Best Watch Brands for Men!

Best Watch Brands for Men!

Ni kweli mkuu. Nko addicted mbaya na saa. Ss hv nna kitu swiss naskia raaahaaa
 
Ngoja na mm nioneshe saa yangu ina miaka mingi sana.....nilipewa saa ni ya kutokea since 1935
 
.. OLESAIDIMU kuna saa nilikuwa nataka ni upload naona in ago ma saa hii ni ya rangi a 1935
 
Last edited by a moderator:
Watu wa kale na vijana wana mambo yao katika hili!!!!!
Watu wa umri wa kati tuna mix kutokana na experience ya waliotulea lakini pia tuna venture kwa watengenezaji wapya!!!!!
Vijana wadogo trend ya fashion ni misaa mikubwa na yenye vito na saa nyingine mikanda ya rangi kama rainbow!!!!!!

1. Casio ediffice version for semi casual
2. Suti/ Long sleeve na tai haoo natupia rolex, swatch au Seiko kwa utaratiibu sana maana hao traditional will never let you down huko uendako,si unajua mambo ya round/oval table!!!!
3. Jeans ,tee na sneaker ; where is my hublot ya mkanda wa plastic!!! Au a bold Diesel leather strapped can back up the look!!!!
4. Short sleeve lakini official hapo designer yoyote mwenye leather straps black or brown sio mbaya kutokana na kiatu na mkanda sasa hapo kina cartier na nduguze wenye flat moulded with sapphire finishing wanachomoza!!!!
5. Field work hujui saa ngapi mvua na tope vitakukuta au kufukuzana na hili na lile,say shooting na vitu kama hivyo hapa huhitaji wheels, gears and hands to tell you when is it!!!!!Casio G-shock illuminator encased in plastic material is my best companion!!!!!!Swiss army tough metalic but wapo vizuri pia!!


So inakuwa kama hivyo ingawa sio exactly kwa kila mtu!!!!!!!
Ila watch out hii ni addiction mbaya sana sana kabisa I am overcoming mine taratibu saa ni ugonjwa mbaya sana ,wahusika wataelewa hii maneno!!!!!

Mkuu ume analyse vizuri sana.
 

Attachments

  • 1429903180189.jpg
    1429903180189.jpg
    33.3 KB · Views: 118
Napenda sana saa,simu kwangu naona kama ushamba fulani ndio maana natumiaga iphone tu,ila saa napenda sana seiko is my life! ninamsela wangu alipewa saa na babu yake mpaka leo hii inafanya kazi anasema hatampa mwanae siku na yeye,na mm nitampa mjukuu wangu seiko yangu one day
 
Habari za Weekend Wakuu,

Embu leo tuambiane brand gani ya saa ya mkononi ambayo unaipendelea ukiangalia vitu kama quality, price na design.

Mimi nimetokea kupenda brands za saa za mkononi kama Michael Kors, Breitling, Hublot na Mont Blac

Embu tupieni na za kwenu wadau

Picha za hizi brands hizi hapa;


Michael Kors

View attachment 134632


Breitiling

View attachment 134634

Mont Blac

View attachment 134635

Hublot

View attachment 134636

Yaani Tanzania tunajadili saa... Hamna simu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom