mpiga domo
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 852
- 1,507
- Thread starter
- #81
wengine tukicheka kuna jamaa hapo juu anasema tunadharau........
mkuu be serious and be realistic niambie mtu gani hapa tanzania anamiliki saa ya bei hyo
wengine tukicheka kuna jamaa hapo juu anasema tunadharau........
mkuu be serious and be realistic niambie mtu gani hapa tanzania anamiliki saa ya bei hyo
Watu wa kale na vijana wana mambo yao katika hili!!!!!
Watu wa umri wa kati tuna mix kutokana na experience ya waliotulea lakini pia tuna venture kwa watengenezaji wapya!!!!!
Vijana wadogo trend ya fashion ni misaa mikubwa na yenye vito na saa nyingine mikanda ya rangi kama rainbow!!!!!!
1. Casio ediffice version for semi casual
2. Suti/ Long sleeve na tai haoo natupia rolex, swatch au Seiko kwa utaratiibu sana maana hao traditional will never let you down huko uendako,si unajua mambo ya round/oval table!!!!
3. Jeans ,tee na sneaker ; where is my hublot ya mkanda wa plastic!!! Au a bold Diesel leather strapped can back up the look!!!!
4. Short sleeve lakini official hapo designer yoyote mwenye leather straps black or brown sio mbaya kutokana na kiatu na mkanda sasa hapo kina cartier na nduguze wenye flat moulded with sapphire finishing wanachomoza!!!!
5. Field work hujui saa ngapi mvua na tope vitakukuta au kufukuzana na hili na lile,say shooting na vitu kama hivyo hapa huhitaji wheels, gears and hands to tell you when is it!!!!!Casio G-shock illuminator encased in plastic material is my best companion!!!!!!Swiss army tough metalic but wapo vizuri pia!!
So inakuwa kama hivyo ingawa sio exactly kwa kila mtu!!!!!!!
Ila watch out hii ni addiction mbaya sana sana kabisa I am overcoming mine taratibu saa ni ugonjwa mbaya sana ,wahusika wataelewa hii maneno!!!!!
Mkuu mtauana kwa pressure bureee!!!!!
Hiyo maneno yaweza kuwa inatengenezwa piece ngapi kwa mwaka!!!!??????
Omega lovely brand
hahahahaha i dn't think there is anyone here in Tz anayevaa saa ya hela hiyo,
Davis Mosha alivyonunua tu ile lamborghini ya dola 250,000 aliandikwa kwenye vyombo vyote vya habari sembuse saa ya dola 999,000.
hahahahaha i dn't think there is anyone here in Tz anayevaa saa ya hela hiyo,
Davis Mosha alivyonunua tu ile lamborghini ya dola 250,000 aliandikwa kwenye vyombo vyote vya habari sembuse saa ya dola 999,000.
What is makonyeza?
Mambo mengine yanatisha ati!!!!
We mnyamwezi wote huyo ukamtundike mkononi, kaka heshima sio umri tu jamani! !!!!!
Kuna mambo unaweza dhani unaota hivi saa kama hiyo hata ukipewa bure utaiweka???!!!!!Asee unaweza chakaza calculator kwa conversion kila rate ikibadilika nawe unatamani kuiuza!!!!!
What is makonyeza?
Wapo wenye pesa zao ambao kwao hiyo $ 999,000 ni chenji tu. Na hutawasikia wala kujitangaza kwenye blogs na wako kimyaaaaaa
Watu wa kale na vijana wana mambo yao katika hili!!!!!
Watu wa umri wa kati tuna mix kutokana na experience ya waliotulea lakini pia tuna venture kwa watengenezaji wapya!!!!!
Vijana wadogo trend ya fashion ni misaa mikubwa na yenye vito na saa nyingine mikanda ya rangi kama rainbow!!!!!!
1. Casio ediffice version for semi casual
2. Suti/ Long sleeve na tai haoo natupia rolex, swatch au Seiko kwa utaratiibu sana maana hao traditional will never let you down huko uendako,si unajua mambo ya round/oval table!!!!
3. Jeans ,tee na sneaker ; where is my hublot ya mkanda wa plastic!!! Au a bold Diesel leather strapped can back up the look!!!!
4. Short sleeve lakini official hapo designer yoyote mwenye leather straps black or brown sio mbaya kutokana na kiatu na mkanda sasa hapo kina cartier na nduguze wenye flat moulded with sapphire finishing wanachomoza!!!!
5. Field work hujui saa ngapi mvua na tope vitakukuta au kufukuzana na hili na lile,say shooting na vitu kama hivyo hapa huhitaji wheels, gears and hands to tell you when is it!!!!!Casio G-shock illuminator encased in plastic material is my best companion!!!!!!Swiss army tough metalic but wapo vizuri pia!!
So inakuwa kama hivyo ingawa sio exactly kwa kila mtu!!!!!!!
Ila watch out hii ni addiction mbaya sana sana kabisa I am overcoming mine taratibu saa ni ugonjwa mbaya sana ,wahusika wataelewa hii maneno!!!!!
Mimi Nina omega speedmastei skeleton watch nilinunua 3years ago..kwa Benson arusha
laki 2.
mpaka leoo hadi nimeichoka Mimi..nakuitaftia nyumba ndogo mbili(Casio na Seiko 5 ambazo baada ya 6months nachange battery
Digita watch ya kizamani!!!!!!