nahisi wanajilipia kwasababu kuhudhuria ni hiari.Mkuu hivi nauli ya kutoka Africa wanajilipia hawa nominated artists? Au BET wenyewe wanawalipia?
Namrefer Diamond?
Badilisha heading andika ‘msanii uchwara kakosa tuzo’
Nawashangaaa hao wanaharakati wamemfanya vbaya mpaka wizkidUnateseka ukiwa wapi?
poleeeeh kwa kuteseka.Nawashangaaa hao wanaharakati wamemfanya vbaya mpaka wizkid
Nateseka kwel..kwanini mnyama Wizkid achinjiwe baharinipoleeeeh kwa kuteseka.
Demu wako ni sabuni ya Jamaa.Diamond akishinda nampa demu wangu
Sasa kama ni kujilipia ni bonge la hasara yaan daaahKiukweli sifahamu utaratibu wao ukoje, ila nahisi wanajilipia kwasababu kuhudhuria ni hiari.
Kunywa maji mengi na u relaaaax,Nateseka kwel..kwanini mnyama Wizkid achinjiwe baharini
Kwao hizo nauli ni pesa ndogo sana.Sasa kama ni kujilipia ni bonge la hasara yaan daaah
Hapa hapaWapi shemelaaaaah,