medisonmuta
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 2,441
- 1,526
Kitu rolex toka way back
Huko vizuri. Rolex sio chini ya $3k
Kitu rolex toka way back
.. OLESAIDIMU kuna saa nilikuwa nataka ni upload naona in ago ma saa hii ni ya rangi a 1935
Mkuu ume analyse vizuri sana.
Napenda sana saa,simu kwangu naona kama ushamba fulani ndio maana natumiaga iphone tu,ila saa napenda sana seiko is my life! ninamsela wangu alipewa saa na babu yake mpaka leo hii inafanya kazi anasema hatampa mwanae siku na yeye,na mm nitampa mjukuu wangu seiko yangu one day
Yaani Tanzania tunajadili saa... Hamna simu...
Watu wanawekeza akili, pesa, ujuzi, teknolojia, marketing kwenye industry hii ya saa we unashangaa kujadili tu. . . . . .?!!
"usio na tija" kwa nani??!!Watu..'wanawekeza'watu wanawekeza hata kwenye maji taka...unaongelea kuwekeza au unaongelea usharo usio na tija katika nchi maskini kama Tanzania??
"usio na tija" kwa nani??!!
"Tija" ipi kwa nani unaizungumzia wewe??!!!
"usharo upi" kwa mujibu wa nani??!!!
Unatumia kipimo gani kusema huu ni "usharo" na "hii ni tija". . . . . . .
Unajua hierarchy of needs and self actualization/satisfaction???!!!!
Maisha ni "subscription" kama unavyochagua mtandao wa simu basi na maisha yana streams na trends. . . . . .choose your comfort zone and keep breathing. . . . . .last card!!!!
Watu wanawekeza akili, pesa, ujuzi, teknolojia, marketing kwenye industry hii ya saa we unashangaa kujadili tu. . . . . .?!!