Best Watch Brands for Men!

Best Watch Brands for Men!

ndugu sijui Rolex mnazozionesha hapo ni Original from Switzerland au sijui wapi but kuna duka la saa liko ndani ya plaza moja hapa posta (yenye Le grand Casino) ndugu zangu Rolex ni dola 10000 hadi 16000 tena zinaletwa kwa order sikuamini nikashangaa hizi za laki mbili mtaani zinatoka wapi, kama ww kweli umepurchase genuine Rolex kwa hiyo bei nakupa heshima yako!!! personally ninayo Casio G shock na pia napenda Swatch (ambayo ntanunua karibuni) kama mwanafunzi anavyopenda wali arage!
 
Sure sababu kwa level hiyo anakuwa kashaandikwa sana mpaka kakinai so atapenda privacy na hata kukwepa kuandikwa!!!!

Sijui ni kama mzee Bakhresa mwenyewe maana ni kimyaaa kama hayupo na wengi hata kwa sura hawamfahamu!!!!!!!

That's why there's a difference between rich people and wealthy people.
 
ndugu sijui Rolex mnazozionesha hapo ni Original from Switzerland au sijui wapi but kuna duka la saa liko ndani ya plaza moja hapa posta (yenye Le grand Casino) ndugu zangu Rolex ni dola 10000 hadi 16000 tena zinaletwa kwa order sikuamini nikashangaa hizi za laki mbili mtaani zinatoka wapi, kama ww kweli umepurchase genuine Rolex kwa hiyo bei nakupa heshima yako!!! personally ninayo Casio G shock na pia napenda Swatch (ambayo ntanunua karibuni) kama mwanafunzi anavyopenda wali arage!

wanazungumzia fake kama OMEGA za laki 2...
 
Longines
 

Attachments

  • 1391316689443.jpg
    1391316689443.jpg
    41.1 KB · Views: 135
Umenikosha sana mkuu,unaonekana ni mdau wa vidonda,hiyo ni addiction kwelikweli.nina collection mpaka watu wananishangaa,choices zangu

Michael kors
Guess
Timex
Seiko 5

Mkuu yaani mpaka huwa sometimes najiuliza hivi ni ugonjwa au kawaida tu inafikia stage ukimuona mtu na kidonda kikali unastuka na kama yuko friendly unauliza japo kukiona kwa karibu na kujua make!!!!!!

Sasa imefikia unaikumbuka moja ukitaka ivaa kumbe batt ilishakufa ,hapo sasa nikaona kununua sawa ila yena kuna kazi ya ku maintain except the automatic ones and those with winding mechanism!!!!!!

Yaani unakuwa teja kabisaaa mkuu xfactor
 
Last edited by a moderator:
Saa na snickers ni vitu vilivokula pesa yangu Sana!! Hii hobby imeisha hadi najishangaa sijui Ndio kukua huku!!
 
ooops my bad...why would u brag u got a rolex while its a FAKE?

Una character za mwanangu mmoja huyo mkitoka naye those old days yaan anaweza kukupa ugomvi sio wako!!!!!!!!

Mtu anaweza akawa anasimulia a new movie episode yaani akikosea hata kama hamjui kivile lazima amrekebishe!!!!!!!

You gud son????!!!
 
una character za mwanangu mmoja huyo mkitoka naye those old days yaan anaweza kukupa ugomvi sio wako!!!!!!!!

Mtu anaweza akawa anasimulia a new movie episode yaani akikosea hata kama hamjui kivile lazima amrekebishe!!!!!!!

You gud son????!!!

im good bro....
 
Nauza Phantom a111 590000
Phantom f7 390000
M3 135000
Tecn 611 70000
TECNO 612 75000
TECNO 605 55000
T. 340 28000
Itel 2020 25000.
Itel 2050 26000
Itel 2060 25000
Nauza pia digital kamera Sony 6.5mp 160000
Ninazo Simu kwa jumla na rejareja kwa wenye biashara za Simu na wateja wengine tuwasiliane 0718796574 duka language lipo Korogwe tanga naweza kukutumia popote tz

Mkuu peleka hii kwingine
 
Habari za Weekend Wakuu,

Embu leo tuambiane brand gani ya saa ya mkononi ambayo unaipendelea ukiangalia vitu kama quality, price na design.

Mimi nimetokea kupenda brands za saa za mkononi kama Michael Kors, Breitling, Hublot na Mont Blac

Embu tupieni na za kwenu wadau

Picha za hizi brands hizi hapa;


Michael Kors

View attachment 134632


Breitiling

View attachment 134634

Mont Blac

View attachment 134635

Hublot

View attachment 134636

Seiko Five kaka ndo kila kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom