OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
View attachment 137125HII KITU RJR Naikubali sana ikiwa mkononi mwangu naongeza thamani ya uanamume wangu!!!!
Au unamaanisha thamani juu ya muonekano wako wa kiume????!!!!
View attachment 137125HII KITU RJR Naikubali sana ikiwa mkononi mwangu naongeza thamani ya uanamume wangu!!!!
exactly OLESAIDIMU! Kishwahili lugha yetu ila kilinichenga kidogo nilikuwa namaanisha ulichoandika!!!!Au unamaanisha thamani juu ya muonekano wako wa kiume????!!!!
Ok maduka yapi naweza pata Michael kors hapa Dar,mi penda hizo
Tag heuer
Watu wa kale na vijana wana mambo yao katika hili!!!!!
Watu wa umri wa kati tuna mix kutokana na experience ya waliotulea lakini pia tuna venture kwa watengenezaji wapya!!!!!
Vijana wadogo trend ya fashion ni misaa mikubwa na yenye vito na saa nyingine mikanda ya rangi kama rainbow!!!!!!
1. Casio ediffice version for semi casual
2. Suti/ Long sleeve na tai haoo natupia rolex, swatch au Seiko kwa utaratiibu sana maana hao traditional will never let you down huko uendako,si unajua mambo ya round/oval table!!!!
3. Jeans ,tee na sneaker ; where is my hublot ya mkanda wa plastic!!! Au a bold Diesel leather strapped can back up the look!!!!
4. Short sleeve lakini official hapo designer yoyote mwenye leather straps black or brown sio mbaya kutokana na kiatu na mkanda sasa hapo kina cartier na nduguze wenye flat moulded with sapphire finishing wanachomoza!!!!
5. Field work hujui saa ngapi mvua na tope vitakukuta au kufukuzana na hili na lile,say shooting na vitu kama hivyo hapa huhitaji wheels, gears and hands to tell you when is it!!!!!Casio G-shock illuminator encased in plastic material is my best companion!!!!!!Swiss army tough metalic but wapo vizuri pia!!
So inakuwa kama hivyo ingawa sio exactly kwa kila mtu!!!!!!!
Ila watch out hii ni addiction mbaya sana sana kabisa I am overcoming mine taratibu saa ni ugonjwa mbaya sana ,wahusika wataelewa hii maneno!!!!!
kariakoo zinauzwa sh 5000.
Citizen-Eco drive
View attachment 246208View attachment 246209
Hapa sitoki lol anapenda watches hizo ndio my favourites
Cc OLESAIDIMU
Acheni dharau na ulimbukeni kwani mmesikia saa za mkononi ni mabilioni...???
dola 250 to 500 dollars nani anakosa...???