Best Watch Brands for Men!

Best Watch Brands for Men!

mkuu be serious and be realistic niambie mtu gani hapa tanzania anamiliki saa ya bei hyo

Mkuu mtauana kwa pressure bureee!!!!!
Hiyo maneno yaweza kuwa inatengenezwa piece ngapi kwa mwaka!!!!??????
 
Mi nimekaa hapo
 

Attachments

  • 1391062120644.jpg
    1391062120644.jpg
    41.8 KB · Views: 205
I am a proud owner of one of these Skagen watches. Hizi ni saa za Kidenish. Very elegant. Most of them are light weight and very thin. Bei yake poa kwa sisi walalahoi ($50 - $200).

Skagen-1.jpeg Skagen-2.jpeg Skagen-3.jpeg Skagen-4.jpeg
 
Hmmmmmm. Yum yum.
Watu wa kale na vijana wana mambo yao katika hili!!!!!
Watu wa umri wa kati tuna mix kutokana na experience ya waliotulea lakini pia tuna venture kwa watengenezaji wapya!!!!!
Vijana wadogo trend ya fashion ni misaa mikubwa na yenye vito na saa nyingine mikanda ya rangi kama rainbow!!!!!!

1. Casio ediffice version for semi casual
2. Suti/ Long sleeve na tai haoo natupia rolex, swatch au Seiko kwa utaratiibu sana maana hao traditional will never let you down huko uendako,si unajua mambo ya round/oval table!!!!
3. Jeans ,tee na sneaker ; where is my hublot ya mkanda wa plastic!!! Au a bold Diesel leather strapped can back up the look!!!!
4. Short sleeve lakini official hapo designer yoyote mwenye leather straps black or brown sio mbaya kutokana na kiatu na mkanda sasa hapo kina cartier na nduguze wenye flat moulded with sapphire finishing wanachomoza!!!!
5. Field work hujui saa ngapi mvua na tope vitakukuta au kufukuzana na hili na lile,say shooting na vitu kama hivyo hapa huhitaji wheels, gears and hands to tell you when is it!!!!!Casio G-shock illuminator encased in plastic material is my best companion!!!!!!Swiss army tough metalic but wapo vizuri pia!!


So inakuwa kama hivyo ingawa sio exactly kwa kila mtu!!!!!!!
Ila watch out hii ni addiction mbaya sana sana kabisa I am overcoming mine taratibu saa ni ugonjwa mbaya sana ,wahusika wataelewa hii maneno!!!!!
 
Mkuu mtauana kwa pressure bureee!!!!!
Hiyo maneno yaweza kuwa inatengenezwa piece ngapi kwa mwaka!!!!??????

hahahahaha i dn't think there is anyone here in Tz anayevaa saa ya hela hiyo,

Davis Mosha alivyonunua tu ile lamborghini ya dola 250,000 aliandikwa kwenye vyombo vyote vya habari sembuse saa ya dola 999,000.
 
Omega lovely brand
 

Attachments

  • 1391069913333.jpg
    1391069913333.jpg
    57.2 KB · Views: 185
  • 1391069936030.jpg
    1391069936030.jpg
    61.7 KB · Views: 183
Mimi Nina omega speedmastei skeleton watch nilinunua 3years ago..kwa Benson arusha
laki 2.
mpaka leoo hadi nimeichoka Mimi..nakuitaftia nyumba ndogo mbili(Casio na Seiko 5 ambazo baada ya 6months nachange battery
 
hahahahaha i dn't think there is anyone here in Tz anayevaa saa ya hela hiyo,

Davis Mosha alivyonunua tu ile lamborghini ya dola 250,000 aliandikwa kwenye vyombo vyote vya habari sembuse saa ya dola 999,000.

Mambo mengine yanatisha ati!!!!
We mnyamwezi wote huyo ukamtundike mkononi, kaka heshima sio umri tu jamani! !!!!!
Kuna mambo unaweza dhani unaota hivi saa kama hiyo hata ukipewa bure utaiweka???!!!!!Asee unaweza chakaza calculator kwa conversion kila rate ikibadilika nawe unatamani kuiuza!!!!!
 
Mambo mengine yanatisha ati!!!!
We mnyamwezi wote huyo ukamtundike mkononi, kaka heshima sio umri tu jamani! !!!!!
Kuna mambo unaweza dhani unaota hivi saa kama hiyo hata ukipewa bure utaiweka???!!!!!Asee unaweza chakaza calculator kwa conversion kila rate ikibadilika nawe unatamani kuiuza!!!!!

Wapo wenye pesa zao ambao kwao hiyo $ 999,000 ni chenji tu. Na hutawasikia wala kujitangaza kwenye blogs na wako kimyaaaaaa
 
Wapo wenye pesa zao ambao kwao hiyo $ 999,000 ni chenji tu. Na hutawasikia wala kujitangaza kwenye blogs na wako kimyaaaaaa

Sure sababu kwa level hiyo anakuwa kashaandikwa sana mpaka kakinai so atapenda privacy na hata kukwepa kuandikwa!!!!

Sijui ni kama mzee Bakhresa mwenyewe maana ni kimyaaa kama hayupo na wengi hata kwa sura hawamfahamu!!!!!!!
 
Watu wa kale na vijana wana mambo yao katika hili!!!!!
Watu wa umri wa kati tuna mix kutokana na experience ya waliotulea lakini pia tuna venture kwa watengenezaji wapya!!!!!
Vijana wadogo trend ya fashion ni misaa mikubwa na yenye vito na saa nyingine mikanda ya rangi kama rainbow!!!!!!

1. Casio ediffice version for semi casual
2. Suti/ Long sleeve na tai haoo natupia rolex, swatch au Seiko kwa utaratiibu sana maana hao traditional will never let you down huko uendako,si unajua mambo ya round/oval table!!!!
3. Jeans ,tee na sneaker ; where is my hublot ya mkanda wa plastic!!! Au a bold Diesel leather strapped can back up the look!!!!
4. Short sleeve lakini official hapo designer yoyote mwenye leather straps black or brown sio mbaya kutokana na kiatu na mkanda sasa hapo kina cartier na nduguze wenye flat moulded with sapphire finishing wanachomoza!!!!
5. Field work hujui saa ngapi mvua na tope vitakukuta au kufukuzana na hili na lile,say shooting na vitu kama hivyo hapa huhitaji wheels, gears and hands to tell you when is it!!!!!Casio G-shock illuminator encased in plastic material is my best companion!!!!!!Swiss army tough metalic but wapo vizuri pia!!


So inakuwa kama hivyo ingawa sio exactly kwa kila mtu!!!!!!!
Ila watch out hii ni addiction mbaya sana sana kabisa I am overcoming mine taratibu saa ni ugonjwa mbaya sana ,wahusika wataelewa hii maneno!!!!!

Umenikosha sana mkuu,unaonekana ni mdau wa vidonda,hiyo ni addiction kwelikweli.nina collection mpaka watu wananishangaa,choices zangu

Michael kors
Guess
Timex
Seiko 5
 
Mimi Nina omega speedmastei skeleton watch nilinunua 3years ago..kwa Benson arusha
laki 2.
mpaka leoo hadi nimeichoka Mimi..nakuitaftia nyumba ndogo mbili(Casio na Seiko 5 ambazo baada ya 6months nachange battery

Bongo wanatuuzia vitu feki sana. Yani Omega speedmaster kwa laki 2?!!
Hizo saa sio chini ya £ 2,000.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom